Kuna wadada wana majaribu; Unapigaje simu ya biashara saa 7 usiku!

Kuna wadada wana majaribu; Unapigaje simu ya biashara saa 7 usiku!

Acha ushamba wako .... we unaona ni sawa kumpigia mtu simu usiku wa manane je kama ni mume wa mtu ... just piss off sio lazma utoe comment
As long as ni kazi I will pick the phone no matter what, hutaki hizo si it's better ukazima kama umeridhika na maisha, na kama mweza wako anawasiwasi na simu za hivyo basi Kuna shida mahala. Lastly, usiwe mkali Kwa sisi tubaochangia Kwa sababu umesema tukupe mawazo yetu na hayo ndio mawazo yetu
 
Kwani anakulazimisha kupokea simu yake? Potezea acha usipokee. Halafu nyie ndio wanaume legelege attention seekers. Tatizo dogo km hilo unakimbilia kuomba ushauri vipi utaweza kuhimili ndoa wewe?
 
Kwani anakulazimisha kupokea simu yake? Potezea acha usipokee. Halafu nyie ndio wanaume legelege attention seekers. Tatizo dogo km hilo unakimbilia kuomba ushauri vipi utaweza kuhimili ndoa wewe?
Sijajua jinsia yako lakini kama ni ke njoo uone ulegelege wangu
 
Back
Top Bottom