Kuna viungo vya mwili lazima vifanane

Kuna viungo vya mwili lazima vifanane

Na hii kwa wanawake nafkir inaenda mbali zaid....hadi kwenye aina ya mavazi anayopendelea. Kuna watu wanapenda kuvaa modo au vinguo vya kubana na wengine wanapendelea kuvaa minguo mipana, ya kupwelepweta, yenye matambalatambala, ya ujiuji n.k

Hiyp pia inaenda sambamba na maungo yao. Na hata viwanda vya nguo washajua...nguo za wanawake wanaweka malembo hayo na wanaume nao wanawekewa malembo ya boksi au mshazali yenye kuwachora kama maumbile yao.

Nafkir ufanyike utafiti ebu

An ant on the move does more than a dozing ox.
 
uzi wako bila picha kiukweli unanitoa mlali ya kuchangia
IMG-20170729-WA0048.jpg
haya pata mlali (morali) [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji323] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishakuwa soo...

Mtaani kashifa kibao...

Ngwea nimeshaamua sasa MILUPO noo...

Nahitaji Honey, Mwandani aendane nami...

Kuanzia Tabia mpaka vitu fulani...

Yaani ikiwezekana apandishe hata Majani...

Na asiwe anaboreka anapokuwa nami...

Awe anakata VIUNO aliefunzwa Unyagoni...

Awapo Kitandani anipe Burudani...

Awe mwenye Lips pana, na maana ndio moja ya vitu vinavyonichanganya...

Akicheka ana Mwanya, sitokuwa na cha kufanya zaidi ya Kumpenda sana...
 
Ishakuwa soo...

Mtaani kashifa kibao...

Ngwea nimeshaamua sasa MILUPO noo...

Nahitaji Honey, Mwandani aendane nami...

Kuanzia Tabia mpaka vitu fulani...

Yaani ikiwezekana apandishe hata Majani...

Na asiwe anaboreka anapokuwa nami...

Awe anakata VIUNO aliefunzwa Unyagoni...

Awapo Kitandani anipe Burudani...

Awe mwenye Lips pana, na maana ndio vitu vinavyonichanganya...

Akicheka ana Mwanya, sitokuwa na cha kufanya zaidi ya Kumpenda sana...
[emoji15] [emoji15] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iyo ni kweli kabisa mshana umejuaje ukitaka kujua ni bwawa au kisima kabla ya shoo we angalia vidole tu vya miguu utapata majibu kama ni vyembamba virefu kimbia uvunjika kama unakibamia uyo mtu hakufai
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji781] [emoji779] [emoji817]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom