Munguwetu
Member
- Dec 13, 2022
- 87
- 80
Urevuka!
Yaani ni aibu sana unafanya matukio, unafanya ujinga mtaani na kwa jamii kisha kutoka nje unaona aibu. Ni upuuzi Sana.
Jamaniee wakati fulani unafanya upuuzi then unaogopa kutembea mchana pale unapohisi wanajamii wanakuona mjinga.
Unapigana kwa sababu zako, unaona aibu ya nini?
Yaani ni aibu sana unafanya matukio, unafanya ujinga mtaani na kwa jamii kisha kutoka nje unaona aibu. Ni upuuzi Sana.
Jamaniee wakati fulani unafanya upuuzi then unaogopa kutembea mchana pale unapohisi wanajamii wanakuona mjinga.
Unapigana kwa sababu zako, unaona aibu ya nini?