Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha.....ndo unachowaza muda wote?
Kubwa kubwa?
bonge bonge!!!!
Halafu wewe unaharibu mada za watu
Toka lini mwanaume akavaa Gstring? Huyo nna mashaka nae
Toka lini mwanaume akavaa Gstring? Huyo nna mashaka nae
Hujaona uzi eeh? Utafute kama una mbavu za spea
Hahahahahaaaaaa, jamaa anapenda sana 'jicho' lake linavyotekenywa na G-string akiwa anatembea!
Profesa umechelewa leo....nilikuwa nangoja tathmini zako...
View attachment 165714View attachment 165716View attachment 165717Kuna viumbe Mungu kavibariki kama si kuvipendelea kabisa....ebu ona huyu mama mzao wa 14 Augost1966 Takribani 46yrs anawaka km kigori cha miaka 26....wakati kuna "mangulu bange" kitaa hata miaka 20 bado sura km vizee vya 58!kazi ya kuunga usiku kwa usiku.....tamasha mpaka uzinduzi!
Huyo ni 48 yrs kasoro miezi miwili (naweka record sawa mkuu), mbona hapa Tanzania wapo au wewe wa kwako keshaanza kuonekana ana 58 yrs wakati ana 25yrs, wewe ndio mmemfanya achuje na imekula kwako na huyo ndio chaguo lako sijui utafanyaje sasa