Kuna vitu ambavyo hutakiwi kuzidiwa na Mwanamke

Kuna vitu ambavyo hutakiwi kuzidiwa na Mwanamke

Labda nitoe ufafanuzi kwenye point ya pili.

Ni kweli mwanamke hatakiwi kukuzidi kwa ELIMU ila hapa ninaongelea ELIMU ya maisha sio ELIMU ya kukariri vitabu darasani.

Mwanaume unatakiwa uwe na uweza wa kung'amua mambo kwa kina , undani na uhalisia zaidi.

Mwanamke hata awe na elimu kiasi gani bado ataendelea kutumia hisia katika kufanya maamuzi.
Hapo mwisho umeua hiyo point huwa hawaikubali lakini ndiyo nature yao.
 
Unajidanganya tu Unadhani wanawake ndio wamechaguliwa kushindwa tu?

Kitu pekee ambacho huwezi kushindana na mwanamke kwa sasa ni kupata (Hedhi na Mimba) Vingine vyote wanaweza kupata na kukuzidi.
Umemaliza...shukran kwa kuniwakilisha.
 
Men are locigal thinkers while women are emotional feelers.Umemaliza mkuu
Wanaume mnapendaga kujipa utukufu usio na msingi watu wote ni sawa kila binadamu ana hisia bila kujali hisia sasa from ur point wewe ni inferior you don't believe urself mi kuna wanaume wengi tu huwasaidia mambo mengi had u shauri wenye logic, kuna watu wana vipawa tu basi jinsia isiwe kigezo cha kugandamiza jinsia nyingine ili kuonyesha udhaifu.
 
Wanaume mnapendaga kujipa utukufu usio na msingi watu wote ni sawa kila binadamu ana hisia bila kujali hisia sasa from ur point wewe ni inferior you don't believe urself mi kuna wanaume wengi tu huwasaidia mambo mengi had u shauri wenye logic, kuna watu wana vipawa tu basi jinsia isiwe kigezo cha kugandamiza jinsia nyingine ili kuonyesha udhaifu.
Cariha uwe unatafakari kwa kina kabla ya kujibu na pia ukumbuke
"We have been given two ears but one mouth so that we can listen twice as much as we Talk" so dont Butt

1.Hakuna aliyesema men hawana hisia
2.Kutumia logic au emotion only hakugarantee maamuzi/ushauri mzuri
Kwa taarifa yako logic+emotion zinafanya decision made kuwa better zaidi than either of the two!!!
3.To be practical wanaume hufanya zaidi maamuzi kwa kutumia systematic thinking(logic) na wanawake hutumia zaidi hisia(emotion) japo hakuna inayoguarantee maamuzi bora kuliko nyingine.The other way of saying that is "a man leads with his mind and a woman with her heart"

Enlightment&insight are so important
 
Unajidanganya tu Unadhani wanawake ndio wamechaguliwa kushindwa tu?

Kitu pekee ambacho huwezi kushindana na mwanamke kwa sasa ni kupata (Hedhi na Mimba) Vingine vyote wanaweza kupata na kukuzidi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cariha uwe unatafakari kwa kina kabla ya kujibu na pia ukumbuke
"We have been given two ears but one mouth so that we can listen twice as much as we Talk" so dont Butt

1.Hakuna aliyesema men hawana hisia
2.Kutumia logic au emotion only hakugarantee maamuzi/ushauri mzuri
Kwa taarifa yako logic+emotion zinafanya decision made kuwa better zaidi than either of the two!!!
3.To be practical wanaume hufanya zaidi maamuzi kwa kutumia systematic thinking(logic) na wanawake hutumia zaidi hisia(emotion) japo hakuna inayoguarantee maamuzi bora kuliko nyingine.The other way of saying that is "a man leads with his mind and a woman with her heart"

Enlightment&insight are so important
I understand ur logic but majority ya comments za wanaume nyingi huwa zimeegemea upande wakuonyesha kuwa wanawake ka si CHOCHOTE yani ni kitu duni kisicho na akili while naona hata mtaani hali ilivo jambo lolote likifsniwa decision lazima Ku angalia pande mbili za jambo kwa kutumia akili zaidi kuliko moyo na hisia hapo lazima tu Ku feli
 
I understand ur logic but majority ya comments za wanaume nyingi huwa zimeegemea upande wakuonyesha kuwa wanawake ka si CHOCHOTE yani ni kitu duni kisicho na akili while naona hata mtaani hali ilivo jambo lolote likifsniwa decision lazima Ku angalia pande mbili za jambo kwa kutumia akili zaidi kuliko moyo na hisia hapo lazima tu Ku feli
Societies have been accustomed to culture&Traditions.Too bad african women still have a hell of time katika decision making but with time Things will be Fine!
Lakini pia tusiishie kulalamika tu,we need to rise against all odds for this and eventually bring positive social impact

"You must be the change you want to see in the world"
 
Societies have been accustomed to culture&Traditions.Too bad african women still have a hell of time katika decision making but with time Things will be Fine!
Lakini pia tusiishie kulalamika tu,we need to rise against all odds for this and eventually bring positive social impact

"You must be the change you want to see in the world"
I agree with ur argument, but things are changing now hope in the future society will understand and respect women, me ni part of the change from my family to society level
 
Kwahiyo mme wa Mama Samia alitakiwa apindue Meza Mh! Kuna Vyeo vingine utashindana nae ila akianza kutembea na msafara wa magari na ulinzi wewe kaa pembeni bado utakuwa mme wake tu.

Vyeo vya kupambana na nao ni hivi vya kuongoza Saccos.
napata tabu sana nikilifikilia hilo
 
Back
Top Bottom