Kuna wakati unafanya upuuzi halafu unaogopa kutembea mchana

Kuna wakati unafanya upuuzi halafu unaogopa kutembea mchana

Munguwetu

Member
Joined
Dec 13, 2022
Posts
87
Reaction score
80
Urevuka!

Yaani ni aibu sana unafanya matukio, unafanya ujinga mtaani na kwa jamii kisha kutoka nje unaona aibu. Ni upuuzi Sana.

Jamaniee wakati fulani unafanya upuuzi then unaogopa kutembea mchana pale unapohisi wanajamii wanakuona mjinga.

Unapigana kwa sababu zako, unaona aibu ya nini?
 
Urevuka!

Yaani ni aibu sana unafanya matukio, unafanya ujinga mtaani na kwa jamii kisha kutoka nje unaona aibu. Ni upuuzi Sana.

Jamaniee wakati fulani unafanya upuuzi then unaogopa kutembea mchana pale unapohisi wanajamii wanakuona mjinga.

Unapigana kwa sababu zako, unaona aibu ya nini?

Hizo tabia za uswahilini
 
ulikunywa pombe zika kushika akili!.ulivuta bangi !
 
Back
Top Bottom