Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

🤣🤣🤣jumatatu ukienda kazin, hutokuta Kila kitu Ndani.

Bar Maid , hapelekwi nyumban.


Kama ulitaka kumjua, ungemjua akiwa Kwa Huyo best uliompita madarasa mawili.


Kila Bar Maid husema "ukija kunichukia ,Njoo na vipimo vya Ukimwi,".


Ukienda kweli Na Vipimo, anakupiga chenga !!


Mwanamke, Msomi ,mwenye kumcha Mungu, anayejua siku Moja anatakiwa kua Mke, ten mzuri mrefu ana shep.. hawezi Kaa kumtembelea Club au kufanya kazi hizo au kunywa mapombeeeee Kwa namna ulivyoelezea !!.



Umepigwa na kitu kizito.

Nakupa Stori, niliwah kutana na Demu kazin kwangu PISI PISI ,mchaga Mmoja mweupee, sura ya kisomali, nzurii, takoo na Shep Hilo.

Yule mwanamke akaniambiaga Amemaliza BAED -UDOM , huku alipona alikua kaolew, ila jamaa kamzengua kaamua kupanga.


Siku Moja nikamuita Lodge fulan hivi, tukala akanywa , Sasa Ile muda wa kulana ..

Kwanza picha linaanza Demu hataki kunyonyana midomo.

Demu hataki kupima oil

Demu anavuma nguo ila akabaki na kiblauzi juu, Nikamuuliza vipi? Kwann hutoi hiko kiblauzi chajuu??.


Akasema ohoo atatoa akitaka kuloga bafuni.


Sasa Mimi Kuna kitu nikishakinotice Kwa mwanamke tu basi nakua na hofu na mchezo unaishia hapo.


Nikawa nmejikaza nikasema kwakua navaa ndom Wacha nipige..

Nilivaa ndomu, ila kabla sijamuingizia paipu nikawa namgusa gusa kwenye maeneo ya MITOKI ( TEZI) ..kwapani, nyuma ya masikio, shingon ... Duuuh nikakuita Kuna MITOKI kwenye kwapa, na nyuma ya masikio, nikawa namdadisi kiujanja ujanja, akadai inamuda mrefu... ( Watu wenye maambukizi ya VVU wengi wanakuaga na MITOKI ya muda mrefu).


Basi nikasema Tena, kwakua na ndomu na kilainishi Wacha nipige tu.


Nikawa nmemuweka DOGGIE , ili kumuweka hiyo stail, kale kablauzi kakashuka Kwa chin kuelekea mabegan kwake.

Nikaona ana ALAMA kama ya kovu la kuungua moto Upande Mmoja WA kulia tu ( Kwa wale walowah kuona mgonjwa wa MKANDA WA JESHI, AKISHAPONA, Huwa kunabaki alama ya kovu).

Nikaunganisha Doti, ya MITOKI na hili la Kovu na Historia zake za UDOM

Nikajua huyu Demu ni MGONJWA .


Mboo ikalala, nikajifanya nmepata dharura, nikampa Hela ya Nauli Misimbazi mitatu, nikasepa.

Kesho yake nikamwambia, Tuonane nimebeba vipimo vya Ukimwi.

OYAAAA, ALINIKWEPAAAAA ...mpaka Leo .


Baada ya siku Kadhaa, nikajaga kuonana naye kwenye Bar Moja maarufu sana, Mimi nilienda kuchukua Kuku alokaangwa .

Demu akapita, ilikua usiku, nmevaa jaketi na kofia, hakunitambua.

Alikua kavaliaa kataiti chupi, alafu na t-shirt , akiashiria kua anajiuza na nimuhudumu wa pale.




.USIFANYE CHOCHOTE NA HUYO DEMU KAMA HUJAMJUA KWA KILA ENGOOO, UTAMUACHA MCHUMBA WA MAANA, UPIGWE NA KITU KIZITO.
 
