kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
uzi wako bila picha kiukweli unanitoa mlali ya kuchangia
[emoji15] [emoji15] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ishakuwa soo...
Mtaani kashifa kibao...
Ngwea nimeshaamua sasa MILUPO noo...
Nahitaji Honey, Mwandani aendane nami...
Kuanzia Tabia mpaka vitu fulani...
Yaani ikiwezekana apandishe hata Majani...
Na asiwe anaboreka anapokuwa nami...
Awe anakata VIUNO aliefunzwa Unyagoni...
Awapo Kitandani anipe Burudani...
Awe mwenye Lips pana, na maana ndio vitu vinavyonichanganya...
Akicheka ana Mwanya, sitokuwa na cha kufanya zaidi ya Kumpenda sana...
Heheheheheheee basi ndo hivo hivo
hivi vikiwa vya siri ukivitaja Si utakuwa mwanamk tayar?Viungo vya siri je?!
Unautafsirije ulemavu? Ulemavu ni kupunguka ama kukosekana ama kutotimia kwa kiungo/viungo fulani mwilini tangu kuzaliwa ama kutokana na matendo ya binadamu
Ombi: weka hapa tuone[emoji3][emoji3][emoji3] sina lips hizo aisee
Kweli kaka. Ratiba zimekuwa Si rafiki kwangu. Karibu sana. Leo naanza kuandikisha orodha ya wanaostahiki kupata NOAH. Njoo ujiorodheshe
[emoji106] [emoji106] [emoji115] [emoji23] Mimi naomba upendeleo nataka AlphadyKweli kaka. Ratiba zimekuwa Si rafiki kwangu. Karibu sana. Leo naanza kuandikisha orodha ya wanaostahiki kupata NOAH. Njoo ujiorodheshe
Sent using Jamii Forums mobile app
Uje na kijitabu cha green[emoji106] [emoji106] [emoji115] [emoji23] Mimi naomba upendeleo nataka Alphady
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji102] [emoji102] [emoji102] kwaheri[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji781] [emoji779] [emoji817]Iyo ni kweli kabisa mshana umejuaje ukitaka kujua ni bwawa au kisima kabla ya shoo we angalia vidole tu vya miguu utapata majibu kama ni vyembamba virefu kimbia uvunjika kama unakibamia uyo mtu hakufai