Kuna vyanzo vingi vya mapato serikali ingeweza kuvibuni bila kuongeza kodi

Kuna vyanzo vingi vya mapato serikali ingeweza kuvibuni bila kuongeza kodi

Chanzo kikubwa sana cha mapato TANZANIA HII AMBACHO HAKITAJWI SANA NI LUZUIA YAFUATAYO;
1. Imarisha audit na dhibiti wizi
2. Ongea adhabu kwa wezi wa mali ya uma
3. Decentralized madaraja, yaende chini.. kumjazia madaraka mtu mmoja kunashawishi wizi nanubadhilifu wa mali ya uma
4. Kesi za wizi lifanywe kimwendokasi. Mwizi huna haja ya kumweka mahabusu muda mrefu
 
Kando ya barabara zote kunaweza kujengwa maduka yakapangishwa wamachinga. Hili linaweza kusimawa na halmamashauri za Wilaya. Majengo yakiwa ya kuvutia yatafanya mji uwe safi. Pia kujenga vyoo vya kulipia, kwa wenye maduka wataingia bure kwani kodi yao inachangia huduma za choo.

Halmashauri kujenga nyumba za kupanga, litaondoa tatizo la uhaba wa nyumba na kupunguza adha ya kuishi kwenye face me I face you. Biashara ya nyumba ni huduma pia kwa jamii na ikifanyika kwa mtaji mkubwa ina faida.

Makusanyo ya kila wilaya yanaweza kuchangia mishahara ya polisi katika Wilaya hiyo kutokana na mahitaji yake ya ulinzi. Hii itaipungizia mzigo serikali kuu. Wilaya inaweza kuajiri polisi countable wa ziada kama inawahitaji.

Kudhibiti wabadhirifu wa mali ya umma.
Sasa hapa ndio umeongea nini? Pesa za kujengea zinatoka wapi? Unajua return za real estates,machinga complex imepangishwa? Masoko kibao yaliyojengwa umeona yanatija?

Sio Kazi ya serikali kufanya biashara au kushindana na private sector hakutakuwa na uchumi hapo.

Kuropoka kama hivi ni simple Sana ila ufanisi wake hujui hujawah fanya tqfiti popote wala kuthibitisha hii model imefaulu wapi.

So far kuna fremu nyingi tuu mitaani ziko empty za watu binafsi na Serikali inataka tena itumike pesa ya wananchi kufukiwa kwenye mambo yasiyo na msingi.

Pole Sana,wakiingia chadema madarakani ndio mje mfanye huu ujinga.
 
Ni kweli. Hii informal sector ambayo serikali inakumbatia ndiyo inalirudisha taifa nyuma. Kuna billions of money (untaxed) goes through informal sector. Na serikali ndo ikawapa jina wanyonge.
Mbili. Serikali inaboreshe mazingira ya watu kuzalisha na sio kuwa wachuuzi wa bidhaa za china.
 
Kando ya barabara zote kunaweza kujengwa maduka yakapangishwa wamachinga. Hili linaweza kusimawa na halmamashauri za Wilaya. Majengo yakiwa ya kuvutia yatafanya mji uwe safi. Pia kujenga vyoo vya kulipia, kwa wenye maduka wataingia bure kwani kodi yao inachangia huduma za choo.

Halmashauri kujenga nyumba za kupanga, litaondoa tatizo la uhaba wa nyumba na kupunguza adha ya kuishi kwenye face me I face you. Biashara ya nyumba ni huduma pia kwa jamii na ikifanyika kwa mtaji mkubwa ina faida.

Makusanyo ya kila wilaya yanaweza kuchangia mishahara ya polisi katika Wilaya hiyo kutokana na mahitaji yake ya ulinzi. Hii itaipungizia mzigo serikali kuu. Wilaya inaweza kuajiri polisi countable wa ziada kama inawahitaji.

Kudhibiti wabadhirifu wa mali ya umma.
Mkuu biashara zote ikifanya serikali wewe utafanya nini?

Usiniambie serikali ikijenga fremu za kutosha mjini na vijijini siye tutawapangishia kina nani?

Mkuu tutakao athirika ni wengi kuliko madhara ya hiyo tozo

Lipa tozo kwa masirahi yako,nchi yako na kwa manufaa ya mafisadi
 
Kwanza, kando ya barabara sio sehemu ya kujenga maduka ya biashara ndogo ndogo.

Mbili,Tuachane na tukatae mawazo ya kijamaa ya kufikiri kwamba serikali inaweza kufanikiwa katika kufanya biashara zaidi ya sekta binafsi.Miaka 20 ya ujamaa ilishindwa vibaya, maduka ya ushirika yaligeuka mateso. Mwinyi alifanya uamuzi wa maana kuifungua nchi.

Tatu, hata kama serikali au hizo halmashauri zitataka kujenga hayo maduka hawana hizo fedha.Kama tu fedha za kujenga zahanati, vyoo mashuleni na maji ya bomba ni shida hizo za kujenga maduka barabarani watazipata wapi??
 
