Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu safi, ila inabidi ujitutumue ktk swala la usafi
Mkuu vipi siku hizi uvivu umeisha wa kupiga zoezi? Muda wa kuandika topic kama hizi ndio ungeutumia vizuri kufanya mazoezi.1 Pesa
2 Elimu
3 Cheo
4 Usafi
Dah kumamae bonge lajibuUnajidanganya tu Unadhani wanawake ndio wamechaguliwa kushindwa tu?
Kitu pekee ambacho huwezi kushindana na mwanamke kwa sasa ni kupata (Hedhi na Mimba) Vingine vyote wanaweza kupata na kukuzidi.
Mtume rasul!!!Unajidanganya tu Unadhani wanawake ndio wamechaguliwa kushindwa tu?
Kitu pekee ambacho huwezi kushindana na mwanamke kwa sasa ni kupata (Hedhi na Mimba) Vingine vyote wanaweza kupata na kukuzidi.
Labda nitoe ufafanuzi kwenye point ya pili.
Ni kweli mwanamke hatakiwi kukuzidi kwa ELIMU ila hapa ninaongelea ELIMU ya maisha sio ELIMU ya kukariri vitabu darasani.
Mwanaume unatakiwa uwe na uweza wa kung'amua mambo kwa kina , undani na uhalisia zaidi.
Mwanamke hata awe na elimu kiasi gani bado ataendelea kutumia hisia katika kufanya maamuzi.
Mungu ametuumba kwa kututofautisha katika kila kila kitu!
Kwenye mapenzi hatuangalii hvyo vitu tunaangalia mapenzi ya dhati japokua wanaume wengi kama umewazidi wanakosa kujiamini!
Ila maisha hayako hvyo maisha ni maridhiano
Popote pale!mi sijasema ktk mapenzi[emoji23]
hahaha you nailed it chief.Unajidanganya tu Unadhani wanawake ndio wamechaguliwa kushindwa tu?
Kitu pekee ambacho huwezi kushindana na mwanamke kwa sasa ni kupata (Hedhi na Mimba) Vingine vyote wanaweza kupata na kukuzidi.
hapo ktk msafara acha kabisaKwahiyo mme wa Mama Samia alitakiwa apindue Meza Mh! Kuna Vyeo vingine utashindana nae ila akianza kutembea na msafara wa magari na ulinzi wewe kaa pembeni bado utakuwa mme wake tu.
Vyeo vya kupambana na nao ni hivi vya kuongoza Saccos.
safi mkuuu hapo amani ipo,,Mi wangu kanizidi urefu tu na usafi kwa mbaaali.
nimekuelewa mkuu ondoa shakaKanizidi usafi hakumaanishi mimi ni mchafu ila yeye msafi mnoooo kwakweli.
Well said.Mungu ametuumba kwa kututofautisha katika kila kila kitu!
Kwenye mapenzi hatuangalii hvyo vitu tunaangalia mapenzi ya dhati japokua wanaume wengi kama umewazidi wanakosa kujiamini!
Ila maisha hayako hvyo maisha ni maridhiano