Kuna wakati magoli yanafungwa wewe kama shabiki watimu unakosa umlaumu nani.

Kuna wakati magoli yanafungwa wewe kama shabiki watimu unakosa umlaumu nani.

Laumu Klopp.
Anaumia Keita unaingiza Henderson. Kwanini asiingie Firmino/Sturidge/Origi ili Winaldium (sinauhakika na Spelling) ashuke sehemu ya Keita?
Kuna jambo haukujua tu:

Firmino ni alikuwa majeruhi, ilikuwa ni ngumu ku take risk zaidi.

Sala aliumia mazoezini one day b4 game, Van huyo alikuwa na majeruhi wa mguu, wenyewe walijua ila mambo yalikuwa siri ili adui asijue.

Sturridge iliukuwa ngumu kuanza coz ametoka majeruhi.

Liverpool walizidiwa individual performance,
 
Kwangu mimi jana game iliisha baada ya nabil keita kuumia!! Nadhani pale pale angemuingiza bobby firmino kisha wijnaldum ashuke chini hii ingesaidia kidogo lakini sub hii alichelewa kuifanya, akamuingiza henderson ambae kwenye game hawezi kukupa kile nabil keita anaweza kukupa!! Hapa tu liver ikajifia.
Klopp alivurugwa kiakili, alitarajia kuona barca wakipiga pasi kama kawaida, sasa EVV akaua hiyo mipango ya kupiga pasi tunataka magoli, ndiyo maana Vidal alikuwa ndani kuboresha ulinzi na alafu zile njemba mbili kupika sumu tu kazi yao ilikuwa, Busquet na Rakitic
 
achana na kombe la watoto under 17 tena la olimpiki. Tunazungumzia Makombe Ya Wakubwa Kama Copa America, Kombe La Dunia. Kiufupi Mesi Nje Ya Barcelona Hawezi Kushindana Hata Na Rashford
Acha hisia mzee, Rashford hawezi kuwa sawa na Messi hata akae wapi na yeye awe wapi.

Kuna maswali jiulize, hivi zile free kick zinapigwa na miguu ya watu wangapi? Mfano kwenye ile siku na Liverpool, Je Rashford hakuwahi kupata free kick?

Unajua messi amepiga free kick ngapi msimu huu na zote magoli?

Wanaojua mpira na kumfundisha na kukutana nae ndiyo maana wanakwambia unstoppable huyu andunje.
 
Siku Mess akiondoka Barca na heshma yake anaicha barca. Yule ameumbwa kwa ajili ya Barca tu. Waulize wa Argentina watakujibu.
Del Bosque mwenyewe juzi amekiri kuwa aliwahi mshawishi andunje kuchezea timu ya taifa ya Spain.
 
Mm ni shabiki wa Messi na hakuna mpuuzi yeyote wa kumlinganisha na nae ila kwenye suala la kutoa burudani,ladha,uda bwidambwi mtu asijutie kiingilio chake bc hakuna km gaucho kiukweli tuacheni ushabiki maandazi yle mtu hatari Messi na Ronaldo ni hatari wakiliona goli chenga zao na maarifa ya kawaida tu hata waungane hawatii mguu kwa dinho!
Yaaani pita kwa mangi chukua soda kreti tano, nitalipa niko job mzee.
 
Magoli yote ni ya kulaumu mabeki, ispokuwa goli la free kick, hilo goal kusave ni imposible, mengine yote ni kwa sababu ya defender mbovu
Lakini watu ndiyo walisema hii ndiyo defence bira zaidi. Klopp amelaumu sana defence, nadhani next week watachanganyikiwa sana.

Maana klop atapunguza midfielder ku add attackers, ili washinde mapema, hapo mwanzo wa maumivu mengine naona yanakuja.

Historia inaonyesha kuwa barca hawakuwahi kutolewa semi final wakiwa na magoli mengi,

Wote waliomng'oa walifunga wao mabao mengi, akikupiga nyingi first leg jua umesepa tu.
 
Acha hisia mzee, Rashford hawezi kuwa sawa na Messi hata akae wapi na yeye awe wapi.

Kuna maswali jiulize, hivi zile free kick zinapigwa na miguu ya watu wangapi? Mfano kwenye ile siku na Liverpool, Je Rashford hakuwahi kupata free kick?

Unajua messi amepiga free kick ngapi msimu huu na zote magoli?

