Mkuu sote tunajua lengo la uzi huu ni very positive ,,sipingi mawazo yako ila kumshambulia mtoa mada hii burudishi ni kutukosea wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
He is pathetic[emoji23][emoji23], leo nmejisikia kutumia hilo neno kama litakua sio sahihi niko tayari kujua maana yakeSilly [emoji35][emoji35][emoji34]
Jr[emoji769]
Msafara wa mamba haukosi kenge. Lets move on, drop him offMmh aisee sikuwaza kuwa alikuwa negative...that's a load of stupidity...
Jr[emoji769]
Ndeko mbote!
Ndo uungwana.Sure... Let's move on.. I have already ignored him...
Jr[emoji769]
Huu mdomo akiwa anakulia koni aiseh... mdomo unafaa sana kula koni huo...dah aisehh sna neno Noelia fungua PM au niPM ww.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani jamani jamani kuna watu ni wafukunyuzi hasa, na kimsingi huwa wanatuchora vilivyo na kwa sehemu kubwa wakiangalia baadhi ya viungo mwili vinavyoonekana na kulinganisha na visivyoonekana
Viungo maarufu ni midomo vidole vyote vya miguuni na mikononi
Kwamba mtu mwenye lips [emoji182] nene ama nyembamba basi kuna kiungo kingine vinafanana copy right
Kwamba kama mtu ana vidole virefu vinene ama vyembamba basi kuna pahala ni same same
[emoji15] [emoji2] [emoji2] [emoji23]kicheko ni pale ninapomuona mtu ana vidole vifupi sana kisha vyembamba wallah sipati picha pacha yake ikoje[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Chunguza sana watu wasiopenda kuvaa open shoes na muda wote hataki hata mikono yake uone....!!!!
Between hizi ni assumptions tu za wanadamu usitishike ukaanza kukosa uhuru na viungo vyako, na wewe acha ufukunyuzi na kuanza kukodolea watu mimacho
NB: kuna watu huchagua wenza kutokana na mwonekano wa viungo hasa midomo na vidole
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1422343[emoji39][emoji39][emoji39][emoji108][emoji108][emoji108]
"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
Mbona kama kweli [emoji3]
[emoji1787][emoji1787]Mbona kama kweli [emoji3]
Hadi wewe umeona eeh?[emoji1787][emoji1787]
Tuone onyesha mfano wa picha yako kwanza [emoji3]Weka picha [emoji85]
Jr[emoji769]