Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Hii story imenilumbusha miaka hiyo pale tawi la Mazimbu (SUA).
Kuna mtaa nje ya chuo pale unaitwa DARK CITY, Pana migahawa mingi ya vyakula na vyumba vya kupangisha wanafunzi wa chuo.

Sasa tulikuwa tunatoka ndani ya chuo (hostel) tunakuja kula na kurudi chuoni mimi na rafiki yangu.

Siku moja tumeingia mgahawani aisee tumekutana na mtoto mhudumu mzuurii, mweupe wastan, ana unywele wa chotara, kila mwanaume anatoa macho, kumuuliza anasema ndio ana siku nne pale toka atoke kwao kijijini huko mgeta (code).

Tukahudumiwa tukala tukamuaga tukaondoka, ile tumerud kesho kutwa yake binti hayupo, kuuliza tunaambiwa kachumbiwa na mwanafunzi mwenzetu chap. (niliumia mana nilipanga kuonja haha).


Jamaa tunamjua, kumbe kweli kamchukua kamfungia room. Kwake huko nje ya chuo alipopanga na muda mfupi kalipia mahali kaweka mtu ndani mazima mke wa mtu.

Show inaanza mwaka uliofuata wahuni wanavizia jamaa yupo darasani wanamkamua yule dada geto kwa mshikaji.

Mshikaji akaona amwemdeleze sijui kapeleka chuo cha ufundi wa nn vile sikumbuki.

Alitandkiwa mwanamke huko, akapigwa matukio ila jamaa alikuwa mpole anavumilia.

Miaka 8 baadae alishindwa akatema bungo mdomoni wakaachana.
Akaanza upya. Jamaa alikuwa anatembea njiani anaongea peke yake, full mtifuano katika ndoa yake.

Moral of the story = usikurupuke kuoa mwanamke sababu ya
1. Kuwahi wenzio wasimchukue
2. Urembo na uzuri wa usoni
3. Kabla hujasoma kwa kina na kujua tabia yake
4. Kutaka sifa ya kusifiwa mtaani, ukoo, kazini au barabaran umeoa pisi
 
Hii story imenilumbusha miaka hiyo pale tawi la Mazimbu (SUA).
Kuna mtaa nje ya chuo pale unaitwa DARK CITY, Pana migahawa mingi ya vyakula na vyumba vya kupangisha wanafunzi wa chuo.

Sasa tulikuwa tunatoka ndani ya chuo (hostel) tunakuja kula na kurudi chuoni mimi na rafiki yangu.

Siku moja tumeingia mgahawani aisee tumekutana na mtoto mhudumu mzuurii, mweupe wastan, ana unywele wa chotara, kila mwanaume anatoa macho, kumuuliza anasema ndio ana siku nne pale toka atoke kwao kijijini huko mgeta (code).

Tukahudumiwa tukala tukamuaga tukaondoka, ile tumerud kesho kutwa yake binti hayupo, kuuliza tunaambiwa kachumbiwa na mwanafunzi mwenzetu chap. (niliumia mana nilipanga kuonja haha).


Jamaa tunamjua, kumbe kweli kamchukua kamfungia room. Kwake huko nje ya chuo alipopanga na muda mfupi kalipia mahali kaweka mtu ndani mazima mke wa mtu.

Show inaanza mwaka uliofuata wahuni wanavizia jamaa yupo darasani wanamkamua yule dada geto kwa mshikaji.

Mshikaji akaona amwemdeleze sijui kapeleka chuo cha ufundi wa nn vile sikumbuki.

Alitandkiwa mwanamke huko, akapigwa matukio ila jamaa alikuwa mpole anavumilia.

Miaka 8 baadae alishindwa akatema bungo mdomoni wakaachana.
Akaanza upya. Jamaa alikuwa anatembea njiani anaongea peke yake, full mtifuano katika ndoa yake.

