hagau
JF-Expert Member
- Dec 17, 2023
- 696
- 2,501
Hii story imenilumbusha miaka hiyo pale tawi la Mazimbu (SUA).
Kuna mtaa nje ya chuo pale unaitwa DARK CITY, Pana migahawa mingi ya vyakula na vyumba vya kupangisha wanafunzi wa chuo.
Sasa tulikuwa tunatoka ndani ya chuo (hostel) tunakuja kula na kurudi chuoni mimi na rafiki yangu.
Siku moja tumeingia mgahawani aisee tumekutana na mtoto mhudumu mzuurii, mweupe wastan, ana unywele wa chotara, kila mwanaume anatoa macho, kumuuliza anasema ndio ana siku nne pale toka atoke kwao kijijini huko mgeta (code).
Tukahudumiwa tukala tukamuaga tukaondoka, ile tumerud kesho kutwa yake binti hayupo, kuuliza tunaambiwa kachumbiwa na mwanafunzi mwenzetu chap. (niliumia mana nilipanga kuonja haha).
Jamaa tunamjua, kumbe kweli kamchukua kamfungia room. Kwake huko nje ya chuo alipopanga na muda mfupi kalipia mahali kaweka mtu ndani mazima mke wa mtu.
Show inaanza mwaka uliofuata wahuni wanavizia jamaa yupo darasani wanamkamua yule dada geto kwa mshikaji.
Mshikaji akaona amwemdeleze sijui kapeleka chuo cha ufundi wa nn vile sikumbuki.
Alitandkiwa mwanamke huko, akapigwa matukio ila jamaa alikuwa mpole anavumilia.
Miaka 8 baadae alishindwa akatema bungo mdomoni wakaachana.
Akaanza upya. Jamaa alikuwa anatembea njiani anaongea peke yake, full mtifuano katika ndoa yake.
Moral of the story = usikurupuke kuoa mwanamke sababu ya
1. Kuwahi wenzio wasimchukue
2. Urembo na uzuri wa usoni
3. Kabla hujasoma kwa kina na kujua tabia yake
4. Kutaka sifa ya kusifiwa mtaani, ukoo, kazini au barabaran umeoa pisi
Kuna mtaa nje ya chuo pale unaitwa DARK CITY, Pana migahawa mingi ya vyakula na vyumba vya kupangisha wanafunzi wa chuo.
Sasa tulikuwa tunatoka ndani ya chuo (hostel) tunakuja kula na kurudi chuoni mimi na rafiki yangu.
Siku moja tumeingia mgahawani aisee tumekutana na mtoto mhudumu mzuurii, mweupe wastan, ana unywele wa chotara, kila mwanaume anatoa macho, kumuuliza anasema ndio ana siku nne pale toka atoke kwao kijijini huko mgeta (code).
Tukahudumiwa tukala tukamuaga tukaondoka, ile tumerud kesho kutwa yake binti hayupo, kuuliza tunaambiwa kachumbiwa na mwanafunzi mwenzetu chap. (niliumia mana nilipanga kuonja haha).
Jamaa tunamjua, kumbe kweli kamchukua kamfungia room. Kwake huko nje ya chuo alipopanga na muda mfupi kalipia mahali kaweka mtu ndani mazima mke wa mtu.
Show inaanza mwaka uliofuata wahuni wanavizia jamaa yupo darasani wanamkamua yule dada geto kwa mshikaji.
Mshikaji akaona amwemdeleze sijui kapeleka chuo cha ufundi wa nn vile sikumbuki.
Alitandkiwa mwanamke huko, akapigwa matukio ila jamaa alikuwa mpole anavumilia.
Miaka 8 baadae alishindwa akatema bungo mdomoni wakaachana.
Akaanza upya. Jamaa alikuwa anatembea njiani anaongea peke yake, full mtifuano katika ndoa yake.
Moral of the story = usikurupuke kuoa mwanamke sababu ya
1. Kuwahi wenzio wasimchukue
2. Urembo na uzuri wa usoni
3. Kabla hujasoma kwa kina na kujua tabia yake
4. Kutaka sifa ya kusifiwa mtaani, ukoo, kazini au barabaran umeoa pisi