Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Siri gani tena audio ipo whatsapp, anamuomba wema msamaha, kamuita aende kilimanjaro waongee jmosi mchana jpili jioni arudi.Mmh penzi halichagui lakini hapa ninaona mwenyekiti atafanya siri, si mume wa mtu yule?
Hahahaha masikini hamorapaWema asimletee mikosi champion boy.....yan acheze na kunguni zote tanzania amuache samatta aishi maisha yake ya amani..
Wema kwa sasa size yake ni HAMORAPA tu..maana samata haitaji kiki wala umaarufu ili afunge magoli
unajua maana ya nung,ayembe? phew!Mbona Daimo anakula nungayembe bwana!!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] wa sepetu au wa Mbowe?? Au sijaelewa vizr hapa mkuuWema huyu huyu wa Mbowe..?
Wish granted.Habari za J'mosi
Huko insta nimekuta kuna wanaoomba itokee ndoa kati ya Madame na Golden boy wetu, sifahamu ukaribu iliopo kati ya wawili hawa, lakini mna maoni gani katika hili?
Mbona mna roho za kunguni nyie watu? Sepenga ana Nyota, Chibu ni uthibitisho tosha, ila bila kuhara maneno kuhusu madam hamuoni raha... Haya yakitimia na Samatta anakuwa mchezaji bora wa Dunia.Hawamtakii mema Samatta, bali wanataka kumuona amekaa kibarazani kwa kutokuwa na kazi.
Kwa nin mkuu isiwe Mr. Blue na T.I.D iwe uthibitisho..?Mbona mna roho za kunguni nyie watu? Sepenga ana Nyota, Chibu ni uthibitisho tosha, ila bila kuhara maneno kuhusu madam hamuoni raha... Haya yakitimia na Samatta anakuwa mchezaji bora wa Dunia.
Hili jike shupa litamshusha kiwango tuHabari za J'mosi
Huko insta nimekuta kuna wanaoomba itokee ndoa kati ya Madame na Golden boy wetu, sifahamu ukaribu iliopo kati ya wawili hawa, lakini mna maoni gani katika hili?
hahahaha hiyo inaitwa jaza ujazwe kamanda Evelyn SaltUmesikia new penzi in town, mwenyekiti wa Chama na wema, duh sijui tu kuweka audio kwa kisauti kile viti maalum vitamhusu, mwenyekiti anaongea amelegea kama namuona ha ha ha ha