Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Watu wanawachukulia wahudumu wa bar kama Malaya,kama watu wasiyofaa

Hii siyo kweli

Huku nyuma Kuna maumivu makali mnoo ila Mungu ndiye anayejua
Kila field huwa akili za wahusika zinafanana hata ukiingia na tabia zako tofauti wakongwe watakuonesha mambo yanavyoenda nawe utafanana na uliowakuta. Wanacholipwa mabaamedi ni kidogo sana... kinachowawezesha kuishi ni umalaya, kuachiwa chenchi na kubambikia bill wateja.
 
Ni kweli, bar anayofanyia kazi ni platform ya kujitangaza tu lakini side hustles za umalaya ndio zinamfanya aweze kuishi, unakuta analipwa 70k kwa mwezi lakini kapanga geto, anapendeza, anakula, ana iphone jiulize anagawa vipi kipato chake.
Hakuna justification ya kufanya umalaya acha maneno yako hayo
 
Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress sikuamini. Mrefu, ana rangi ya udhurungi, shape ya kwenda, pua ya kisomali halafu nywele mpaka mgongoni! Baada ya malumbano yule binti mhudumu akawa analia.

Malezi niliyopewa na wazazi wangu ni kusababisha tabasamu kwa wengine, ingawa sababu ya ziada ni uzuri wake pia, nikamuita yule waitress, nikamuuliza kulikoni mbona malumbano? Akaniambia, "kaka angu, tangu nianze kazi hapa nina siku ya 9, kila mhudumu wa kike ananichukia wanadhani nitawachukulia mabwana zao, kumbe mimi natafuta maisha".

Nikapatwa na simanzi sana. Nikamwambia basi usilie, agiza kinywaji. Akasema na kazi anaacha. Eeh! Nikashtuka, akamuuliza kaunta anamdai sh ngapi ya vinjwaji, akamlipa hela yote, akaniambia kaka angu kama unataka kuninunulia bia twende ukaninunulie kwengine ila silali na wewe, nikamwambia poa. Kumbe ananipeleka sehemu ambayo atakutana na mwenyeji wake.

Tukahama joint, tukafika kwenye night club Moja hivi, akawa anakunywa bia kwa hasira kama mtu mwenye msongo hadi nikawa namzuia, wakati tuko pale akaja dada mmoja ambaye nilimuacha primary madarasa mawili, anamuita yule waitress dada, nikamuuliza vipi mnafahamiana? Akasema huyu ni mtoto wa marehemu mama mkubwa na mimi ndio nimempokea hapa mjini anaishi kwangu, ana matatizo makubwa, na yeye ndio kanitumia msg yuko hapa ndio nimekuja, yule waitress akafurahi kuona nafahamiana na ndugu yake.

Tamaa zikanijaa, nikamuomba sana niondoke naye kwasababu mimi sio stranger kwake tena kwasababu nafahamiana na ndugu yake, akaanza kumuuliza ndugu yake mara mbilimbili kwamba unamuamini huyu kaka? Ndugu yake akamjibu ndio, namfahamu sana tangu tukiwa Primary. Ikabidi ndugu yake aniapize kwamba sitafanya ufirauni [emoji2]

Tukaondoka, nikam-drop mdg mtu kwake, nikasepa na manzi. Tumefika kwangu aisee story aliyonipa inahuzunisha sana. Aliolewa miaka 2 iliyopita na mwanaume ambaye alikuwa na familia mkoani. Yeye akiwa amaemaliza Shahada yake ya kwanza ya BAF (Bachelor of Accounts and Finance) na kazi nzuri, mwanaume akamshauri aache kazi, kwa mapenzi binti akaacha kazi. Mwaka mmoja baadaye mwanaume akaanza kumnyanyasa, na ndio akagundua kwamba mwamba alikuwa ana mke na watoto 4 mkoa X!!! Kumbe binti ni yatima na alizaliwa kwao peke yake. Anachoshukuru ni hakuzaa na yule mwanaume kwasababu mwanaume hakutaka kuzaa nae kwa wakati ule.

