Kuna wana JF wamepotea au wamebadili ID?

Tyta hakuna picha iliuliziwa humu akashindwa kuileta, kila picha inayouliziwa na wazee wa Weka Picha, jamaa alijibu bila shida.

Mpaka jamaa walishindwa wenyewe!
Nimecheka hatariii aiseee
 
weka picha alikua anaipatia Tyta
ungetaka hata picha yako anakuletea

aliniacha hoi alipoleleta picha za pale temeke kwenye bidhaa pendwa maswali yalikua mengi kuliko majibu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani yule mtu khaa sijui anapataga wapi picha. Btw hiyo bidhaa pendwa ni ipi[emoji13]
 
Wamehamia ktk magroup ya whatsapp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…