Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Kando ya barabara zote kunaweza kujengwa maduka yakapangishwa wamachinga. Hili linaweza kusimawa na halmamashauri za Wilaya. Majengo yakiwa ya kuvutia yatafanya mji uwe safi. Pia kujenga vyoo vya kulipia, kwa wenye maduka wataingia bure kwani kodi yao inachangia huduma za choo.
Halmashauri kujenga nyumba za kupanga, litaondoa tatizo la uhaba wa nyumba na kupunguza adha ya kuishi kwenye face me I face you. Biashara ya nyumba ni huduma pia kwa jamii na ikifanyika kwa mtaji mkubwa ina faida.
Makusanyo ya kila wilaya yanaweza kuchangia mishahara ya polisi katika Wilaya hiyo kutokana na mahitaji yake ya ulinzi. Hii itaipungizia mzigo serikali kuu. Wilaya inaweza kuajiri polisi countable wa ziada kama inawahitaji.
Kudhibiti wabadhirifu wa mali ya umma.
Halmashauri kujenga nyumba za kupanga, litaondoa tatizo la uhaba wa nyumba na kupunguza adha ya kuishi kwenye face me I face you. Biashara ya nyumba ni huduma pia kwa jamii na ikifanyika kwa mtaji mkubwa ina faida.
Makusanyo ya kila wilaya yanaweza kuchangia mishahara ya polisi katika Wilaya hiyo kutokana na mahitaji yake ya ulinzi. Hii itaipungizia mzigo serikali kuu. Wilaya inaweza kuajiri polisi countable wa ziada kama inawahitaji.
Kudhibiti wabadhirifu wa mali ya umma.