Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Ndugu asipokuelewa wewe malaya MBOBEVU, basi atakwenda na maji
 
Sijamfanya kitu tangu Jana. Sasa hivi ndio nimeingia kwangu na msosi wake namuangalia tu hapa namna alivyotulia kwenye kochi anatazama tamthilia.
Unafanya kosa la kiufundi kwa kutoingia "studioni" mpk Sasa. Ingia haraka sana ili uone kama yaliyomo yamo. Unaweza kukuta studio imetumika sana mpk imebaki kuwa pango la UTI
 
Vile ulivyoanza msifia tu nikajua kwisha habari.
One man down
Mkuu ulishamtamani
Hapo huambiwi na hata ukiambiwa hutosikia

Nakwambia sasa
Achana na huyo muuza bar atakuletea tabu mbeleni
Achana na huyo aloachana na mme wake atakuletea tabu mbeleni
 
Chukua mke huyo
 
Mke hupatikana popote mkuu. Kama masimulizi yako ni ya kweli, kula chuma hiko!
 
......hii comment ijengewe fremu!
 
Ukimkawiza kawiza sana atakuona na wewe siye!
Mwanamke tangu juzi sijui lini umeshindwa kumlala!
Wengine wanahitaji faraja.
Akitoa uboo tunahesabu mke,nothing more,kwani wanatupa nini kama sio hiyo nyama ya mkojo,hawana mashiko,atakuua kwa.tstess,kwanini Mwamba wa kwanza kasala,kwanini unakuwa mfadhili kwa mtu hatari.Sina neno,lakini utaoa kichaa kama wa kwangu,nilimwita geto miaka hiyo,akaropoka utaniweza?,kupeleka moto nikawa kama mtumwa wake,hataki lolote hata kutafuta pesa hataki,kaniachia nyama yake y mkojo kama justification,hajui kulea watoto ukimwacha anajizima data anapiga simu kwa wazazi wangu ati namkimbia sababu nimemmaliza kila kitu na nimenharibia maisha na watoto anawatumia kama shield,hao watu without purpose usiguse,mpe msaada wa Kazi baada ya hapo utapima kina mwenyewe.bye
 
Mkuu usije ukaingia kwenye mtego wa kumuamini simply kwa hizo stories alizo kupa, ukamuachia nyumba yako peke yake, huku niliko wanaita gari ukiwa kazini wanachukua vitu na kuviamisha. Ukirudi kwa huyo dada yake ana kuambia haja muona. Na pia hata kama mnafahamiana na huyo dada yake ame ruhusu uondoke nae apunguze cost, hapa mjini mkuu
 
Barikiwa sana
 
Duuh
 
Mabinti ni waongo, mmoja nlimsaidia akanambia yeye yatima, Tena aunt ake kamnyanyasa kamwambia akamfukue mamake kaburini[emoji3166]
Kumuuluza rafik ake akakazia, kwao wanamnyanyasa sana,[emoji849][emoji849][emoji849]
Baada ya siku mbili, simu hii apa, mamaake anamtafuta[emoji38]aende haraka sana au aripoti police [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Nkamuuliza mama amefufuka au[emoji2955][emoji2955]
 
Kufanya kazi bar sio uhuni bali ni kutokana na ukosefu wa ajira uliopo; pia wale wanaofanya uhuni si kwa sababu wanapenda bali ni kutokana na mshahara mdogo na wao wanapenda waonekane watu kwa kunukia vizuri n.k.

Kuhusu huyo wa kwako, usioe kwa haraka; we kaa naye siku mbili tatu huku ukipiga 'meat' na kumsoma mienendo yake, pamoja na kumfahamu vizuri.

Ikiwezekana piga mimba, baada ya hapo utaona anafaa kuwa mke ama hapana.

Huo ndio ushauri wa kibaharia.​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…