Nikamuuliza kwanini auze bar na taaluma yake? Akasema ilibidi akimbie ule mkoa alipoolewa aje mkoa huu kuficha aibu na kuwasahaulisha watu, na akaona hawezi kukaa tu kwa ndugu yake bila kujishughulisha na chochote wakati anatafuta ajira. Kikubwa zaidi kwenye ile bar aliyoacha kazi hakuna mtu aliyekuwa anajua binti ni msomi, alijishusha afanane nao, nikamuuliza kazi umeacha kweli? akanijibu nimeacha kaka.

Baada ya zile story usiku wa jana nikamwambia haya lala mama. Asubuhi wakati naamka nakuta kavaa pensi na t-shirt yangu vyombo vyote kaosha, nguo chafu kafua, kuna sufuria nilitakaga kuzitupa ila kaziosha zimekuwa nyeupe kama theluji. Nikamuomba anioshe vyeti soft copy, aisee ni kichwa hasa, O na A level ni vijiti tu, Sekondari zote kasoma za kike. Chuo GPA KUBWA!

Mchana nikampa maelekezo asipike nitamuagizia Chakula ikabidi sasa nimtafute yule ndugu yake akaanza ku-verify zile taarifa alizonieleza Binti. Wakuu Mimi sijaoa, il Kuna Binti ambaye nilikuwa namfikiria fikiria kumuoa ila hili ni jaribu kwakweli. Yani huu ni wakati mgumu sana napitia, sielewi kwakweli. Sijamfanya kitu tangu Jana. Sasa hivi ndio nimeingia kwangu na msosi wake namuangalia tu hapa namna alivyotulia kwenye kochi anatazama tamthilia.
huwa nawachukulia hivyo na wale wa salon za kiume. najua tu amevaa vibaya hapendi ila maisha yamemfikisha hapo. sijawahi kuacha kuwapatia walau alfu 5 ya soda wakimaliza kazi. zamani nilidhani ni ndogo nikaja gundua wakiniona wanagombania kabisa, wanajua tayari lunch siku hiyo wamepata. huwa naandaa kabisa bajeti nikitaka kwenda kunyoa. nafanya hivyo kwa upendo tu na mahubiri wanapata vilevile.
 
Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress sikuamini. Mrefu, ana rangi ya udhurungi, shape ya kwenda, pua ya kisomali halafu nywele mpaka mgongoni! Baada ya malumbano yule binti mhudumu akawa analia.

Malezi niliyopewa na wazazi wangu ni kusababisha tabasamu kwa wengine, ingawa sababu ya ziada ni uzuri wake pia, nikamuita yule waitress, nikamuuliza kulikoni mbona malumbano? Akaniambia, "kaka angu, tangu nianze kazi hapa nina siku ya 9, kila mhudumu wa kike ananichukia wanadhani nitawachukulia mabwana zao, kumbe mimi natafuta maisha".

Nikapatwa na simanzi sana. Nikamwambia basi usilie, agiza kinywaji. Akasema na kazi anaacha. Eeh! Nikashtuka, akamuuliza kaunta anamdai sh ngapi ya vinjwaji, akamlipa hela yote, akaniambia kaka angu kama unataka kuninunulia bia twende ukaninunulie kwengine ila silali na wewe, nikamwambia poa. Kumbe ananipeleka sehemu ambayo atakutana na mwenyeji wake.

Tukahama joint, tukafika kwenye night club Moja hivi, akawa anakunywa bia kwa hasira kama mtu mwenye msongo hadi nikawa namzuia, wakati tuko pale akaja dada mmoja ambaye nilimuacha Kprimary madarasa mawili, anamuita yule waitress dada, nikamuuliza vipi mnafahamiana? Akasema huyu ni mtoto wa marehemu mama mkubwa na mimi ndio nimempokea hapa mjini anaishi kwangu, ana matatizo makubwa, na yeye ndio kanitumia msg yuko hapa ndio nimekuja, yule waitress akafurahi kuona nafahamiana na ndugu yake.

