Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

U

Una utibitisho kuwa huyo dada ni Nungaembe?? Wanaume wengi ni women abusers , sishangai kuona single and divorced mothers , ata wewe inaonekana unaweza kukontrol ndugu/mtoto wako aoe nani😭upo una taka dunia yote ifuate unavyotaka wewe! Kuuza bar sio Umalaya na wala sio kuwa kila muza bar yupo anajiuza. Mimi ni kaka na mzazi sijawia ingilia mausiano ya ndugu wala mtoto wangu na sintopoteza muda katika hilo wapo free kuoa au kuolewa na wamatakae. Na iwapo wataachana na wenziwao nawapa ushauri na kuwatuliza.kuna watu nawajua mama zao walikuwa wauza bar wakaolewa wakazaliwa na sasa ni watu mashuhuli na wema kabisa hapa Tanzania. One of the biggest person na maharufu na ameliletea taifa la TZ sifa kubwa kwa utendaji wake wa kazi hapa TZ ameo former bar maid na wapo mpaka leo. Kama mke na mume na wana wajukuu. Wewe ishi kwa kukariri
Wewe sio mzazi,hakuna mzazi mwenye akili ya kitoto hivi
 
Hatukatai, bar made ni kazi lakini vitendo vya barmade wengi ndio wanaifanya hiyo kazi idharaulike kwa kujiuza. Kuna wengi tu hawana mambo hayo. Huyo dada kama hii story ni ya kweli,
kitendo cha kwenda nyumbani kwa huyo kaka kinatia shaka. Kwa mtu ambaye anajiheshimu hawezi kudhalilisha mwili wake kwa kujiuza.
Hivi mdada ku-date au kuolewa na mwanaume usiempenda, kwasababu tu huyo mwanaume ana hela, huko nako si kujiuza, tusiwa crash mabaamedi tu, wakati kuna wadada wanafanya kazi za ofisini zenye heshima tu, lakini na wao wanajiuza..tena sahivi 95% ya wadada wanajiuza ingawa hawasimami barabarani usiku kujipanga kama wale wengine Nashengena
 
🤣🤣🤣jumatatu ukienda kazin, hutokuta Kila kitu Ndani.

Bar Maid , hapelekwi nyumban.


Kama ulitaka kumjua, ungemjua akiwa Kwa Huyo best uliompita madarasa mawili.


Kila Bar Maid husema "ukija kunichukia ,Njoo na vipimo vya Ukimwi,".


Ukienda kweli Na Vipimo, anakupiga chenga !!


Mwanamke, Msomi ,mwenye kumcha Mungu, anayejua siku Moja anatakiwa kua Mke, ten mzuri mrefu ana shep.. hawezi Kaa kumtembelea Club au kufanya kazi hizo au kunywa mapombeeeee Kwa namna ulivyoelezea !!.



Umepigwa na kitu kizito.

Nakupa Stori, niliwah kutana na Demu kazin kwangu PISI PISI ,mchaga Mmoja mweupee, sura ya kisomali, nzurii, takoo na Shep Hilo.

Yule mwanamke akaniambiaga Amemaliza BAED -UDOM , huku alipona alikua kaolew, ila jamaa kamzengua kaamua kupanga.


Siku Moja nikamuita Lodge fulan hivi, tukala akanywa , Sasa Ile muda wa kulana ..

Kwanza picha linaanza Demu hataki kunyonyana midomo.

Demu hataki kupima oil

Demu anavuma nguo ila akabaki na kiblauzi juu, Nikamuuliza vipi? Kwann hutoi hiko kiblauzi chajuu??.


Akasema ohoo atatoa akitaka kuloga bafuni.


Sasa Mimi Kuna kitu nikishakinotice Kwa mwanamke tu basi nakua na hofu na mchezo unaishia hapo.


Nikawa nmejikaza nikasema kwakua navaa ndom Wacha nipige..

