Kuna vipimo gani unaweza fanyiwa kwa mtu anayeonekana kuwa na tatizo la nguvu za kiume?

proxy

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
1,479
Reaction score
1,348
Kuna vipimo gani unaweza fanyiwa kwa mtu anayeonekana kuwa na tatizo la nguvu za kiume? Je watu wanaosema wana upungufu wa nguvu za kiume wanapitia vipimo gani kubaini tatizo au ndio ishu ya kupiga bao wakiwa faraghani na wapenzi wao? Kitaarabu inahitaji mwanaume afanyiwe vipimo gani kujua kama ana tatizo hilo? Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushawahi kumuuliza Daktari? Alikujibu vipi?
 
Ukijiona unaangalia picha ya sanchiworld af dushe halisimami jua ww huna nguvu za kiume
 
umefululiza na hii mada,bila shaka utakuwa muathirika,kipimo ni kupanda mwendo kasi iliyobanana watu huku mbele yako kukiwa na msambwanda unakugonga gonga
 
Nguvu za kiume na suala la ujauzito ni vitu viwili tafauti, Ijapokua ni vitu vinavyokwenda sambamba kiasi fulani.

lakini Unaweza ukawa na tatizo la nguvu za kiume na mimba ukatungisha.
Upo sahihi ,Mimi nimelenga kwa mwenye uwezo wa kusimamisha na anauwezo wa kutundika mimba ,ila dushi linasimama kwa wasiwasi na likisimama baada ya bao moja ndio basi
 
umefululiza na hii mada,bila shaka utakuwa muathirika,kipimo ni kupanda mwendo kasi iliyobanana watu huku mbele yako kukiwa na msambwanda unakugonga gonga
Da hii sita kuta kuisahau kuna siku nimetoka zangu ,kariakoa naelekea Mbezi kwenye mwendo kasi ,mbele yangu umesimama mdude wa hatari na unanigusa gusa looh nilipata shida
 
Sperm analysis & sex hormones levels.
Hivi kwa mtu anayepima kipimo Full blood counter anaweza kugundulika na tatizo hili kama lipo?
 
Upo sahihi ,Mimi nimelenga kwa mwenye uwezo wa kusimamisha na anauwezo wa kutundika mimba ,ila dushi linasimama kwa wasiwasi na likisimama baada ya bao moja ndio basi
Ni Upungufu wa nguvu za kiume, uume husimama legelege,hutumia muda mrefu kwenda mzunguko wa pili
Tiba...
(1) Kila siku kula ndizi tatu & 5 zilizoiva.
(2)Kula spinachi & Kila siku uchemshe usiive sana.
(3) kula matikiti 3 kwa siku 7 kama utakua unajimudu kifedha kula kila siku moja tafuna na mbegu zake.
(4) Nunua Kilo mbili za mbegu za maboga, saga tumia vijiko vitatu kila siku ,utaweka ktk uji,au uchanganye na aaali unywe.
(5)Kunywa maziwa Fresh kwa wiki hat Mara 3
Subiri wiki mbili Nenda ukatombe.
 
Hivi kwa mtu anayepima kipimo Full blood counter anaweza kugundulika na tatizo hili kama lipo?
Hapana. Full Blood Count inaangalia levels za Red blood cells, white blood cells na platelets. Hauwezi kupata taarifa muhimu juu ya hili tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…