Moral of the story = usikurupuke kuoa mwanamke sababu ya
1. Kuwahi wenzio wasimchukue
2. Urembo na uzuri wa usoni
3. Kabla hujasoma kwa kina na kujua tabia yake
4. Kutaka sifa ya kusifiwa mtaani, ukoo, kazini au barabaran umeoa pisi
Na honestly wanaume wengi wa miaka hii no 4 ndo inayowaponza mkuu. Yani ilitakiwa iwe point ya kwanza. Mara nyingi humu ukisikiliza vigezo wanavyosifia wanaume weng ni shepu na sura...wenyewe mnasema tabia mtarekebishana lakin ndo inakua inawacost wengi. Soma.kimasihara nyingi kule...weng ni demu pisi, demu mkali, etc Na naamini si kimasihara zote hupita hv, sometimes nyingne huresult katika ndoa...lakin za taabu.
 
Kufanya kazi bar sio uhuni bali ni kutokana na ukosefu wa ajira uliopo; pia wale wanaofanya uhuni si kwa sababu wanapenda bali ni kutokana na mshahara mdogo na wao wanapenda waonekane watu kwa kunukia vizuri n.k.

Kuhusu huyo wa kwako, usioe kwa haraka; we kaa naye siku mbili tatu huku ukipiga 'meat' na kumsoma mienendo yake, pamoja na kumfahamu vizuri.

Ikiwezekana piga mimba, baada ya hapo utaona anafaa kuwa mke ama hapana.

Huo ndio ushauri wa kibaharia.​
Na yule mke mtarajiwa amfanyaje?
 
Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress sikuamini. Mrefu, ana rangi ya udhurungi, shape ya kwenda, pua ya kisomali halafu nywele mpaka mgongoni! Baada ya malumbano yule binti mhudumu akawa analia.

Malezi niliyopewa na wazazi wangu ni kusababisha tabasamu kwa wengine, ingawa sababu ya ziada ni uzuri wake pia, nikamuita yule waitress, nikamuuliza kulikoni mbona malumbano? Akaniambia, "kaka angu, tangu nianze kazi hapa nina siku ya 9, kila mhudumu wa kike ananichukia wanadhani nitawachukulia mabwana zao, kumbe mimi natafuta maisha".

Nikapatwa na simanzi sana. Nikamwambia basi usilie, agiza kinywaji. Akasema na kazi anaacha. Eeh! Nikashtuka, akamuuliza kaunta anamdai sh ngapi ya vinjwaji, akamlipa hela yote, akaniambia kaka angu kama unataka kuninunulia bia twende ukaninunulie kwengine ila silali na wewe, nikamwambia poa. Kumbe ananipeleka sehemu ambayo atakutana na mwenyeji wake.

Tukahama joint, tukafika kwenye night club Moja hivi, akawa anakunywa bia kwa hasira kama mtu mwenye msongo hadi nikawa namzuia, wakati tuko pale akaja dada mmoja ambaye nilimuacha primary madarasa mawili, anamuita yule waitress dada, nikamuuliza vipi mnafahamiana? Akasema huyu ni mtoto wa marehemu mama mkubwa na mimi ndio nimempokea hapa mjini anaishi kwangu, ana matatizo makubwa, na yeye ndio kanitumia msg yuko hapa ndio nimekuja, yule waitress akafurahi kuona nafahamiana na ndugu yake.

Tamaa zikanijaa, nikamuomba sana niondoke naye kwasababu mimi sio stranger kwake tena kwasababu nafahamiana na ndugu yake, akaanza kumuuliza ndugu yake mara mbilimbili kwamba unamuamini huyu kaka? Ndugu yake akamjibu ndio, namfahamu sana tangu tukiwa Primary. Ikabidi ndugu yake aniapize kwamba sitafanya ufirauni [emoji2]

Tukaondoka, nikam-drop mdg mtu kwake, nikasepa na manzi. Tumefika kwangu aisee story aliyonipa inahuzunisha sana. Aliolewa miaka 2 iliyopita na mwanaume ambaye alikuwa na familia mkoani. Yeye akiwa amaemaliza Shahada yake ya kwanza ya BAF (Bachelor of Accounts and Finance) na kazi nzuri, mwanaume akamshauri aache kazi, kwa mapenzi binti akaacha kazi. Mwaka mmoja baadaye mwanaume akaanza kumnyanyasa, na ndio akagundua kwamba mwamba alikuwa ana mke na watoto 4 mkoa X!!! Kumbe binti ni yatima na alizaliwa kwao peke yake. Anachoshukuru ni hakuzaa na yule mwanaume kwasababu mwanaume hakutaka kuzaa nae kwa wakati ule.

