Kuna wadada wana kiherehere

Kuna wadada wana kiherehere

Dogoli kinyamkela

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2024
Posts
618
Reaction score
1,440
Kuna wadada wana kiherehere, kanaanza mahusiano na mwanaume hana kazi wala biashara. Hujawahi kuona juhudi zake za utafutaji, unajichanganya kumchukulia mkopo halafu unakuja kutuita sisi wote mbwa sababu ya ubwege wako mwenyewe. Kaa jinga🄓🄓
 
Hivi kwa mfano ukiwa Wewe sio BIG halafu kuna mdau kila akikuona anakuita BIG hii ina maana gani? Kuna jamaa amekomaa ananiita BIG kila akiniona BIG halafu Mimi sio BIG natamani kumzingua nimwambie aloo mimi sio BIG, hivi hii inakuaje?
kulingana na misimu ya lugha ya kiswahili mtu akikuita BIG inamaana anakupa heshima kubwa ila akikuita DOGO ujue anakushusha heshima, kwahiyo mshkaji wako kukuita BIG ni heshima hiyo
 
kulingana na misimu ya lugha ya kiswahili mtu akikuita BIG inamaana anakupa heshima kubwa ila akikuita DOGO ujue anakushusha heshima, kwahiyo mshkaji wako kukuita BIG ni heshima hiyo
Kwa jamaa ni km anani-appreciate sana Mimi sielewi kabisa yeye akiniona ni BIG BIG yaan haniiti jina langu ananiita BIG ni km nina kitu kinacho mu-inspire na Mimi sijui nabaki kushangaa tu sielewi BIG kivipi Mimi mboni hata kitambi sina
 
Hivi kwa mfano ukiwa Wewe sio BIG halafu kuna mdau kila akikuona anakuita BIG hii ina maana gani? Kuna jamaa amekomaa ananiita BIG kila akiniona BIG halafu Mimi sio BIG natamani kumzingua nimwambie aloo mimi sio BIG, hivi hii inakuaje?
Inawezekana una mbichwa mkubwa hadi kusikitika kwa kukitingisha huwezi.Ndiyo jina BIG lilipoanzia.
 
Hivi kwa mfano ukiwa Wewe sio BIG halafu kuna mdau kila akikuona anakuita BIG hii ina maana gani? Kuna jamaa amekomaa ananiita BIG kila akiniona BIG halafu Mimi sio BIG natamani kumzingua nimwambie aloo mimi sio BIG, hivi hii inakuaje?
Akikuita hivyo unapungua sehemu gani ya mwili wako???? Jumatatu itakuwa siku ya kwanza ya likizo
 
Back
Top Bottom