Kuna wajumbe 7 "vihiyo" katika bunge la katiba!?

Mwenyekiti na Makamo wake ni kambi moja na hao saba ni kambi moja basi!
Kutia tiki si lazima uende shule.
Kwa hiyo vihiyo wote hao wanatoka CCM!!!!
 
Umemsahau KINGUNGE ambaye ameteuliwa kupitia NGO ya Sangoma.
 
heee wewe ndo umeona leo ndugu yangu?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…