Nikamuuliza kwanini auze bar na taaluma yake? Akasema ilibidi akimbie ule mkoa alipoolewa aje mkoa huu kuficha aibu na kuwasahaulisha watu, na akaona hawezi kukaa tu kwa ndugu yake bila kujishughulisha na chochote wakati anatafuta ajira. Kikubwa zaidi kwenye ile bar aliyoacha kazi hakuna mtu aliyekuwa anajua binti ni msomi, alijishusha afanane nao, nikamuuliza kazi umeacha kweli? akanijibu nimeacha kaka.

Baada ya zile story usiku wa jana nikamwambia haya lala mama. Asubuhi wakati naamka nakuta kavaa pensi na t-shirt yangu vyombo vyote kaosha, nguo chafu kafua, kuna sufuria nilitakaga kuzitupa ila kaziosha zimekuwa nyeupe kama theluji. Nikamuomba anioshe vyeti soft copy, aisee ni kichwa hasa, O na A level ni vijiti tu, Sekondari zote kasoma za kike. Chuo GPA KUBWA!

Mchana nikampa maelekezo asipike nitamuagizia Chakula ikabidi sasa nimtafute yule ndugu yake akaanza ku-verify zile taarifa alizonieleza Binti. Wakuu Mimi sijaoa, il Kuna Binti ambaye nilikuwa namfikiria fikiria kumuoa ila hili ni jaribu kwakweli. Yani huu ni wakati mgumu sana napitia, sielewi kwakweli. Sijamfanya kitu tangu Jana. Sasa hivi ndio nimeingia kwangu na msosi wake namuangalia tu hapa namna alivyotulia kwenye kochi anatazama tamthilia.
Sio wote wanaouza bar ni Malaya na sio Malaya wote ni Wauza Bar. Muuza Bar na Muhudumu wa Kempsky awana tofauti.(wote wana kutana na kuonekana na watu wengi wakiwa kazini) umalaya ni hulka ya mtu na sio mazingira au pale ulipomkuta. Nna ndugu na jamaa walio oa Wauza bar na ndoa zipo huu mwaka wa 35. Nna jamaa alio mdada anaejuza Leo hii wapo katika ndoa huu mwaka wa 22. Wapo walioa Mabinti waliosoma shule za Watawa na kulelewa na wazazi wawili walio kwenye ndoa ! Wamewaletea Waume zao HIV kwa umalaya wao uliojificha kwenye historia zao nzuri na upole wao machoni petu😭. Verify and decide.... uhenda Mungu amekukutanisha na your life partner
 
An
Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress sikuamini. Mrefu, ana rangi ya udhurungi, shape ya kwenda, pua ya kisomali halafu nywele mpaka mgongoni! Baada ya malumbano yule binti mhudumu akawa analia.

Malezi niliyopewa na wazazi wangu ni kusababisha tabasamu kwa wengine, ingawa sababu ya ziada ni uzuri wake pia, nikamuita yule waitress, nikamuuliza kulikoni mbona malumbano? Akaniambia, "kaka angu, tangu nianze kazi hapa nina siku ya 9, kila mhudumu wa kike ananichukia wanadhani nitawachukulia mabwana zao, kumbe mimi natafuta maisha".

Nikapatwa na simanzi sana. Nikamwambia basi usilie, agiza kinywaji. Akasema na kazi anaacha. Eeh! Nikashtuka, akamuuliza kaunta anamdai sh ngapi ya vinjwaji, akamlipa hela yote, akaniambia kaka angu kama unataka kuninunulia bia twende ukaninunulie kwengine ila silali na wewe, nikamwambia poa. Kumbe ananipeleka sehemu ambayo atakutana na mwenyeji wake.

