Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Aiseeeee.........unakata kusema mwanamke alimfanya nini Mungu!?Hello wanaume wenzangu kokote mliko
nawaasa sana kokote mliko
Punguza sauti mtaalam,Katiba ndio iliyoleta haya yote.kuna kesho.Ndio hivyo sasa CCM 'wamekabizi' kila kitu kwa mwanamke tena mzee. Watanzania tuchunguzwe yawezekana sisi ndio aliens
Si unampenda mkeo mzee babaKwanini uandike jina lake? Tuanzie hapo.
Matatizo ni mengi mkuu, lakini watanzania ni tatizo nambari moja. Watu wa hovyo hovyo ni wengi sanaPunguza sauti mtaalam,Katiba ndio iliyoleta haya yote.kuna kesho.
Hata uongozi na madaraka tuwe makini sana kuwapa hawa viumbeMwenyezi Mungu aliposema tuishi nao kwa Akili,
Ukishamuandika ni Chake na umeridhia kumpa sasa shida iko wapi?Si unampenda mkeo mzee baba
Muachie tu ndio uanaume huo! Mie wacha niandikie watoto wangu tuUkishamuandika ni Chake na umeridhia kumpa sasa shida iko wapi?