Kuna vita vimeibuka kati ya mama yangu mzazi na mke wangu

Kuna vita vimeibuka kati ya mama yangu mzazi na mke wangu

Hapo stick na mke wako..

Mama muheshimu ila asivuke mipaka yake hiyo ni nyumba yako wewe ndio unaongoza siyo mama yako...

Mama angekuwa na akili ange-deal na wewe siyo mke wako
Hakuna mama ambae hana akili
Narudia tena hakuna mama ambae hana akili ogopa sana pale mama anaposikia kuwa kijana wake kaoa huwa wanageuka CIA hapo hapo na kuanza kutafuta taarifa za mkamwana aliyekuja kwa haraka sana.
Mwanaume unaweza usizipate taarifa kwa ukamilifu kumuhusu mkeo lakini mama yako atahakikisha hizo taarifa anazo maana
Yeye ni mwanamke anazijua akili zao kuliko vile ambavyo wewe unaweza kuzijua.
Anaweza kuyajua matendo ya mkamwana na tabia zake hata kama amemuona kwa mara ya kwanza.
 
Msaada

Kuna vita vimeibuka kati ya mama yangu mzazi na mke wangu!! Ninafanyaje ndg zangu, ninashindwa kumjadili mamangu kwa kumkosoa mbele ya mke wangu.!!

NB: mama anaishi kwake na mimi naishi kwangu na mke wangu
1. Kwanini unaruhusu mjadala wa mke wako ukiwa wewe na mama yako?
2. Kwanini unaruhusu mjadala wa mama yako ukiwa wewe na mke wako?

Muheshimu mama yako ukiwa na mkeo na umuheshimu mkeo ukiwa na mama yako.

Muhimu... Simama kama baba na mwanaume mwenye majukumu anaejua kusimamia familia. Usiruhusu mama yako ajadiliwe na mkeo negatively, amekukuta hivyo vile mama yako kakulea, ana mapungufu yake sawa, lakini sio mjadala wa wewe na mkeo. Unaweza kubadili mke lakini sio mama wala baba.

Pia usiruhusu mkeo akajadiliwa negatively kwa vitu visivyo na tija. Japo kweli wanawake wa siku hizi ni changamoto, ila kuwa na msimamo kuhusu familia yako. Pokea chuja endelea na maisha.
 
Hakuna mama ambae hana akili
Narudia tena hakuna mama ambae hana akili ogopa sana pale mama anaposikia kuwa kijana wake kaoa huwa wanageuka CIA hapo hapo na kuanza kutafuta taarifa za mkamwana aliyekuja kwa haraka sana.
Mwanaume unaweza usizipate taarifa kwa ukamilifu kumuhusu mkeo lakini mama yako atahakikisha hizo taarifa anazo maana
Yeye ni mwanamke anazijua akili zao kuliko vile ambavyo wewe unaweza kuzijua.
Anaweza kuyajua matendo ya mkamwana na tabia zake hata kama amemuona kwa mara ya kwanza.
Mama yake ana akili sana hawezi kudeal na mwanae maana mwanae ndio targeted victim.
So mama anadeal na adui aliyeingia kwenye familia.
Unadeal vipi na kondoo anaetaka kuangamizwa na uache kudeal na Chatu?
Lazima udeal na chatu.
Sema huyo mkeo kakuwekea pozi fulani hivi za kuhakikisha kuwa unakuwa unamuona yeye ni innocent sana kiasi cha kuhisi anaonewa na mama yako.
Haya yalinitokea miaka kumi iliyopita but
Baada ya kuapply Intelligensia ya hali ya juu
Nilikuja kujua aina ya kiumbe niliyeishi na kumzalisha watoto.
Sio poa nilikutana na mazito hayavumiliki kamwe tangu hapo nawasikiliza sana baba na mama kwenye mambo mengi mno
Hata ikitokea nimepeleka mwanamke kwetu kwa mara ya pili halafu mama akaniambia mwanangu achana na huyu mwanamke
Aisee huyo mwanamke anaachwa mwezi huo huo kisilencer.
Sema sisi huwa tunakuwa blinded na power of pussy hadi tunaangusha ufalme.
Tunatekwa na illusions sana huku tukiamini eti simply tuna vipesa basi tutaweza kuyashape maisha.
Eti tunajipa moyo kuwa kama una pesa hakuna wa kukutisha akizingua tu nampiga chini na kuchukua mwingine hapo hapo.
Unadhani ni rahisi mwanamke na mama yake wakubali kabisa kuishi na wewe kikawaida ilihali wanayajua kabisa madhaifu yake kama ni malaya ambae akishawishiwa tu kuwa Juma ana laki tano anataka nyuma
Anapagawa na kuanza kupanga bajeti kutokana na pesa ambayo bado iko kwa Juma. Hawazi kuhusu heshima yake na ya mumewe.
Kutwa anajiremba kutafuta attention za wanaume wengine tofauti na mumewe ogopa..
So mwanaume unapaswa kutuliza kichwa vizuri umchunguze vyema mwanamke unaetaka kumkabidhi dhamana ya mwili wako kwa zaidi ya miaka 40.
Yaani mwanamke ambae atajua wewe una mali nyingi sehemu fulani ukalala zako usingizi na bado akakaa macho na kuvumilia asikudhuru.
Wengi wa wake zetu wanaujua muda wetu wa kusinzia lakini sisi hatujui kwasababu hatuna mawazo hayo kwenye akili zetu mpaka tuwe na issues maalumu.
Lakini wao huweza hata kuzuga kama wamelala tukishapitiwa na usingizi wanaamka na kukaa macho kisha wanaanza kututathmini tukiwa usingizini aisee.
 
