Kuna vitu ambavyo hutakiwi kuzidiwa na Mwanamke

Kuna vitu ambavyo hutakiwi kuzidiwa na Mwanamke

Labda nitoe ufafanuzi kwenye point ya pili.

Ni kweli mwanamke hatakiwi kukuzidi kwa ELIMU ila hapa ninaongelea ELIMU ya maisha sio ELIMU ya kukariri vitabu darasani.

Mwanaume unatakiwa uwe na uweza wa kung'amua mambo kwa kina , undani na uhalisia zaidi.

Mwanamke hata awe na elimu kiasi gani bado ataendelea kutumia hisia katika kufanya maamuzi.
Una akili sana.
 
Labda nitoe ufafanuzi kwenye point ya pili.

Ni kweli mwanamke hatakiwi kukuzidi kwa ELIMU ila hapa ninaongelea ELIMU ya maisha sio ELIMU ya kukariri vitabu darasani.

Mwanaume unatakiwa uwe na uweza wa kung'amua mambo kwa kina , undani na uhalisia zaidi.

Mwanamke hata awe na elimu kiasi gani bado ataendelea kutumia hisia katika kufanya maamuzi.
Naunga mkonyo
 
1 Pesa
2 Elimu
3 Cheo
4 Usafi


Wewe utakuwa mwanamme wa kiislam tu kwa maoni uliyotoa hapo juu. Wanaume wenzako huko Saudi Arabia jana waliandamana kupinga wanawake kuendesha magari, hawataki kusikia kitu kama hicho.
 
Back
Top Bottom