Kuna wakati kukata tamaa ni chaguo sahihi

Kuna wakati kukata tamaa ni chaguo sahihi

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,380
Reaction score
1,686
Habari zenu ndugu zangu, japo hatufahamiani ila uwepo wenu humu imekuwa ni faraja kubwa sana kwangu kwani mmekuwa watu wa kunipa furaha na kunifariji mara kwa mara,.

Leo nimeona ni bora nisiwaache mkafa bure bila ya kulitambua hili,

Ndugu yangu KUNA WAKATI KUKATA TAMAA HUWA NI CHAGUO SAHIHI SANA.

1694027224007.png


Sio kila wakati mapambano huwa na faida mbele yake,.

Japo ni kweli kuna wakati KUENDELEA KUPAMBANA HUWA NI CHAGUO SAHIHI

1694027341518.png


Ushauri wangu kwako mpambanaji,.

Usipende kutumia mda wako mwingi kwenye mapambano ya hovyo hovyo,.

Unauza karanga ya faida 850 tsh alafu unajipa moyo eti MANJI alitokea kwenye kuuza karanga ndugu acha mara moja utakuja kufa na kuzeeka masikini wa hivyo hivyo,.

Unauza mama ntilie mwaka wa kumi huu sasa na hauoni faida yake dada yangu acha acha mara moja kajaribu hata na uchangudoa unaweza ukakutoa,

Kaka unauza magazeti mwaka wa tano huu sasa hakuna unachokipata, mzee acha mara moja utakuja kuzeeka na umaskini uliokithiri,

Baba unavua samaki mwaka wa 15 sasa hamna mabadiliko katika maisha yako mzee wangu katafute kazi kajaribu hata kutafuta shamba lima mbaazi angalia mwenendo na huko ukiona hauelewi achilia kwa mbali pia,.

WAKATI MWINGINE KUKATA TAMAA INAWEZA KUWA NJIA SAHIHI SANA KWAKO.

1694027341518.png
1693336592019.jpg
1694027341518.png
 

Attachments

  • 1694009324501.jpg
    1694009324501.jpg
    45.6 KB · Views: 3
Habari zenu ndugu zangu, japo hatufahamiani ila uwepo wenu humu imekuwa ni faraja kubwa sana kwangu kwani mmekuwa watu wa kunipa furaha na kunifariji mara kwa mara,.

Leo nimeona ni bora nisiwaache mkafa bure bila ya kulitambua hili,

Ndugu yangu KUNA WAKATI KUKATA TAMAA HUWA NI CHAGUO SAHIHI SANA.

View attachment 2741399

Sio kila wakati mapambano huwa na faida mbele yake,.

Japo ni kweli kuna wakati KUENDELEA KUPAMBANA HUWA NI CHAGUO SAHIHI

View attachment 2741404

Ushauri wangu kwako mpambanaji,.

Usipende kutumia mda wako mwingi kwenye mapambano ya hovyo hovyo,.

Unauza karanga ya faida 850 tsh alafu unajipa moyo eti MANJI alitokea kwenye kuuza karanga ndugu acha mara moja utakuja kufa na kuzeeka masikini wa hivyo hivyo,.

Unauza mama ntilie mwaka wa kumi huu sasa na hauoni faida yake dada yangu acha acha mara moja kajaribu hata na uchangudoa unaweza ukakutoa,

Kaka unauza magazeti mwaka wa tano huu sasa hakuna unachokipata, mzee acha mara moja utakuja kuzeeka na umaskini uliokithiri,


Baba unavua samaki mwaka wa 15 sasa hamna mabadiliko katika maisha yako mzee wangu katafute kazi kajaribu hata kutafuta shamba lima mbaazi angalia mwenendo na huko ukiona hauelewi achilia kwa mbali pia,.

WAKATI MWINGINE KUKATA TAMAA INAWEZA KUWA NJIA SAHIHI SANA KWAKO,.
Yah! sad truth the young generation must live with
 
Habari zenu ndugu zangu, japo hatufahamiani ila uwepo wenu humu imekuwa ni faraja kubwa sana kwangu kwani mmekuwa watu wa kunipa furaha na kunifariji mara kwa mara,.

Leo nimeona ni bora nisiwaache mkafa bure bila ya kulitambua hili,

Ndugu yangu KUNA WAKATI KUKATA TAMAA HUWA NI CHAGUO SAHIHI SANA.

View attachment 2741399

Sio kila wakati mapambano huwa na faida mbele yake,.

Japo ni kweli kuna wakati KUENDELEA KUPAMBANA HUWA NI CHAGUO SAHIHI

View attachment 2741404

Ushauri wangu kwako mpambanaji,.

Usipende kutumia mda wako mwingi kwenye mapambano ya hovyo hovyo,.

Unauza karanga ya faida 850 tsh alafu unajipa moyo eti MANJI alitokea kwenye kuuza karanga ndugu acha mara moja utakuja kufa na kuzeeka masikini wa hivyo hivyo,.

Unauza mama ntilie mwaka wa kumi huu sasa na hauoni faida yake dada yangu acha acha mara moja kajaribu hata na uchangudoa unaweza ukakutoa,

Kaka unauza magazeti mwaka wa tano huu sasa hakuna unachokipata, mzee acha mara moja utakuja kuzeeka na umaskini uliokithiri,


Baba unavua samaki mwaka wa 15 sasa hamna mabadiliko katika maisha yako mzee wangu katafute kazi kajaribu hata kutafuta shamba lima mbaazi angalia mwenendo na huko ukiona hauelewi achilia kwa mbali pia,.

WAKATI MWINGINE KUKATA TAMAA INAWEZA KUWA NJIA SAHIHI SANA KWAKO,.
Una Hoja usikilizwe.
 
Hata unaposikia kuna mtu ametajilika au ametoboa kupitia biashara fulani basi usizani labda alianza na hiyo hiyo tu na akafanikiwa kupitia hiyo hapana,.

Alijaribu hii akaacha akajaribu na ile akaona haimlipi pia mpaka hapo alipotobolea waweza ona alikata tamaa katika madaraja hata hata manne au matano,.


Ndugu ukiona hauelewi kupitia unaloliamini acha tena kimbia mbali,.
 
Una kitu, utafika mbali
Na wewe pia nakueleza, Acha tena acha mara moja.
Kama unapambana na hauoni faida yake acha,.
Kajaribu hata na bustani ikikupendeza zaidi fanya kama unatembeza nyumba hadi nyumba,.

Ukiona hauelewi achilia mbali katafute mashamba makubwa jaribu na UFUTA

na huko bei ikikupiga acha nenda MTWALA kajaribu na KOROSHO ikikupendeza BANGUA lete mjini,.

Utakuja nikumbuka baadae.
 
Na wewe pia nakueleza, Acha tena acha mara moja.
Kama unapambana na hauoni faida yake acha,.
Kajaribu hata na bustani ikikupendeza zaidi fanya kama unatembeza nyumba hadi nyumba,.

Ukiona hauelewi achilia mbali katafute mashamba makubwa jaribu na UFUTA

na huko bei ikikupiga acha nenda MTWALA kajaribu na KOROSHO ikikupendeza BANGUA lete mjini,.

Utakuja nikumbuka baadae.
Asante mkuu kwa ushauri wako mzuri
 
Back
Top Bottom