Kimeingia kwa dada yako na hapa anataja miungu na mizimu ya kwenu yote
Mwalimu ni Mohamedi Mtoi shule ya kata pale Tanga Mjini lakini kila siku mnashinda wote Ufipa.
Jana katika kumchagua mwenyekiti wa kudumu wa bunge la katiba kura 7 ziliharibika! Leo pia zimeharibika kura 7 katika zoezi la kumchagua makamu mwenyekiti!
Inaelekea ni wale wale walioharibu kura jana wameharibu tena leo!
Wajumbe jichunguzeni vinginevyo hao 7 watalidhililisha bunge hilo"
Kabla hawajaja shule ya kata wanatakiwa wawe wamefaulu shule ya msingi ambako huko wanakuwa wamepita kwenye mikono ya walimu kama huyu
View attachment 144749