Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

[emoji1666]
 
Subiri kwanza umeolewa? Na hyo miaka yako 30++
 
Sawa rafiki.
 
Sijaolewa.
Basi kaa kimya kama huna experience yoyote ya ndoa. Me I thought umeolewa utupe ushuhuda wako maybe labda na wewe ulipitia haya ila saiv una anniversary kadhaa but uko hapa kutoa negative thoughts..

Sometimes wanawake wanafanya kazi za ajabu kama mapito tu,kwani kuna graduates wangapi wanagawa soda kwenye bm,klm,tilisho etc hao wanatofaut gan na baamed
 
Cc: Bishop Hiluka , Ally Yakuti.
 

Nikae kimya? Hili ni jukwaa huru mzee. Kumshauri jamaa ajipe muda kumjua huyo mwanamke hiyo ni negative thought? Yaan watu wamekutana hata week hawana basi wachukuane tu? Na inataka hadi niwe ndani ya ndoa ndio nijue ni vizuri kumjua mtu angalau kidogo kabla ya kuingia kwenye ndoa? aisee kazi ni nzito.

Haya inawezekana kwako iko hivyo ila mtoa mada yeye atachagua ushauri anaoona unamfaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…