Msaada

Kuna vita vimeibuka kati ya mama yangu mzazi na mke wangu!! Ninafanyaje ndg zangu, ninashindwa kumjadili mamangu kwa kumkosoa mbele ya mke wangu.!!

NB: mama anaishi kwake na mimi naishi kwangu na mke wangu fsi huanzia kwa mke, anataka usisaidie mama mzazi.

Msaada

Kuna vita vimeibuka kati ya mama yangu mzazi na mke wangu!! Ninafanyaje ndg zangu, ninashindwa kumjadili mamangu kwa kumkosoa mbele ya mke wangu.!!

NB: mama anaishi kwake na mimi naishi kwangu na mke wangu
Waolewaji huona wanaingiliwa, wanabaniwa,,, wanapangiwa. Huanzisha chuki ghafla kwa mawifi, shemeji na hata mama mkwe. Mmoja namfahamu ameshindwa kuelewana na ndugu wote wa mume bila sabaaba
Msaada

Kuna vita vimeibuka kati ya mama yangu mzazi na mke wangu!! Ninafanyaje ndg zangu, ninashindwa kumjadili mamangu kwa kumkosoa mbele ya mke wangu.!!

NB: mama anaishi kwake na mimi naishi kwangu na mke wangu
Waolewaji (mke) huanzisha kujihami. Wakifikiri kuingiliwa, kutawaliwa, kuonewa. Ila watataka kuwa karibu na ndugu zao. Anajisikia bado yuko kwao. Ukimshauri jambo ndiyo umeharibu kabisa.
 
Hapo stick na mke wako..

Mama muheshimu ila asivuke mipaka yake hiyo ni nyumba yako wewe ndio unaongoza siyo mama yako...

Mama angekuwa na akili ange-deal na wewe siyo mke wako
Huo ni ufala, mke waweza pata mwengine wakati wowote. Mke akigombana na mama yangu mimi napiga chini natafuta mke mwengine.
 
Huo ni ufala, mke waweza pata mwengine wakati wowote. Mke akigombana na mama yangu mimi napiga chini natafuta mke mwengine.
Huo ni ujinga mama yako akuongezee familia yako...
 
Hakuna mama ambae hana akili
Narudia tena hakuna mama ambae hana akili ogopa sana pale mama anaposikia kuwa kijana wake kaoa huwa wanageuka CIA hapo hapo na kuanza kutafuta taarifa za mkamwana aliyekuja kwa haraka sana.
Mwanaume unaweza usizipate taarifa kwa ukamilifu kumuhusu mkeo lakini mama yako atahakikisha hizo taarifa anazo maana
Yeye ni mwanamke anazijua akili zao kuliko vile ambavyo wewe unaweza kuzijua.
Anaweza kuyajua matendo ya mkamwana na tabia zake hata kama amemuona kwa mara ya kwanza.
Ni ujinga sana mama kutaka kuongoza familia ya kijana wa kiume
 
Huo ni ujinga mama yako akuongezee familia yako...
Ujinga kuthamini mtu mliekutana barabarani tu, ambae keshakutana nawanaume kabla yako, na watakuja wengine badala yako, sasa wewe kama ndio unamuona wamaana kuliko mama yako basi upimwe akili
 
Ujinga kuthamini mtu mliekutana barabarani tu, ambae keshakutana nawanaume kabla yako, na watakuja wengine badala yako, sasa wewe kama ndio unamuona wamaana kuliko mama yako basi upimwe akili
Unaelewa maana ya kichwa cha familia..ni mama au ni mume

Kama mama alikuwa anaendesha baba yako na familia yenu ataendelea kukuendesha na anakufanyia maamuzi yote hakuna jambo wewe utaamua bila mama yako huo ni ujinga wa kiwango cha lami
 
Msaada

Kuna vita vimeibuka kati ya mama yangu mzazi na mke wangu!! Ninafanyaje ndg zangu, ninashindwa kumjadili mamangu kwa kumkosoa mbele ya mke wangu.!!

