Ni vigumu sana mchezaji mzuri kutoka utopolo au kinye FC kufanya vizuri akihamia Simba hasa kwa mechi za ndani.
Hii si bahati mbaya ama wao wanavyoita eti mikosi. Huu ni utaratibu wa vizee fulani vinavyodiriki kufanya assist uwanjani ili Fei afunge.
Nimeona video ya Manzoki akitamba kuwafunga kinye FC kesho. Bahati mbaya maskini kwake kwani kuna vizee havilali leo kuhakikisha hatimizi ahadi yake.
Mpira utakwamia kinye FC na sitarajii kuwa watafanya vizuri kimataifa kwani hivi vizee vinaogopa kusafiri nje ya nchi kutekeleza majukumu yao
Hii si bahati mbaya ama wao wanavyoita eti mikosi. Huu ni utaratibu wa vizee fulani vinavyodiriki kufanya assist uwanjani ili Fei afunge.
Nimeona video ya Manzoki akitamba kuwafunga kinye FC kesho. Bahati mbaya maskini kwake kwani kuna vizee havilali leo kuhakikisha hatimizi ahadi yake.
Mpira utakwamia kinye FC na sitarajii kuwa watafanya vizuri kimataifa kwani hivi vizee vinaogopa kusafiri nje ya nchi kutekeleza majukumu yao