Kuna vitu ni vigumu sana kuvitetea

Kuna vitu ni vigumu sana kuvitetea

MFALME WETU

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
4,071
Reaction score
10,028
Ugonile,.

Mimi ni muumini mzuri tu wa dini ya kikristo (msabato) ninae amini katika uwepo wa Mungu, shetani na evil spirits zote pamoja na uchawi kuwa vina exist.

Jana nilikua napiga stori na jamaa mmoja uku nchi za watu (yeye ni Mnorway) kwenye izo soga tukajikuta tumeibukia kwenye mambo ya dini.

Anasema nchini kwao zaidi ya 80% ni atheists (hawaamini katika Mungu wala Miungu) nikajaribu kumwelezea vitu kama miujiza and the likes lakini ni kama nilikua nampigia mbuzi gitaa.

tuweke utani na dini pembeni, unaweza vipi kumwaminisha mtu kuwa MUNGU yupo?
 
Ugonile,.

Mimi ni muumini mzuri tu wa dini ya kikristo (msabato) ninae amini katika uwepo wa Mungu, shetani na evil spirits zote pamoja na uchawi kuwa vina exist.

Jana nilikua napiga stori na jamaa mmoja uku nchi za watu (yeye ni Mnorway) kwenye izo soga tukajikuta tumeibukia kwenye mambo ya dini.

Anasema nchini kwao zaidi ya 80% ni atheists (hawaamini katika Mungu wala Miungu) nikajaribu kumwelezea vitu kama miujiza and the likes lakini ni kama nilikua nampigia mbuzi gitaa.

tuweke utani na dini pembeni, unaweza vipi kumwaminisha mtu kuwa MUNGU yupo?

Hakuna mwanadamu yeyote anayeweza kufanya hivyo, soma matendo 4 yote utaelewa, you must be filled, full by the spirit of God the he will do it, you are just a vessel bro, sim tena 1 korithians 2 : 7,8,9, 10 soma hiyo mistari 4!!!
 
Ugonile,.

Mimi ni muumini mzuri tu wa dini ya kikristo (msabato) ninae amini katika uwepo wa Mungu, shetani na evil spirits zote pamoja na uchawi kuwa vina exist.

Jana nilikua napiga stori na jamaa mmoja uku nchi za watu (yeye ni Mnorway) kwenye izo soga tukajikuta tumeibukia kwenye mambo ya dini.

Anasema nchini kwao zaidi ya 80% ni atheists (hawaamini katika Mungu wala Miungu) nikajaribu kumwelezea vitu kama miujiza and the likes lakini ni kama nilikua nampigia mbuzi gitaa.

tuweke utani na dini pembeni, unaweza vipi kumwaminisha mtu kuwa MUNGU yupo?
wanarwoy wangekuwa ndio watanzania ccm ingetoka mda madarakani maana wanatumia mungu sana kutudanganya kuwa tunaliombea taifa kwa maombi na dua
 
Mimi binafsi nikikutana na mtu wa hivyo naupa tu muda nafasi Mungu akitaka kujidhihirisha hakuna litakalopinga, binafsi nilikuwa nasua sua kwenye imani ila kuna kipindi nilipitia aloh nilisugua goti hakika nikamwona Mungu mpaka saiv huniambii kitu
interestingly, Huyo jamaa alnambia Baba yake ni Mchungaji na amekua muumini kwa zaidi ya miaka 15 ila alipoanza kujitambua aligundua kuwa Mambo ya MUNGU na SHETANI ni myths tu so akaamua kuyakacha moja kwa moja
 
wanarwoy wangekuwa ndio watanzania ccm ingetoka mda madarakani maana wanatumia mungu sana kutudanganya kuwa tunaliombea taifa kwa maombi na dua
Kwa maelezo yake Norway ni nchi iliyoendelea sana, elimu ni bure mpaka masters, afya ni bure, na kijana ukifikisha miaka 19 unaanza kulipwa pesa za kujikimu mpaka utakapopata ajira
 
In short statement i can say no body knows about God!, and also no one can tell you about God it's just guessing!.
But for my side those Gods you have heard in this world i don't believe in them!, it's fvcking lie!.
The God of this universe can't be explained as the way they explained those Gods, there's some information we miss about God!.
 
In short statement i can say no body knows about God!, and also no one can tell you about God it's just guessing!.
But for my side those Gods you have heard in this world i don't believe in them!, it's fvcking lie!.
The God of this universe can't be explained as the way they explained those Gods, there's some information we miss about God!.
Maybe yes maybe no, who knows btw?
 
Back
Top Bottom