NB: mama anaishi kwake na mimi naishi kwangu na mke wangu
Waambie wote wawili wamalize vita ama sivyo utawapiga chini wote uendelee na maisha kinyambisi kivyako.
 
Unaelewa maana ya kichwa cha familia..ni mama au ni mume

Kama mama alikuwa anaendesha baba yako na familia yenu ataendelea kukuendesha na anakufanyia maamuzi yote hakuna jambo wewe utaamua bila mama yako huo ni ujinga wa kiwango cha lami
Mke ni mtu tuliekutana barabarani tu, nafasi yake katika maisha yangu ni finyu sana mbele ya mama. Ni afadhali kupangiwa maisha na mama kuliko mke.
 
Msaada

Kuna vita vimeibuka kati ya mama yangu mzazi na mke wangu!! Ninafanyaje ndg zangu, ninashindwa kumjadili mamangu kwa kumkosoa mbele ya mke wangu.!!

NB: mama anaishi kwake na mimi naishi kwangu na mke wangu
Hujasema chanzo

Pili, Mama aheshimiwe. ZINGATIA umri wake akili hurudi utotoni.

Hivyo kuwa makini nae sana usije kupata laana.

Muelekeze mkeo amsikilize mama yako anachosema na siyo kupambana nae.

Kumbuka huna mama mwingine zaidi ya huyo, Akif kwa presha huwezi kupata mama mwingine! Ila mke anaweza kuondoka Leo na kesho ukapata mke mzuri zaidi ya huyo.!!

Hivyo mama ni muhimu kuliko mtu yoyote Hilo ulijue
 
LINGANISHA THAMANI YA MAMA NA MKE KWA KUZINGATIA VIGEZO HIVI.

MOSI, Mama ni mmoja huwezi kupata mwingine iwe jua iwe mvua lakini mke unaweza kupata mke mwingine muda wowote na saa yoyote ukihitaji.

Pili,Mama hawezi kukusaliti kwenye shida zozote iwe ugonjwa n.k lakini mke ukifilisika muda wowote anaweza kusepa na kukuacha solemba.

Tatu, Mama ndiye aliyekukuza Hadi kufikia hapo ilipo lakini mke kakukuta ukiwa mkubwa. Hivyo bila mama yako wewe usingekuwepo Leo hii na Wala huyo mkeo asingekuona.

Hivyo muamulu mkeo amheshimu mama yako na asimfananishe na mtu yoyote yule .

ZINGATIA PIA,

Umri wa mama yako. Akiwa ni Mzee sana akili hurudi za utotoni hivyo tumia akili kubwa kuishi nae.

Pili,Mueleze mkeo kuwa mama ni Mzee hivyo hapaswi kukasilishwa ovyo utamsababishia afe kwa presha.


Tatu , Aendelee kuishi nae vizuri ili ajichotee baraka tele kutoka kwa mama mkwe.
 
Ujinga kuthamini mtu mliekutana barabarani tu, ambae keshakutana nawanaume kabla yako, na watakuja wengine badala yako, sasa wewe kama ndio unamuona wamaana kuliko mama yako basi upimwe akili
Apimwe na hormone pia kama hazijachakachuliwa mtu wa hivi bado mgeni kwenye ndoa..
 
Yaani wakipendana ndio mbaya zaidi, ukiona mke wako yupo closer na bimkubwa umeisha!
 
Mara nyingi mke hapo ndio hukosa hekima jinsi ya kuendana na mama mkwe wake.

Sijui huwa wanajikuta ni kina nani kwa mfano.

Anakuja na mapokeo kiwa mama wakwe huwa si Watu Wazuri kumbe wala.
 
Umekuta Mwanaume ukaona anakufaa unazani amefikaje hapo?
Kasomeshwa na nani?
Pengine nyumba mnayo sigi ya mama yake mzazi Halafu mke unaleta ujuaji?!
 
Back
Top Bottom