Kuna nabii anauza maandazi ya upako, kuna nabii anauza kikombe cha uji cha upako yani dar utapeli mtupu
Si uliuona umati uliokuwa ukifurika kwa babu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nabii anauza maandazi ya upako, kuna nabii anauza kikombe cha uji cha upako yani dar utapeli mtupu
Wanaonunua wajengewe uelewa kuwa wanachofanyiwa sichoKuna wahubiri siku hizi wanauza maji, chumvi ama mafuta ili kutatua shida za watu (sina uhakika kama vinatatua).
Bei zao ni kubwa sana na wanaingiza pesa ya kutosha. Swali, Je, kuna haja walipe kodi ya mapato kwa mauzo hayo?
watu lazima waelewe kwamba mambo matakatifu lazima yaheshimiwe.Mwendelezo huo huo hadi kufikia kwenye kuaminishwa hapa duniani kuna wajomba zake Mungu kuliko wengine.
Yakute Goba huko uyaambie nini kuhusu Isiraeli?
kumbe ni mfanya biashara eee, sasa mtumishi anakuwaje mfanya biashara? wakat yeye kama ni ufunuo wa kutumia mafuta au maji amepewa bure?? kwani yeye awauzie watu?mimi nimeshawahi kwenda kwa Mwamposa sio mara moja wala mara mbili, udongo pale hauuzwi, kinauzwa mafuta na maji tu. na huwa anasema ukikutana na mtu akakuuzia udongo toa taarifa, pale yanuzwa mafuta na maji na ni shiling elfu moja tu kwa pc. myonge mnyongeni haki yake mpatie. ndio ni mfanya biashara ila hauzi udongo ni bure.
Yani sio tu mfanyabiashara bali ni taperi wa kitaifa na hata sarakali inajua hilokumbe ni mfanya biashara eee, sasa mtumishi anakuwaje mfanya biashara? wakat yeye kama ni ufunuo wa kutumia mafuta au maji amepewa bure?? kwani yeye awauzie watu?
Ila hii nchi sijui wajinga wataisha lini.....☹️Kijiko cha udongo buku.. Na kuna mtu ananunua hadi vijiko 20.. Nilishuhudia pale Kawe kwa Mwamposa mende la cbm 16 linamwaga kifusi cha udongo.. Sijui siku ile mwamposa aliingiza milion mia ngapi
Ningekua nina uwezo watu wote kama hao na wanao fanana na hao ningewaburuza mahakamani kwa tuhuma za utapeli mazee...☹️Kuna wahubiri siku hizi wanauza maji, chumvi ama mafuta ili kutatua shida za watu (sina uhakika kama vinatatua).
Bei zao ni kubwa sana na wanaingiza pesa ya kutosha. Swali, Je, kuna haja walipe kodi ya mapato kwa mauzo hayo?
Asee nilikuwa najiona mjinga kipindi niko mdogo mpaka nikawa nawaza kwamba hv kwa huu uelewa wangu mdogo ntaishije hii nchi, nimekuwa nimekutana na viazi hadi najiona nina nafuu tenaIla hii nchi sijui wajinga wataisha lini.....☹️
Ndio walipe maana wanafanya biashara.Kuna wahubiri siku hizi wanauza maji, chumvi ama mafuta ili kutatua shida za watu (sina uhakika kama vinatatua).
Bei zao ni kubwa sana na wanaingiza pesa ya kutosha. Swali, Je, kuna haja walipe kodi ya mapato kwa mauzo hayo?
Alipie kodi hayo mafuta na maji. Hiyo ni biashara na biashara hizo hazipo ktk Biblia.mimi nimeshawahi kwenda kwa Mwamposa sio mara moja wala mara mbili, udongo pale hauuzwi, kinauzwa mafuta na maji tu. na huwa anasema ukikutana na mtu akakuuzia udongo toa taarifa, pale yanuzwa mafuta na maji na ni shiling elfu moja tu kwa pc. myonge mnyongeni haki yake mpatie. ndio ni mfanya biashara ila hauzi udongo ni bure.
hiyo ni kazi ya mamlaka husikaAlipie kodi hayo mafuta na maji. Hiyo ni biashara na biashara hizo hazipo ktk Biblia.