Tukahama joint, tukafika kwenye night club Moja hivi, akawa anakunywa bia kwa hasira kama mtu mwenye msongo hadi nikawa namzuia, wakati tuko pale akaja dada mmoja ambaye nilimuacha primary madarasa mawili, anamuita yule waitress dada, nikamuuliza vipi mnafahamiana? Akasema huyu ni mtoto wa marehemu mama mkubwa na mimi ndio nimempokea hapa mjini anaishi kwangu, ana matatizo makubwa, na yeye ndio kanitumia msg yuko hapa ndio nimekuja, yule waitress akafurahi kuona nafahamiana na ndugu yake.

Tamaa zikanijaa, nikamuomba sana niondoke naye kwasababu mimi sio stranger kwake tena kwasababu nafahamiana na ndugu yake, akaanza kumuuliza ndugu yake mara mbilimbili kwamba unamuamini huyu kaka? Ndugu yake akamjibu ndio, namfahamu sana tangu tukiwa Primary. Ikabidi ndugu yake aniapize kwamba sitafanya ufirauni [emoji2]

Tukaondoka, nikam-drop mdg mtu kwake, nikasepa na manzi. Tumefika kwangu aisee story aliyonipa inahuzunisha sana. Aliolewa miaka 2 iliyopita na mwanaume ambaye alikuwa na familia mkoani. Yeye akiwa amaemaliza Shahada yake ya kwanza ya BAF (Bachelor of Accounts and Finance) na kazi nzuri, mwanaume akamshauri aache kazi, kwa mapenzi binti akaacha kazi. Mwaka mmoja baadaye mwanaume akaanza kumnyanyasa, na ndio akagundua kwamba mwamba alikuwa ana mke na watoto 4 mkoa X!!! Kumbe binti ni yatima na alizaliwa kwao peke yake. Anachoshukuru ni hakuzaa na yule mwanaume kwasababu mwanaume hakutaka kuzaa nae kwa wakati ule.

Nikamuuliza kwanini auze bar na taaluma yake? Akasema ilibidi akimbie ule mkoa alipoolewa aje mkoa huu kuficha aibu na kuwasahaulisha watu, na akaona hawezi kukaa tu kwa ndugu yake bila kujishughulisha na chochote wakati anatafuta ajira. Kikubwa zaidi kwenye ile bar aliyoacha kazi hakuna mtu aliyekuwa anajua binti ni msomi, alijishusha afanane nao, nikamuuliza kazi umeacha kweli? akanijibu nimeacha kaka.

Baada ya zile story usiku wa jana nikamwambia haya lala mama. Asubuhi wakati naamka nakuta kavaa pensi na t-shirt yangu vyombo vyote kaosha, nguo chafu kafua, kuna sufuria nilitakaga kuzitupa ila kaziosha zimekuwa nyeupe kama theluji. Nikamuomba anioshe vyeti soft copy, aisee ni kichwa hasa, O na A level ni vijiti tu, Sekondari zote kasoma za kike. Chuo GPA KUBWA!

Mchana nikampa maelekezo asipike nitamuagizia Chakula ikabidi sasa nimtafute yule ndugu yake akaanza ku-verify zile taarifa alizonieleza Binti. Wakuu Mimi sijaoa, il Kuna Binti ambaye nilikuwa namfikiria fikiria kumuoa ila hili ni jaribu kwakweli. Yani huu ni wakati mgumu sana napitia, sielewi kwakweli. Sijamfanya kitu tangu Jana. Sasa hivi ndio nimeingia kwangu na msosi wake namuangalia tu hapa namna alivyotulia kwenye kochi anatazama tamthilia.
Angalia moyo wakoo mkuu siyo kila muhudum malaya mda mwingine changamoto za maisha kama unauwezo wa kumsaidia kupata angalau kibarua msaidie usiangalie malipo yakee
 
Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress sikuamini. Mrefu, ana rangi ya udhurungi, shape ya kwenda, pua ya kisomali halafu nywele mpaka mgongoni! Baada ya malumbano yule binti mhudumu akawa analia.

