Kuna wadada maarufu kwenye mitandao na sanaa siyo wa kuwafuatilia, wana hasira na maisha yenu ili mkose wote

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Napita kwenye mtando fulani kupitia kipindi cha chanel 5 kikimuonesha Joyce Kiria yaani aliyokuwa anayaongea kama kuna wanawake wanao sikilizaga kile kipindi cha ze dada huko mtapoteza mahusiano sana.

Tuje kwa hawa wengine wanao wapa ushauri sijui mahari bilioni wakati mfahamu uchi anampa nani tena bure. Na wanawake hawa wamekuwa wengi mpaka wanafanya mabinti nzetu kutupa wasiwasi jinsi mnavo wachanganya kwenye maadili.

 
Mwanamke kuwa na kucha za hivo ni uzombi na upumbavu.kucha kama ndege tumbusi.kwa kucha hizo mme wake akiwa anamshugulikia si anaweza kumkwarura nyundo yake na kuijeruhi
 
Yupo sawa 50/50
 
Style kifo cha mende, akijitahidi sana dog, mwambieni hata sisi hatumfagilii maana Hana burudani.
 
Wako wengi mno! Masingo Maza, mashoga, wadangaji, mashangazi....
Eti wanaita Feminism!
Kazi ipo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…