Kuna wakati Yanga na Simba Zitakuwa Kama Twaha na Dulla

Basi kwa ubora wenu endeleeni kushinda mechi na sio kulalamika nyie makolo
Hawa makolo wana ushabiki wa kukariri hawaoni litimu lao mwaka huu ni libovu wao wanataka licheze kama mwaka jana.
Yatakufa mamtu mwaka huu kwa ushabiki wa mazoea.
 
Ni swala la muda tu ubingwa mtausikia tayari uko Msimbazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…