Tamaa zikanijaa, nikamuomba sana niondoke naye kwasababu mimi sio stranger kwake tena kwasababu nafahamiana na ndugu yake, akaanza kumuuliza ndugu yake mara mbilimbili kwamba unamuamini huyu kaka? Ndugu yake akamjibu ndio, namfahamu sana tangu tukiwa Primary. Ikabidi ndugu yake aniapize kwamba sitafanya ufirauni [emoji2]

Tukaondoka, nikam-drop mdg mtu kwake, nikasepa na manzi. Tumefika kwangu aisee story aliyonipa inahuzunisha sana. Aliolewa miaka 2 iliyopita na mwanaume ambaye alikuwa na familia mkoani. Yeye akiwa amaemaliza Shahada yake ya kwanza ya BAF (Bachelor of Accounts and Finance) na kazi nzuri, mwanaume akamshauri aache kazi, kwa mapenzi binti akaacha kazi. Mwaka mmoja baadaye mwanaume akaanza kumnyanyasa, na ndio akagundua kwamba mwamba alikuwa ana mke na watoto 4 mkoa X!!! Kumbe binti ni yatima na alizaliwa kwao peke yake. Anachoshukuru ni hakuzaa na yule mwanaume kwasababu mwanaume hakutaka kuzaa nae kwa wakati ule.

Nikamuuliza kwanini auze bar na taaluma yake? Akasema ilibidi akimbie ule mkoa alipoolewa aje mkoa huu kuficha aibu na kuwasahaulisha watu, na akaona hawezi kukaa tu kwa ndugu yake bila kujishughulisha na chochote wakati anatafuta ajira. Kikubwa zaidi kwenye ile bar aliyoacha kazi hakuna mtu aliyekuwa anajua binti ni msomi, alijishusha afanane nao, nikamuuliza kazi umeacha kweli? akanijibu nimeacha kaka.

Baada ya zile story usiku wa jana nikamwambia haya lala mama. Asubuhi wakati naamka nakuta kavaa pensi na t-shirt yangu vyombo vyote kaosha, nguo chafu kafua, kuna sufuria nilitakaga kuzitupa ila kaziosha zimekuwa nyeupe kama theluji. Nikamuomba anioshe vyeti soft copy, aisee ni kichwa hasa, O na A level ni vijiti tu, Sekondari zote kasoma za kike. Chuo GPA KUBWA!

Mchana nikampa maelekezo asipike nitamuagizia Chakula ikabidi sasa nimtafute yule ndugu yake akaanza ku-verify zile taarifa alizonieleza Binti. Wakuu Mimi sijaoa, il Kuna Binti ambaye nilikuwa namfikiria fikiria kumuoa ila hili ni jaribu kwakweli. Yani huu ni wakati mgumu sana napitia, sielewi kwakweli. Sijamfanya kitu tangu Jana. Sasa hivi ndio nimeingia kwangu na msosi wake namuangalia tu hapa namna alivyotulia kwenye kochi anatazama tamthilia.
Hebu weka picha ya wa bar na yule unamfikiriafikiria tukupe ushauri
 
SI KILA MHUDUMU WA BAR NI MALAYA,, Kuna Bar flani kipindi npo Dom ilikua na mhudumu mzuri tu hv alikua mchangamfu sana alikua kila akiniona ananchangamkia sasa siku moja sikutaka mchezo nilimpangilia vzuri tu na nkamuahidi dau zuri tu lakn alikataa katukatu kwakua ndo walikua wanakalibia kufunga siku hyo akaniahidi nitafute siku nzuri na sehemu nyngne tupige story na anipe background ya maisha yake Aloooohh Trust me si kila mhudumu ni Malaya ni Shida tu ndo zinazowakabili na ni wachache sana wanaoshindwa kutoka kwny huo mtego..
 