Wanaojua mpira na kumfundisha na kukutana nae ndiyo maana wanakwambia unstoppable huyu andunje.
Jamani mbona mnatumia nguvu kubishana na watu.Messi kazidiwa na RashFord kila kitu.Messi hana lolote lile analoweza zaidi ya kupiga viji free kick na vigoli vya kubebwa bebwa.Jana Arsenal kashinda 3...hawana pa kijishikiza.mana pa kujishikiza palikuwa LiverPool wamelambwa.wakasubiri wapate pa kusemewa kule Juve nako kumeliwa UEFA sasa mnataka waende wapi?
 
Unachekesha kijana 😀Kama unazungumzia kupiga kanzu na kucheza wowowo hapo sawa...lakini kwa Messi/complete player hakuacha kitu ktk soka, burudani zote katupatia + mafanikio..na usifikiri tuliomo humu hatukumshuhudia au kumuona Gaucho, tunamjuwa vizuri zaidi yako...

Alafu haingii akilini kumfananisha mchezaji ambae amedumu miaka mingi zaidi ya 11 katika ubora wake na kuiletea mafanikio makubwa timu yake kitu ambacho hukipati kwa mchezaji yeyote yule...halafu umfananishe na gaucho ambae amedumu 3 or 4 years!! Are you serious?? Hata katika top 10 ya greatest players of all time hayumo!! Sawa gaucho alikuwa mzuri tu, ila hakuwa consistent, life span yake ilikuwa fupi sana na aliendekeza wanawake...hivyo ni ngumu kumfananisha na Kiumbe Messi.


Messi kaipa mafanikio tim yake kwa miaka mingi

Barcelona


GAUCHO[emoji116]


Barcelona

Ukitaka zaidi omba msaada kwa Mr google...hapo sijaweka vyote...
hizo zote zote mbwembwe tu mataji hata iker casilas ana mataji kibao.sema nini GAUCHO life span Lake LA soka kweli hakututendea haki hata kidg kwa maajabu aliyokuwa anafanya tuliinjoi Mpira wakati wake kuliko kawaida sio kufananisha na hawa akina mess wana chenga za aina Mbili tu uwanjani
 
mtaalamu yule hapendi ligi anasifia kuondoa mgongano tu kwanza huenda alitamka hayo maneno wakati hayuko kwenye peak


Screenshot_20190503-183352_Instagram.jpg


Mbona unahangaika kijana wangu....ebu Mtafute gaucho wako hapo kama utampata, masikini ya Mungu hata kwa tochi humpati 😀

Yani hii list alitakiwa Messi awe namba 1, Then Diego namba 2...wengine watajuana mbele kwa mbele...
 
Anavyote huyo, mpira bila magoli hakuna kitu. Sasa mbona Liverpool wana huzuni na wao wameongoza ball possession?

Jiulize swali
ulikuwa humjui akiwa karibu na goli alikua hacheki kila aina ya magoli katia wavuni mpka magoli ya kina fall pupa waulize Chelsea kiliwtokea nini champions ligue alikata mauno kabla ya kutupia
 
Nawauliza wanaosema kuwa huyu andunje hana akitu mkuu, nielewe sasa
ulikuwa humjui akiwa karibu na goli alikua hacheki kila aina ya magoli katia wavuni mpka magoli ya kina fall pupa waulize Chelsea kiliwtokea nini champions ligue alikata mauno kabla ya kutupia
 
Mm ni shabiki wa Messi na hakuna mpuuzi yeyote wa kumlinganisha na nae ila kwenye suala la kutoa burudani,ladha,uda bwidambwi mtu asijutie kiingilio chake bc hakuna km gaucho kiukweli tuacheni ushabiki maandazi yle mtu hatari Messi na Ronaldo ni hatari wakiliona goli chenga zao na maarifa ya kawaida tu hata waungane hawatii mguu kwa dinho!
hizo zote zote mbwembwe tu mataji hata iker casilas ana mataji kibao.sema nini GAUCHO life span Lake LA soka kweli hakututendea haki hata kidg kwa maajabu aliyokuwa anafanya tuliinjoi Mpira wakati wake kuliko kawaida sio kufananisha na hawa akina mess wana chenga za aina Mbili tu uwanjani