Kando ya barabara zote kunaweza kujengwa maduka yakapangishwa wamachinga. Hili linaweza kusimawa na halmamashauri za Wilaya. Majengo yakiwa ya kuvutia yatafanya mji uwe safi. Pia kujenga vyoo vya kulipia, kwa wenye maduka wataingia bure kwani kodi yao inachangia huduma za choo.

Halmashauri kujenga nyumba za kupanga, litaondoa tatizo la uhaba wa nyumba na kupunguza adha ya kuishi kwenye face me I face you. Biashara ya nyumba ni huduma pia kwa jamii na ikifanyika kwa mtaji mkubwa ina faida.

Makusanyo ya kila wilaya yanaweza kuchangia mishahara ya polisi katika Wilaya hiyo kutokana na mahitaji yake ya ulinzi. Hii itaipungizia mzigo serikali kuu. Wilaya inaweza kuajiri polisi countable wa ziada kama inawahitaji.

Kudhibiti wabadhirifu wa mali ya umma.
Chama Cha Mazezeta na ubunifu ni sawa na mbingu na Ardhi
 
Usipolipa unapelekwa mahamani na hukumu ya kutolewa kwenye nyumba inatoka. Pia unaharibiwa rekodi huwezi kupangishwa kokote tena. Yakiwatokea wachache itakua ni mfano.
Mahakama inapaswa kuendesha kesi za msingi zilizorundikana kuliko hizi za kudaina kodi za fremu
 
Mkuu biashara zote ikifanya serikali wewe utafanya nini?

Usiniambie serikali ikijenga fremu za kutosha mjini na vijijini siye tutawapangishia kina nani?

Mkuu tutakao athirika ni wengi kuliko madhara ya hiyo tozo

Lipa tozo kwa masirahi yako,nchi yako na kwa manufaa ya mafisadi
Kwa hii kodi hata miamala ya simu itapungua. Tumerudia zama za ujima ndugu wanachukua pesa dukani kwa Mpemba Tabora unampelekea kaka yake pesa Magomeni. Wakishakubaliana pesa imefika Tabora inatoka.
 
Mahakama inapaswa kuendesha kesi za msingi zilizorundikana kuliko hizi za kudaina kodi za fremu
Mteja anaitwa mahakamani kujieleza kwanini hajakipa kodi na ni kwanini asifikuzwe. Maelezo yakiridhia analipa gharama za kesi pamoja na malimbikizo ya kodi mpaka amalize. Anaweza kulipa laki nne kama kodi ya awali ni laki tatu na nusu.

Kila mwaka wa fedha kodi inapanda kidogo inaweza kupanda kwa shilingi 10,000 au 20.000.

Akishindwa kesi bado atadaiwa gharama za kesi na malimbikizo ya kodi ambayo hajayalipa.
 
Hakuna serikali yoyote duniani inayo endelea bila kutoza kodi.

lazima watanzania tujenge utamaduni wa kujenga nchi yetu kwa kuchangia maendeleo.

Kama unauwezo wa kutuma pesa basi unajiweza, huwezi kusema eti ww ni masikini.

halafu unatozwa pindi unapo tuma na kutoa.

Ila kama kuna mapungufu kidogo tiyataje ili warekebishe kama inawezekana.

tulipe kodi, hakuna nchi inayoweza kujiendesha au kuleta maendeleo bila kulipa kodi.

Hizi kodi ndio hizo ndio zinawajengea mahekalu wastaafu wakati hawana uhitaji nayo, na kuwazungusha kuona miradi. Kodi hizo hizo ndio zinatumika kununua maVXR ya viongozi, na kutengeneza misafara mirefu isiyo na tija.
 
Hizi kodi ndio hizo ndio zinawajengea mahekalu wastaafu wakati hawana uhitaji nayo, na kuwazungusha kuona miradi. Kodi hizo hizo ndio zinatumika kununua maVXR ya viongozi, na kutengeneza misafara mirefu isiyo na tija.
hapana kodi hizi ni mahususi, haziendi sehemu nyingine isipokuwa kwenye maendeleo ya ujenzi wa vyumba vya madara ya kusomea watoto zetu, kuboresha huduma za afya wanapo jifungulia mama zetu na dada zetu, kuboresha barabara zetu ili boda zetu zipite kwa wepesi.
 
hapana kodi hizi ni mahususi, haziendi sehemu nyingine isipokuwa kwenye maendeleo ya ujenzi wa vyumba vya madara ya kusomea watoto zetu, kuboresha huduma za afya wanapo jifungulia mama zetu na dada zetu, kuboresha barabara zetu ili boda zetu zipite kwa wepesi.
Hizo kodi nyingine mbona hazikujenga hivyo vitu ndio zitajenga sasa? Wakati wa Magufuli tuliambiwa zimejengwa hospitali 67 za rufaa, zahanati 300+, tukaomba sana hatutaki idadi, bali tunataka liwekwe jedwali la hizo hospitali zilipo, mkoa, wilaya na kata, na thamani yake kisha tujiridhishe na hayo maneno. Hilo halikuwahi kufanyika. Ili tujue ww sio wale mlioshikiwa akili, weka jedwali la hizo hospitali zilipo, na thamani yake. Hapo nitajua kama unajua lolote, ama unapiga siasa mfu tu hapa jukwaani.
 
