Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

๐—ก๐—ถ๐—ฝ๐—ฒ ๐—บ๐—บ ๐—ต๐˜‚๐˜†๐—ผ ๐—ฏ๐—ฟ๐—ผ ๐—ป๐—ถ๐—ผ๐—ฒ ๐—บ๐—บ ๐˜€๐—ถ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ธ๐—ฒ.
 
Another man down jana na leo umeshasahau uliekuuwa unataka kumuowa mwanake ni jasusi htr sn
 
Kaka,Mungu kakuletea mke mpaka mikononi,shauri zako,hayo ni makusudi ya Mungu kakupa mke ili umuamini akukuletea na mtu mliosoma pamoja!
 
Sasa,watahudumia kina nani? Maana hata akiletwa wa miaka 60,lazima kuna vijana watamptelekea moto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