Kuna wadada humu wananichanganya roho

Et angewaoa...
hapa nampatia picha bwana puppa akiimba ule wimbo wa malaikaa nakupenda malaika...kijana mwenzioo...nashindwa na mali sina weee

Hahahaha sasa anakuwa anamuimbia nani??... Bujibuji au Asprin?
 
Last edited by a moderator:
ndio maana nimeomba samahani kaka sikujua kama hao ni wanaume.
ila comments zao zina nakshi naksh me nikadhani ni madada

Hahahaa yani bado unaendelea tu??

Nakshi nakshi zipi ulizoona??
 
Hadi faiza foxy dogo utakuwa sio mzima teh teh..
 
Halafu na mimi muda mrefu nlikuwa natafuta sana mume.

Nitafute
 
duuu we dogo ulichofanya ni kuvunjia watu heshima kabisa yan....hivi ban haijakutembelea bado?
 
Yaani na ASPRIN aaah hizi sasa dharau za mchana kweupe.
 
Hahaha ! Dogo kavurugwa huyo , dogo kazana na mastervation dadeki
 
Pesa inaoa au wewe ndo unaoa?:what:
 
Hahaaahaa una uhakika na unachopost
 

duh, hauko sahihi..
 
Bwana shemeji ujue hata sikuusoma huu uzi jana? Nilikuwa na wenge la usingizi ndio meusoma now.

Nyambafu zake huyu dogo kwa kunitukania babu yangu Asprin

Ahsante kwa kunijali mpenzi. Sitakuangusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…