Mnaanza kubweka Kama mbwa, iyo si ndiyo ilikuwa michezo yenu, wakati mnafanya mbona mlikuwa kimya kipindi kile kina makonda wanatoa milioni 20? Leo hii kumbe mnaona ni jambo baya,,mmerukwa na akili au mnaweweseka, na nyie si muendelee kutoa Kama mlivyokuwaga mnatoa au bosi amesusa bando limekata!