Nilivaa ndomu, ila kabla sijamuingizia paipu nikawa namgusa gusa kwenye maeneo ya MITOKI ( TEZI) ..kwapani, nyuma ya masikio, shingon ... Duuuh nikakuita Kuna MITOKI kwenye kwapa, na nyuma ya masikio, nikawa namdadisi kiujanja ujanja, akadai inamuda mrefu... ( Watu wenye maambukizi ya VVU wengi wanakuaga na MITOKI ya muda mrefu).


Basi nikasema Tena, kwakua na ndomu na kilainishi Wacha nipige tu.


Nikawa nmemuweka DOGGIE , ili kumuweka hiyo stail, kale kablauzi kakashuka Kwa chin kuelekea mabegan kwake.

Nikaona ana ALAMA kama ya kovu la kuungua moto Upande Mmoja WA kulia tu ( Kwa wale walowah kuona mgonjwa wa MKANDA WA JESHI, AKISHAPONA, Huwa kunabaki alama ya kovu).

Nikaunganisha Doti, ya MITOKI na hili la Kovu na Historia zake za UDOM

Nikajua huyu Demu ni MGONJWA .


Mboo ikalala, nikajifanya nmepata dharura, nikampa Hela ya Nauli Misimbazi mitatu, nikasepa.

Kesho yake nikamwambia, Tuonane nimebeba vipimo vya Ukimwi.

OYAAAA, ALINIKWEPAAAAA ...mpaka Leo .


Baada ya siku Kadhaa, nikajaga kuonana naye kwenye Bar Moja maarufu sana, Mimi nilienda kuchukua Kuku alokaangwa .

Demu akapita, ilikua usiku, nmevaa jaketi na kofia, hakunitambua.

Alikua kavaliaa kataiti chupi, alafu na t-shirt , akiashiria kua anajiuza na nimuhudumu wa pale.




.USIFANYE CHOCHOTE NA HUYO DEMU KAMA HUJAMJUA KWA KILA ENGOOO, UTAMUACHA MCHUMBA WA MAANA, UPIGWE NA KITU KIZITO.
Mleta mada kabla hujalala hakikisha unasoma hii post, na kila ukiamka after sala hakikisha unasoma tena hii post.
 
Wewe sio mzazi,hakuna mzazi mwenye akili ya kitoto hivi
Mzazi enhee😁ata wale madogo wanaoitwa WADUDU kule Arusha wana Wazazi na waliwazaa wakitumaini kuwa wengine watakuwa marubani, madaktari, askari to name the few🤣🤣Je matarajio yao ya sasa ni yepi??? Tafakari na Chukua hatua
 
Unakuwa na huruma na mwanamke?? Kwanza siku moja umewezaje kugundua kuwa uyo ni mwema kumbuka kuwa wewe ndiyo ulienda kuanzisha mazungumzo nae kwa style km umemuonea huruma so kajua hilo lazima ajishushe with full of sad stories kwakuwa she won u at first sight take care bro, hata maigizo tuyayaona runongani ingawa tunajua maigizo lakini yanatuumiza pia.
 
Wee jamaa sio baharia, huruma sio malezi na zitakuponza, broken woman you will do extra job to fix her ila kama umempenda kazi kwako
Zingatia haya
1. Kuzaa mpaka atake yeye
2. Anakunywa pombe
3. Yupo tayari kulala na yeyote anaemshawishi kama ulivyofanya wewe
4. Anahitaji msaada zaidi kuliko mapenzi
5. Katendwa alikotoka so maumivu alopitia hajapona bado
6. Elimu kwa sasa hailipi kiviile, vyet vishakuwa kama makaratasi mengine
7. Tegemea lolote, anaweza kupona akawa mke mwema au demege alionayo ikasabibisha kulipa kisasi kwa mwanaume yeyote atakae katiza anga zake
8. Anazo akili na utulivu wa kujenga familia au ni pasua kichwa?
9. Unao uwezo wa kumvumilia mtu mpaka apone trauma zake au unataka alienyooka?
10. Una plan B yoyote just in case amekunjua makucha yake?
11. Kwanini uwaze kuoa mtu mliejuana jana tu?
12. Huyo mchumba unaetaka mwacha bila kosa karma haitakurudia?
13. Vipi akiamua kurudiana na mumewe?
14. Vipi kama kazi ya bar ndo ishamchagua? Utafanya nini akiamua kufungua bar yake au kufanya kazi kwa bar nyinginezo?
15. Wewe sio Yesu usijipe majukumu ya kuokoa watu
16. Unataka watoto wako wawe na mama wa namna gani?
17. Atakuwa na mchango gani katika kesho yako?
Namba 15 nakazia. Mwenye uwezo wa kumuokoa mtu na kumbadilisha ni Mungu tu.
 
