Kuna Wanamuziki Barani Afrika wanajua kuimba Muziki aina kama ya Oliver Ng'oma?

Kuna Wanamuziki Barani Afrika wanajua kuimba Muziki aina kama ya Oliver Ng'oma?

Mkogoti

TAPELI Mkubwa
Joined
May 3, 2020
Posts
2,415
Reaction score
3,924
Habari Wakuu za Wakati huu? Natumaini wazima wa Afya.

Okey, Mimi bwana katika Wanamuziki ninaowakubali ana Mmoja wapo ni huyu Bwana Oliver Ng'oma, huyu jamaa tumuache tu,

Nikiwa nipo home nikikumbuka huwa lazima niplay list ya nyimbo zake ni nzuri kwa kuziskiliza harafu za taratibu sana, Labda naweza kuwatajia baadhi ya nyimbo zake kali ambazo nazikubali kutoka kwake.

1. Adia
2. N'ge
3. Alphosine
4. Fely
5. Lusa
6. Icole

Zitafuteni Mkuu ni nzuri kwa kuzisikiliza hazichoshi.
 
Kila Zama na kitabu chake.
Kina Oliva Ngoma wameenda vitu vyao, Leo wapo wengine na mitindo yao.
 
Hiyo ni kweli mkuu Watakuja tena wengine
 
Bonge moja la mwanamziki ninaemkubali mkuu. Na hizo ngoma zote ninazo. Wapo wengine kama Mbilia Bell,Mtukuzi,Franko Makiad. Lakini kizazi hiki hawatakuelewa ukiwaambia hizo ngoma.

Hata ukienda kwenye vibanda vya wachoma cd hizo ngoma hawana kabisa. Hiki kizazi ni kama hakuna watu kabisa. Yaani Bob Marley,Luck Dube hawawafahamu. Ukiwatajia kitu The Wailers unakushangaa usoni tu

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Bonge moja la mwanamziki ninaemkubali mkuu. Na hizo ngoma zote ninazo. Wapo wengine kama Mbilia Bell,Mtukuzi,Franko Makiad. Lakini kizazi hiki hawatakuelewa ukiwaambia hizo ngoma. Hata ukienda kwenye vibanda vya wachoma cd hizo ngoma hawana kabisa. Hiki kizazi ni kama hakuna watu kabisa. Yaani Bob Marley,Luck Dube hawawafahamu. Ukiwatajia kitu The Wailers unakushangaa usoni tu

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Ni kweli Mkuu mimi ni kijana lakini nikiwa nasikiliza hizo Vitu hivyo Vya Oliver Ng'oma wananiita mimi ni mzee 😁 kwamba ni nyimbo Za wazee!
 
Ni kweli Mkuu mimi ni kijana lakini nikiwa nasikiliza hizo Vitu hivyo Vya Oliver Ng'oma wananiita mimi ni mzee [emoji16] kwamba ni nyimbo Za wazee!
Kama wewe ni kijana halafu umezielewa hizo ngoma,basi utaufaidi mziki mtamu. Bonge la ngoma hizo mkuu. Mimi ninaposikiliza hizo ngoma,nakuwa niko ulimwengu mwingine kabisa

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Kuna ladha uwa nazipata sana kwenye hizo nyimbo yani fikra zangu zinarudi nyuma sana! Kuna nyimbo kama za Papa wemba ile inaitwa "Show me the way" bonge moja ya ngoma yani,

Harafu kuna ile nyingine kashirikiana na Koffi olomide "Wake up" mle wameimba aiseee
 
Kuna ladha uwa nazipata sana kwenye hizo nyimbo yani fikra zangu zinarudi nyuma sana! Kuna nyimbo kama za Papa wemba ile inaitwa "Show me the way" bonge moja ya ngoma yani,

Harafu kuna ile nyingine kashirikiana na Koffi olomide "Wake up" mle wameimba aiseee
Oliva ngoma nyimbo zake zina ladha flani amazing, papa wemba napena ngoma yake ya "ye teho"
 
Oliver Mtudkiz kama nimelipatia kuliandika nae yumo pia kibao kama Neria, Wacha widu, na vingine vibao vikali kutoka kwake
 
Back
Top Bottom