nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Idiots, dunderheads,imbeciles yaani tushatoka kwenye ujinga wa lopolopo lakini kuna majinga social media yanadai mwijaku na Nugaz wawekwe team ya usemaji kwenye chama letu pendwa la simba
sasa mimi nashauri kwamba ikiwezekana simba iende hata zimbabwe kuchukua msemaji asiyejua kiswahili kabisa ili waandishi takataka waonyeshe ujuzi wao wakati wanazitendea haki bahasha za khaki za msomali wakiwa bize kuleta mvurugano kwa mchampion wa nchi wanakutana na mtu anayeongea english tu
Ni ki report toka kurasini bandarini ni mimi Nzagambadume a.k.a mzee Tozi..mzee M-BAD sana kiboko ya majitu yenye tamaa za pesa
sasa mimi nashauri kwamba ikiwezekana simba iende hata zimbabwe kuchukua msemaji asiyejua kiswahili kabisa ili waandishi takataka waonyeshe ujuzi wao wakati wanazitendea haki bahasha za khaki za msomali wakiwa bize kuleta mvurugano kwa mchampion wa nchi wanakutana na mtu anayeongea english tu
Ni ki report toka kurasini bandarini ni mimi Nzagambadume a.k.a mzee Tozi..mzee M-BAD sana kiboko ya majitu yenye tamaa za pesa