Msenge una bahati Sana,chuma cha mjerumani hicho,lakini usipende haraka Angalia unayoyataka yamo kwanza, je,hiyo story ya huyo mbaba kwanini alikubali waowane lakini hakutaka mtoto nae hiyo ni fix check it properly.
 
"Mwanamke anaeijua thamani yake hawezi kufanya kazi bar"..

Sitetei ila haya ni maisha mkuu, Kuna time kwenye survival watu wanaweka hizo pride na reputation pembeni.

Na isitoshe wanawake wengi tu wanatumia mili yao for survival ila huwa inapachikwa majina tofauti. Kuna wengi wanaingia kwenye ndoa na mahusiano kwa ajili ya cash kiasi mwanaume ukiishiwa wanakimbia.. Hawa sio wauzaji??.

Vipi wale wenye madanga yanayowaweka mjini ?..

Worse enough kuna hao tunaowaheshimu kama wake za watu ila wanaliwa maofisini hadi na madereva boda kwa kupewa sifa, upendeleo na care za kipuuzi puuzi tu.. Je, wapo any way better
 
Ebu ngoja ulimwambia lala mama!? So hukumgusaa!???
 
Hilo la Kukataa kuzaa awe makini sana
Msenge una bahati Sana,china chanmjerumani hicho,lakini usipende haraka Angalia unayoyataka yamo,kwanza je hiyo story ya huyo mbaba kwanini alikubali waowane lakini hakitaka mtoto nae hiyo ni fix check it properly.
Saikolojia ya Hawa viumbe ni kutokupenda kuzaa au apende kuzaa

Ahakikishe anampima NGOMA
 
Fact!
 
Relax mjomba mauno yasikupagawishe hizo ni genye tu zinakusumbua mpe muda msome tu kama mwaka hiv mpe uhuru ujue tabka yake akitaka kutoka out mwambie sawa simu usimfutilia hata akienda choon
 
Noma sana!
 
Kipendacho roho hula nyama mbichi. Tumia akili zako vizuri, uroho utakutokea puani. Hivyo hapo dada wa watu aliyekuwa packing akisubiria ndoa ndio ishakula kwake hapo huna misimamo kabisa. Nonsense
 
Wee jamaa sio baharia, huruma sio malezi na zitakuponza, broken woman you will do extra job to fix her ila kama umempenda kazi kwako
Zingatia haya
1. Kuzaa mpaka atake yeye
2. Anakunywa pombe
3. Yupo tayari kulala na yeyote anaemshawishi kama ulivyofanya wewe
4. Anahitaji msaada zaidi kuliko mapenzi
5. Katendwa alikotoka so maumivu alopitia hajapona bado
6. Elimu kwa sasa hailipi kiviile, vyet vishakuwa kama makaratasi mengine
7. Tegemea lolote, anaweza kupona akawa mke mwema au demege alionayo ikasabibisha kulipa kisasi kwa mwanaume yeyote atakae katiza anga zake
8. Anazo akili na utulivu wa kujenga familia au ni pasua kichwa?
9. Unao uwezo wa kumvumilia mtu mpaka apone trauma zake au unataka alienyooka?
10. Una plan B yoyote just in case amekunjua makucha yake?
11. Kwanini uwaze kuoa mtu mliejuana jana tu?
12. Huyo mchumba unaetaka mwacha bila kosa karma haitakurudia?
13. Vipi akiamua kurudiana na mumewe?
14. Vipi kama kazi ya bar ndo ishamchagua? Utafanya nini akiamua kufungua bar yake au kufanya kazi kwa bar nyinginezo?
15. Wewe sio Yesu usijipe majukumu ya kuokoa watu
16. Unataka watoto wako wawe na mama wa namna gani?
17. Atakuwa na mchango gani katika kesho yako?
 
Hivi bado kuna wasichana wapumbavu hivi wanakubali kuacha kazi kwa sababu ya mwanaume!!!!!
 
Nimejifunza kitu Muhimu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…