Bado hujawajua wanawake. Jipe muda kabla hujachukua maamuzi yoyote maana ninachozingatia kwa sasa ni nyege tu zinakusumbua ila zikiisha akili itakurudia tena haswa kama ulishawahi pigwa tukio
 
Unakuwa na huruma na mwanamke?? Kwanza siku moja umewezaje kugundua kuwa uyo ni mwema kumbuka kuwa wewe ndiyo ulienda kuanzisha mazungumzo nae kwa style km umemuonea huruma so kajua hilo lazima ajishushe with full of sad stories kwakuwa she won u at first sight take care bro, hata maigizo tuyayaona runongani ingawa tunajua maigizo lakini yanatuumiza pia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bado hujawajua wanawake. Jipe muda kabla hujachukua maamuzi yoyote maana ninachozingatia kwa sasa ni nyege tu zinakusumbua ila zikiisha akili itakurudia tena haswa kama ulishawahi pigwa tukio
Niko nae mpaka leo hii bro, hakunaga genye za siku zote hizo [emoji28]
 
Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress sikuamini. Mrefu, ana rangi ya udhurungi, shape ya kwenda, pua ya kisomali halafu nywele mpaka mgongoni! Baada ya malumbano yule binti mhudumu akawa analia.

Malezi niliyopewa na wazazi wangu ni kusababisha tabasamu kwa wengine, ingawa sababu ya ziada ni uzuri wake pia, nikamuita yule waitress, nikamuuliza kulikoni mbona malumbano? Akaniambia, "kaka angu, tangu nianze kazi hapa nina siku ya 9, kila mhudumu wa kike ananichukia wanadhani nitawachukulia mabwana zao, kumbe mimi natafuta maisha".

Nikapatwa na simanzi sana. Nikamwambia basi usilie, agiza kinywaji. Akasema na kazi anaacha. Eeh! Nikashtuka, akamuuliza kaunta anamdai sh ngapi ya vinjwaji, akamlipa hela yote, akaniambia kaka angu kama unataka kuninunulia bia twende ukaninunulie kwengine ila silali na wewe, nikamwambia poa. Kumbe ananipeleka sehemu ambayo atakutana na mwenyeji wake.

Tukahama joint, tukafika kwenye night club Moja hivi, akawa anakunywa bia kwa hasira kama mtu mwenye msongo hadi nikawa namzuia, wakati tuko pale akaja dada mmoja ambaye nilimuacha primary madarasa mawili, anamuita yule waitress dada, nikamuuliza vipi mnafahamiana? Akasema huyu ni mtoto wa marehemu mama mkubwa na mimi ndio nimempokea hapa mjini anaishi kwangu, ana matatizo makubwa, na yeye ndio kanitumia msg yuko hapa ndio nimekuja, yule waitress akafurahi kuona nafahamiana na ndugu yake.

