Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
- Thread starter
- #21
😀 tatizo wife ananihoji inakuwaje napigiwa usikuFanya biashara dogo achana na mawazo ya kijinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀 tatizo wife ananihoji inakuwaje napigiwa usikuFanya biashara dogo achana na mawazo ya kijinga.
F*UUshamba ukizidi muone daktari. Unaonekana ni age go pia.
And ua mom
Kwenye biz kuna mambo ambayo ni ya muhimu hata usiku wa manane kupigiwa simu ni kawaidaanakupigia simu ya biashara saa 7 usiku
Mshamba wewe uliyetushirikisha jambo dogo hilo uliloshindwa kulifanyia maamuzi mtoto wa kiumeAcha ushamba wako .... we unaona ni sawa kumpigia mtu simu usiku wa manane je kama ni mume wa mtu ... just piss off sio lazma utoe comment
Unakiherehere kwenye mambo ya watuMshamba wewe uliyetushirikisha jambo dogo hilo uliloshindwa kulifanyia maamuzi mtoto wa kiume
Tupe hiyo namba tumuonyeMimi ni mlokole sina mambo hayo
As long as ni kazi I will pick the phone no matter what, hutaki hizo si it's better ukazima kama umeridhika na maisha, na kama mweza wako anawasiwasi na simu za hivyo basi Kuna shida mahala. Lastly, usiwe mkali Kwa sisi tubaochangia Kwa sababu umesema tukupe mawazo yetu na hayo ndio mawazo yetuAcha ushamba wako .... we unaona ni sawa kumpigia mtu simu usiku wa manane je kama ni mume wa mtu ... just piss off sio lazma utoe comment
Hayo sio ya watu yangekuwa ya watu ungekaa nayo huko huko umeleta hapa tutachangia tunachoonaUnakiherehere kwenye mambo ya watu
Vidole ni mali yako funguka mamaHayo sio ya watu yangekuwa ya watu ungekaa nayo huko huko umeleta hapa tutachangia tunachoona
Umeyaleta nje mwenyeweUnakiherehere kwenye mambo ya watu
Hhhhhh ....Tupe hiyo namba tumuonye
We nimeshaona unanitaka sema unajizungusha tuUmeyaleta nje mwenyewe
Wacha yakuvagae
Sijajua jinsia yako lakini kama ni ke njoo uone ulegelege wanguKwani anakulazimisha kupokea simu yake? Potezea acha usipokee. Halafu nyie ndio wanaume legelege attention seekers. Tatizo dogo km hilo unakimbilia kuomba ushauri vipi utaweza kuhimili ndoa wewe?
Nasubir ushuhuda wako kwa riki boyWe unadhani atafunguka ? Hapo ni kujiongeza mwenyewe
Nimekuelewa kkKwenye biz kuna mambo ambayo ni ya muhimu hata usiku wa manane kupigiwa simu ni kawaida
Jambo alilongea nawe alipokupigia lilikuwa urgent?
Kama jibu ni HAPANA piga marufuku kabisa aache hiyo tabia
Wewe huna cojones! Mtu mwenye akili timamu hawezi kuja kwenye mitandao kueleza upuuzi km huu wa kwakoSijajua jinsia yako lakini kama ni ke njoo uone ulegelege wangu
Na mtu mwenye akili hawezi kuja ku comment kwenye mada ya upuuzi ... wewe unatafuta bwana tu huna loloteWewe huna cojones! Mtu mwenye akili timamu hawezi kuja kwenye mitandao kueleza upuuzi km huu wa kwako