Kando ya barabara zote kunaweza kujengwa maduka yakapangishwa wamachinga. Hili linaweza kusimawa na halmamashauri za Wilaya. Majengo yakiwa ya kuvutia yatafanya mji uwe safi. Pia kujenga vyoo vya kulipia, kwa wenye maduka wataingia bure kwani kodi yao inachangia huduma za choo.

Halmashauri kujenga nyumba za kupanga, litaondoa tatizo la uhaba wa nyumba na kupunguza adha ya kuishi kwenye face me I face you. Biashara ya nyumba ni huduma pia kwa jamii na ikifanyika kwa mtaji mkubwa ina faida.

Makusanyo ya kila wilaya yanaweza kuchangia mishahara ya polisi katika Wilaya hiyo kutokana na mahitaji yake ya ulinzi. Hii itaipungizia mzigo serikali kuu. Wilaya inaweza kuajiri polisi countable wa ziada kama inawahitaji.

Kudhibiti wabadhirifu wa mali ya umma.
Hakika umenena vema,kukuza mapato ya serikali kwa kuongeza Kodi kwa wananchi siyo tija sana,sababu inaongeza makovu kwa wananchi,badala yake mapato yaongezwe kwa kubuni Huduma ambazo wahitaji watalipia hizo Huduma kama ulivyoainisha,nipo Lebanon since mwezi wa tano,hii nchi kwa mfano ili kuogeza walipa kodi kwa kupunguza idadi ya wakwepa kodi VAT ni only 10%,compared na 18% ya Tanzania, hiki ni kiwango kikubwa sana,kwa mfano pata wafanyabiashara 1000 was uhakika was kulipa kodi ya ongezeko la thamani VAT kwa 10%, itakuwa bora kuliko kuweka 18% halafu wafanyabiashara 600 wakakwepa kodi,wewe unafikiri,hauwazi,,,,,,hongera kwa hoja nzuri
 
Hakika umenena vema,kukuza mapato ya serikali kwa kuongeza Kodi kwa wananchi siyo tija sana,sababu inaongeza makovu kwa wananchi,badala yake mapato yaongezwe kwa kubuni Huduma ambazo wahitaji watalipia hizo Huduma kama ulivyoainisha,nipo Lebanon since mwezi wa tano,hii nchi kwa mfano ili kuogeza walipa kodi kwa kupunguza idadi ya wakwepa kodi VAT ni only 10%,compared na 18% ya Tanzania, hiki ni kiwango kikubwa sana,kwa mfano pata wafanyabiashara 1000 was uhakika was kulipa kodi ya ongezeko la thamani VAT kwa 10%, itakuwa bora kuliko kuweka 18% halafu wafanyabiashara 600 wakakwepa kodi,wewe unafikiri,hauwazi,,,,,,hongera kwa hoja nzuri
Sasa Wamachinga wanajengewa Machings Comlex ambako si mapito ya watu. Wakijengewa kando ya barabara ni rahisi kuonana na wateja. Pia katika upanuzi wa barabara Serikali italipana na Halmashauri katika kuvunja maduka.
 
Dada sky ulichoandika hapa ni nadharia tupu ambazo serikali imekuwa ikizifanya lakini utekelezaji wake ni mgumu

Kwa mfano suala la vyoo kuna vyoo vya kulipia sehemu ambapo kuna mzunguko wa watu lakini badala ya watu kulipia wanajisaidia bure kwenye ukuta bure nyuma ya hicho choo na wengine wanajisaidia kwenye mtaro na machakani alimradi kukwepa gharama ya kulipia huduma ya choo

Unasema serikali ijenge majengo ya kuwapangisha machinga lakini majengo hayo yapo, je yanatumika?

Mfano kuna jengo la machinga complex ni wamachinga wangapi wanafanyia biashara zao mle?

Tuseme tu ule ukweli machinga wetu wamezoea kufanyia biashara barabarani hata kama yakijengwa masoko ya kuwapangisha hawataingia kwa sababu wanajua itakuwa rahisi kwao kukamatika kwenye kulipa kodi
 
Sasa Wamachinga wanajengewa Machings Comlex ambako si mapito ya watu. Wakijengewa kando ya barabara ni rahisi kuonana na wateja. Pia katika upanuzi wa barabara Serikali italipana na Halmashauri katika kuvunja maduka.
Hayawezi kuwa mapito ya watu kwa sababu machinga hawataki kwenda kule ila wakienda wateja watalazimika kuwafuata ili kupata huduma sema sisi machinga wetu wamezoea kufanya biashara kijanjanja hawataki kwenda kule wanataka kufanyia biashara barabarani kwa sababu ni rahisi kukwepa kodi
 
Back
Top Bottom