Hvi mnaomshabikia Ronadinho dhidi ya Messi sijui hata mnatumia nin kufikri , kwa kipi hasa alichokifanya Dinho??? leo hii mtandao wwte unaohusika na mambo ya soka hawawezi kumweka dinho hata kwenye top ten ya wachezaji bora waliowah kutokea....
Dinho alikuwa na madoido tuu, hakuna kingine na ndo mana style yake ilizimwa mapema tu akapoteana, watu wanahtaji performance sio urembo na mikwara mingi ya show off, Messi kaifikisha timu ya Taifa ya Argentina fainali ya kombe la dunia, kaifikisha fainali ya copa america two times, kaleta mafanikio Barcelona ya kufa mtu....Makocha wote bora duniani wanamhanya dogo, Mourinho alisema ni rahisi kuikabili baca bila messi, ila akiwepo Messi baca inakuwa timu nyingne, Ferguson alikuwa akikutana na Messi mavi yanagonga chupi yanarudi, Guardiola amekula nyingi tubkwa messi japo amekaa naye zaid ya miaka mitatu, Klop,wenger, nk

Inashangaza mchambuzi tokea gongo la mboto kwenye vibanda umiza au nyumban kwake anamuona Messi ni nonsense..kweli, eti anazidiwa na Dinho..Duuh
 
Cha ajabu zaidi ya vyote kapiga Liverpool mbili tena na vijitimu vyenye ngebe nyiingi na mashabiki wake uchwara.Makombe Makubwa tumwachie Ronaldo na wengine huyo Bwana aachiwe anachoweza kufanya.Ni kweli Messi hawei kushindana na Rashford..Rashdord ni fundi eti.Si unaona UEFA alichofanya...Messi anabebwa mno na Marefa na Barca saaana.Kidogo tu Messi Messi ...Hata Samatta kamzidi Messi sema tu yupo Genk...
Messi ni sawa na wachezaji nane wa manyua, haya kanywe paracetamol ulale.
 
Yule ndiye Lionel andres messi ..binaadamu aliyeletwa duniani kwaajili ya kufanya shughuli moja tu pekee ...

Kuwafundisha wachezaji wa mpira wa miguu kucheza mpira ..na kutu burudisha wapenzi wa mpira wa miguu

Halafu huyo uliye mtaja kuwa ni beki bora duniani Hiyo tuzo amepewa lini !?,...au ndio mmeshaanza misifa mashabiki wa epl kama ilivyo desturi yenu
Usiseme Lionel Andres messi tu, malizia Cuccitin
 
Messi ni sawa na wachezaji nane wa manyua, haya kanywe paracetamol ulale.
Hahaha Mkuu usipate moto...kuna watu humu wanachuki kweli kweli na Kiumbe cha Mungu kile ndio maana naamua kuunguna nao kupunguza machungu yao.Katoto ka watu kalikuwa kagonjwa ka moyo..Barca wakakasaidia sasa kuna ubaya gani kukaa Barca milele.OOh akitoka sijui akienda wapi hana kitu...Kaandikiwa hivyo tayari na itakuwa hivyo.Alipo atafanya anachoweza.Kinachowauma watu ni kuwa Team zao zimepigwa zooote sasa wamebaki na Kichaka kimoja cha Liver ambacho juzi kimeaanza kuwaka moto..Je watajificha waaaapi?Soma hiyo...watahamia Ajax...na wakikosa kabisa utasikia Barcha kapewa tu lile kombe.
Mtoa mada si mnafiki kabisa ameonesha mapenzi yake makuubwa na Team yake...ameonesha maumivu yake.Sasa njoo kwa mashabiki msimu uone chuki zao za ajabu ajabu.Hawa ndio wale walikuwa wanaiombea Simba mabaya kipindi anashiriki yale mashindano huku wanasahau ni faida kwetu kama TZ..na ndioo haohao utasikia ooh Yanga akiingia kule hana kitu.Mwisho wa siku unawasikia Tena eee Mungu isaidie Tz kimechezo.Mungu gani asaidie mijitu kama hiyo?Ndio maana anasaidia Kina Messi na Barca,Kina Ronaldo na wengine.Sisi huku Tubaki na Roho zetu za kutu na fitna ..wivu..uhusuda.Angalia tu mpira wa africa na mashabiki wake walivyo.Rooho kubwa kuliko matendo yao.Hata tungekaa karibu na Mungu wa Michezo hakuna tutakapofika zaidi ya hapa tulipo.Kuna watu wamezaliwa kubebwa ndio Messi sasa Barca imembeba kabebeka haswa......
 
Back
Top Bottom