Kuna wadada humu wananichanganya roho

Mbona hata hapa ni marafiki?
Ila uwe mwanamabadiliko tu,otherwise sitokujibu tena baada ya hapa.

Watu mnajua kufanya campaign..... Urafiki mpaka uwe mwanamabadiliko hahaha
 
Ha ha ha ha haaaa....kwee kwee kweee...kwii kwii kwiii
 

Dogo wengine ni wanaume...angalia yasikukute yaliyomkuta Dr pimbi
 

ha ha haaaa... Bujibuji kuna David Cameron ametangaza nia
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha haaaa yeuwiiii Nguruwe kaingia msikitinii... hahahahaaaa Asprin hahahaaa Jamani mieeee... Wacha niongee kikwetu kidogoo... Uuushooo Enkai tukutaiii ndarasin oo ndarasi.

Uuusho eata eng'oki enaengayoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…