Malezi niliyopewa na wazazi wangu ni kusababisha tabasamu kwa wengine, ingawa sababu ya ziada ni uzuri wake pia, nikamuita yule waitress, nikamuuliza kulikoni mbona malumbano? Akaniambia, "kaka angu, tangu nianze kazi hapa nina siku ya 9, kila mhudumu wa kike ananichukia wanadhani nitawachukulia mabwana zao, kumbe mimi natafuta maisha".

Nikapatwa na simanzi sana. Nikamwambia basi usilie, agiza kinywaji. Akasema na kazi anaacha. Eeh! Nikashtuka, akamuuliza kaunta anamdai sh ngapi ya vinjwaji, akamlipa hela yote, akaniambia kaka angu kama unataka kuninunulia bia twende ukaninunulie kwengine ila silali na wewe, nikamwambia poa. Kumbe ananipeleka sehemu ambayo atakutana na mwenyeji wake.

Tukahama joint, tukafika kwenye night club Moja hivi, akawa anakunywa bia kwa hasira kama mtu mwenye msongo hadi nikawa namzuia, wakati tuko pale akaja dada mmoja ambaye nilimuacha primary madarasa mawili, anamuita yule waitress dada, nikamuuliza vipi mnafahamiana? Akasema huyu ni mtoto wa marehemu mama mkubwa na mimi ndio nimempokea hapa mjini anaishi kwangu, ana matatizo makubwa, na yeye ndio kanitumia msg yuko hapa ndio nimekuja, yule waitress akafurahi kuona nafahamiana na ndugu yake.

Tamaa zikanijaa, nikamuomba sana niondoke naye kwasababu mimi sio stranger kwake tena kwasababu nafahamiana na ndugu yake, akaanza kumuuliza ndugu yake mara mbilimbili kwamba unamuamini huyu kaka? Ndugu yake akamjibu ndio, namfahamu sana tangu tukiwa Primary. Ikabidi ndugu yake aniapize kwamba sitafanya ufirauni [emoji2]

Tukaondoka, nikam-drop mdg mtu kwake, nikasepa na manzi. Tumefika kwangu aisee story aliyonipa inahuzunisha sana. Aliolewa miaka 2 iliyopita na mwanaume ambaye alikuwa na familia mkoani. Yeye akiwa amaemaliza Shahada yake ya kwanza ya BAF (Bachelor of Accounts and Finance) na kazi nzuri, mwanaume akamshauri aache kazi, kwa mapenzi binti akaacha kazi. Mwaka mmoja baadaye mwanaume akaanza kumnyanyasa, na ndio akagundua kwamba mwamba alikuwa ana mke na watoto 4 mkoa X!!! Kumbe binti ni yatima na alizaliwa kwao peke yake. Anachoshukuru ni hakuzaa na yule mwanaume kwasababu mwanaume hakutaka kuzaa nae kwa wakati ule.

Nikamuuliza kwanini auze bar na taaluma yake? Akasema ilibidi akimbie ule mkoa alipoolewa aje mkoa huu kuficha aibu na kuwasahaulisha watu, na akaona hawezi kukaa tu kwa ndugu yake bila kujishughulisha na chochote wakati anatafuta ajira. Kikubwa zaidi kwenye ile bar aliyoacha kazi hakuna mtu aliyekuwa anajua binti ni msomi, alijishusha afanane nao, nikamuuliza kazi umeacha kweli? akanijibu nimeacha kaka.

Baada ya zile story usiku wa jana nikamwambia haya lala mama. Asubuhi wakati naamka nakuta kavaa pensi na t-shirt yangu vyombo vyote kaosha, nguo chafu kafua, kuna sufuria nilitakaga kuzitupa ila kaziosha zimekuwa nyeupe kama theluji. Nikamuomba anioshe vyeti soft copy, aisee ni kichwa hasa, O na A level ni vijiti tu, Sekondari zote kasoma za kike. Chuo GPA KUBWA!