Tamaa zikanijaa, nikamuomba sana niondoke naye kwasababu mimi sio stranger kwake tena kwasababu nafahamiana na ndugu yake, akaanza kumuuliza ndugu yake mara mbilimbili kwamba unamuamini huyu kaka? Ndugu yake akamjibu ndio, namfahamu sana tangu tukiwa Primary. Ikabidi ndugu yake aniapize kwamba sitafanya ufirauni [emoji2]

Tukaondoka, nikam-drop mdg mtu kwake, nikasepa na manzi. Tumefika kwangu aisee story aliyonipa inahuzunisha sana. Aliolewa miaka 2 iliyopita na mwanaume ambaye alikuwa na familia mkoani. Yeye akiwa amaemaliza Shahada yake ya kwanza ya BAF (Bachelor of Accounts and Finance) na kazi nzuri, mwanaume akamshauri aache kazi, kwa mapenzi binti akaacha kazi. Mwaka mmoja baadaye mwanaume akaanza kumnyanyasa, na ndio akagundua kwamba mwamba alikuwa ana mke na watoto 4 mkoa X!!! Kumbe binti ni yatima na alizaliwa kwao peke yake. Anachoshukuru ni hakuzaa na yule mwanaume kwasababu mwanaume hakutaka kuzaa nae kwa wakati ule.

Nikamuuliza kwanini auze bar na taaluma yake? Akasema ilibidi akimbie ule mkoa alipoolewa aje mkoa huu kuficha aibu na kuwasahaulisha watu, na akaona hawezi kukaa tu kwa ndugu yake bila kujishughulisha na chochote wakati anatafuta ajira. Kikubwa zaidi kwenye ile bar aliyoacha kazi hakuna mtu aliyekuwa anajua binti ni msomi, alijishusha afanane nao, nikamuuliza kazi umeacha kweli? akanijibu nimeacha kaka.

Baada ya zile story usiku wa jana nikamwambia haya lala mama. Asubuhi wakati naamka nakuta kavaa pensi na t-shirt yangu vyombo vyote kaosha, nguo chafu kafua, kuna sufuria nilitakaga kuzitupa ila kaziosha zimekuwa nyeupe kama theluji. Nikamuomba anioshe vyeti softcopy, aisee ni kichwa hasa, O na A level ni vijiti tu, Sekondari zote kasoma za kike. Chuo GPA KUBWA!

Mchana nikampa maelekezo asipike nitamuagizia Chakula ikabidi sasa nimtafute yule ndugu yake akaanza ku-verify zile taarifa alizonieleza Binti. Wakuu Mimi sijaoa, il Kuna Binti ambaye nilikuwa namfikiria fikiria kumuoa ila hili ni jaribu kwakweli. Yani huu ni wakati mgumu sana napitia, sielewi kwakweli. Sijamfanya kitu tangu Jana. Sasa hivi ndio nimeingia kwangu na msosi wake wa usiku namuangalia tu hapa namna alivyotulia kwenye kochi anatazama tamthilia.
[emoji4][emoji4] Utu
 
Wewe ni mgeni na wahudumu wa bar.... Utakuja kupigwa na kitu kizito!!! Yaani we umeopoa siku ya kwanza tu unajiona mjanja? Jiulize kabla yako wameopoa wangapi ndugu, na wote mmepewa story hio hio, hata kama maisha magumu kiasi Gani mwanamke anayejua thamani yake hawezi kufanya kazi bar, period!!!
Wewe wasema kuna watu wanapitia ugumu katika maisha hana choice maisha ni fumbo eti
 
Wewe ni mgeni na wahudumu wa bar.... Utakuja kupigwa na kitu kizito!!! Yaani we umeopoa siku ya kwanza tu unajiona mjanja? Jiulize kabla yako wameopoa wangapi ndugu, na wote mmepewa story hio hio, hata kama maisha magumu kiasi Gani mwanamke anayejua thamani yake hawezi kufanya kazi bar, period!!!
Kwani bar Kuna tatizo gani kama sio wao wewe ungeenda hapo Nani akakupe huduma na usafi.
Acheni hulkq mbaya Hawa nao ni wafanyakazi na wanahitaji kuishi.
Tena ukiweza kumtoa hapo mahali utashangaa akawa mwanamke hasa wa kuishi.
Sio wote wako unavyodhania.
 
Back
Top Bottom