SI KILA MHUDUMU WA BAR NI MALAYA,, Kuna Bar flani kipindi npo Dom ilikua na mhudumu mzuri tu hv alikua mchangamfu sana alikua kila akiniona ananchangamkia sasa siku moja sikutaka mchezo nilimpangilia vzuri tu na nkamuahidi dau zuri tu lakn alikataa katukatu kwakua ndo walikua wanakalibia kufunga siku hyo akaniahidi nitafute siku nzuri na sehemu nyngne tupige story na anipe background ya maisha yake Aloooohh Trust me si kila mhudumu ni Malaya ni Shida tu ndo zinazowakabili na ni wachache sana wanaoshindwa kutoka kwny huo mtego..
Hapo ulikuwa unalengeshwa kwenye mfumo!hizo ni mbinu tu wanatumia kupata madanga ya kudumu!
 
Huyo ndg wa huyo binti ni mtu ambaye namuamini sana. Hawezi kunishuhudia uongo. Hana sababu ya kufanya hivyo. Hata Binti mwenyewe, Kwa sisi wenye macho ya rohoni anaonekana ni mkweli kabisa.
Brother take time kumstudy zaidi lakini pia katika kufanya maamuzi baadaye sikiliza dhamira yako inasemaje!
 
SI KILA MHUDUMU WA BAR NI MALAYA,, Kuna Bar flani kipindi npo Dom ilikua na mhudumu mzuri tu hv alikua mchangamfu sana alikua kila akiniona ananchangamkia sasa siku moja sikutaka mchezo nilimpangilia vzuri tu na nkamuahidi dau zuri tu lakn alikataa katukatu kwakua ndo walikua wanakalibia kufunga siku hyo akaniahidi nitafute siku nzuri na sehemu nyngne tupige story na anipe background ya maisha yake Aloooohh Trust me si kila mhudumu ni Malaya ni Shida tu ndo zinazowakabili na ni wachache sana wanaoshindwa kutoka kwny huo mtego..
Dau lilikuwa dogo ila hiyo ngoma ulikuwa unaichapa.

Wengine wanapenda muanze na stori za uongo uongo kupendana ila deep down wanauza.

Msipeleke utakatifu pale hasa kwenye platform kama bar,lounge, Cassino whatever.

Mpeleke vile anavyokuja ila huyo mwamba asiweke Malaya ndani ikiwa Bado yeye si Malaya lazima alie kinyakyusa.
 
Nisiiongeze wala ku[FONT=Poppins, Monaco, Menlo, Consolas, roboto mono, andale mono, ubuntu mono, monospace]punguza kitu ila amini nakuambia, hakuna mahakama itoayo hukumu bila kukutanisha pande mbili, mshitaki na mshitakiwa na pia bado na mashahidi watahusika pia. WEWE UMEAMUA KUTOA HUKUMU KUPITIA MAELEZO YA UPANDE MMOJA KUA MAKINI SANA. HAKUNA MWENYE SHINDA AKATOA UONE RANGI ZAKE ZOTE KWA MDA MFUPI TU. NATAMAN NIKUELEZEE YALINIONISIBU KWA SCENERIO INAYOFANNA NA HIO ILA MIMI SIO MWANDISHI MZURI[/FONT]
 
Muoe mkuu usiishie kumsikitikia tu

Kama amesoma then anauza bar Kama barmaid maana yake hii elimu ya bongo ina mapungufu makubwa Sana

Anakunywa pombe anakuwa barmaid anatongozeka kirahisi inshort yupo depressed Sana

Mungu amsaidie
 
Mkubwa una roho nyepesi ila kaza ndugu yangu cha msingi usimchukue kisa ana hitaji msaada au kwa huruma ya aliyo pitia ... mchukue kwa sababu umemuelewa na unataka kuwa nae ... niseme tu fanya maamuzi kwa ubongo sio moyo
 
Back
Top Bottom