Kuna wakati magoli yanafungwa wewe kama shabiki watimu unakosa umlaumu nani.

Ni kweli ww km ni mwanasoka halisi goli la kwanza lawama ni kwa vd!! Yeyr ndio alipaswa kumark pale, mtu kakimbia toka huko kaja kufunga goli free tena ndani ya box ni kosa kwake van dijk.. Sijui wengine wanaonaje.
Kweli SUA alikuwa katikati ya MATIP NA DJIK, alikuwa mgongoni kwa MATIP .. DJIK ndio alikuwa anamuona vzr Suarez akimoove.
 
mkuu mesii hana mpira wowote wa burudani mpira wa burudani alikua ronadinho tu kina mess na ronaldo matokeo zaidi
Burudani ya Messi ni kupita msitu na kuhama na kijiji,. huwezi kufanya hayo bila uwezo wa chenga.
Dinho namsaluti ila Leo nae yumo mkuu
 
Messi anabebwa na muundo wa Barca akienda kwingine hoi kama chama lake la Argentina.
 
Ila Simba wanasema wanaweza kuwafunga barcelona. Ujue wakati mwingine mtu mpumbavu akiongea jambo kaa kimya tu Mungu atamwonesha ukweli na haki kwa wakati unaofaa
Yale ni maneno ya kuburudisha tu watu mkuu.. ukiyachukulia maanani wewe ndio unakuwa tatizo.
 
cha ajabu huyo Messi hajawahi kuisaidia timu yake ya Taifa kubeba kombe lolote
 
POIN OF CORRECTION GOAL LA TATU ALLISON ANGEMUITA KALIUS NA MIGNOLET WABEBANE WAUFIKIE MPIRA
 
mkuu mesii hana mpira wowote wa burudani mpira wa burudani alikua ronadinho tu kina mess na ronaldo matokeo zaidi
Neymar anaburudisha na kutafuta matokeo ni Sawa na ronaldinho mmoja na nusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…