Mchana nikampa maelekezo asipike nitamuagizia Chakula ikabidi sasa nimtafute yule ndugu yake akaanza ku-verify zile taarifa alizonieleza Binti. Wakuu Mimi sijaoa, il Kuna Binti ambaye nilikuwa namfikiria fikiria kumuoa ila hili ni jaribu kwakweli. Yani huu ni wakati mgumu sana napitia, sielewi kwakweli. Sijamfanya kitu tangu Jana. Sasa hivi ndio nimeingia kwangu na msosi wake namuangalia tu hapa namna alivyotulia kwenye kochi anatazama tamthilia
Aiseeh kiukweli uki bahatika kumkuta bar maid mwenye shida na ndoa uka mwoa

huji kujuta Kiowa maishani mwako Wana jari Sana wanajua Nini unataka Kama mwanaume

Japo Changamoto yao ni kwenye kupima NGOMA na U.T.I nje nahayo wako vizuri Sana

na ndiyo hao wanao ongoza kwa kuwa mabibi wadogo skuhizi hakika wanajari na wabarikiwe
 
Wewe ni mgeni na wahudumu wa bar.... Utakuja kupigwa na kitu kizito!!! Yaani we umeopoa siku ya kwanza tu unajiona mjanja? Jiulize kabla yako wameopoa wangapi ndugu, na wote mmepewa story hio hio, hata kama maisha magumu kiasi Gani mwanamke anayejua thamani yake hawezi kufanya kazi bar, period!!!
wala hawezi kuwa mlevi
 
Hii story imenilumbusha miaka hiyo pale tawi la Mazimbu (SUA).
Kuna mtaa nje ya chuo pale unaitwa DARK CITY, Pana migahawa mingi ya vyakula na vyumba vya kupangisha wanafunzi wa chuo.

Sasa tulikuwa tunatoka ndani ya chuo (hostel) tunakuja kula na kurudi chuoni mimi na rafiki yangu.

Siku moja tumeingia mgahawani aisee tumekutana na mtoto mhudumu mzuurii, mweupe wastan, ana unywele wa chotara, kila mwanaume anatoa macho, kumuuliza anasema ndio ana siku nne pale toka atoke kwao kijijini huko mgeta (code).

Tukahudumiwa tukala tukamuaga tukaondoka, ile tumerud kesho kutwa yake binti hayupo, kuuliza tunaambiwa kachumbiwa na mwanafunzi mwenzetu chap. (niliumia mana nilipanga kuonja haha).


Jamaa tunamjua, kumbe kweli kamchukua kamfungia room. Kwake huko nje ya chuo alipopanga na muda mfupi kalipia mahali kaweka mtu ndani mazima mke wa mtu.

Show inaanza mwaka uliofuata wahuni wanavizia jamaa yupo darasani wanamkamua yule dada geto kwa mshikaji.

Mshikaji akaona amwemdeleze sijui kapeleka chuo cha ufundi wa nn vile sikumbuki.

Alitandkiwa mwanamke huko, akapigwa matukio ila jamaa alikuwa mpole anavumilia.

Miaka 8 baadae alishindwa akatema bungo mdomoni wakaachana.
Akaanza upya. Jamaa alikuwa anatembea njiani anaongea peke yake, full mtifuano katika ndoa yake.

Moral of the story = usikurupuke kuoa mwanamke sababu ya
1. Kuwahi wenzio wasimchukue
2. Urembo na uzuri wa usoni
3. Kabla hujasoma kwa kina na kujua tabia yake
4. Kutaka sifa ya kusifiwa mtaani, ukoo, kazini au barabaran umeoa pisi
Hakuna formula katika maisha, Inawezekana jamaa wakaja kupigwa na kuumizwa na huyo barmaid, ila pia Kuna uwezekano jamaa ndo amepata mke bora kiurahisi kabisa.
Kwa maelezo ya mtoa mada ni kama the lady ticks most of the boxes!! adimu sana mwanamke msomi kujituma kwenye shughuli za kijamii hasa usafi, hata kama ana hali mbaya kiasi gani kwenye maisha.
 
Back
Top Bottom