Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Kwanza kitendo cha kukubali kuondoka na jamaa kinatosha kuwa red light. Kwa nini asingekataa kwenda naye? Kazi kwelikweli.
Kukataa haikuwa rahisi mkuu, ni vile tu hatufahamiani [emoji28], ila tungekuwa tunafahamiana nadhani hata sista ako kunikataa ni ngumu mno [emoji23] (utani tu)
 
Nimesoma komenti wadau wengi wanasema umpige chini,Mimi nashauri utulize kichwa kwanza huwezi jua mungu amekuandalia Nini maisha mwako,pengine ndo mwanamke wa maisha yako, kabla ya kumla kapimeni afya zenu kwanza kila la kheri bro!
 
Em
Embu gegeda kwanza tuangalie kama yaliyomo yamo isije ikawa housing


astakafirullah
 
😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Hujamgegeda kweli?najiulizatu mpaka munaenda hom lengo lilikua nin
 
Take your time remember no hurry in Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…