hauzeeee45
Member
- Jul 3, 2024
- 23
- 71
Mbona jamaa kaandika Kiswahili.1.Kosa kubwa kuwaacha waishi wote
2.Kwanini umeruhusu hili jambo??
3.Fanya kumhamisha mmoja wao kwa amani zaidi...
😀😀Mbona jamaa kaandika Kiswahili.
Kaa na mkeo na mamaako pia km hawaelewani we nunua tu cd ya kuchambana na uweke kwa zamu.Msaada
Kuna vita vimeibuka kati ya mama yangu mzazi na mke wangu!! Ninafanyaje ndg zangu, ninashindwa kumjadili mamangu kwa kumkosoa mbele ya mke wangu.!!
NB: mama anaishi kwake na mimi naishi kwangu na mke wangu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wachape makofi wote