Kuna wanaume JamiiForums wana pesaa balaa!

Kabisa tunahongwa tu na matajir ya Jf tunakula maisha madoraliii


😀😀😀😀 nilikua nipo hatua za mwanzo za kufanya kitu kikubwa kwa ajiri yako lakini kwa mbio hizi ... 🙄🙄 😵 bora nibaki zangu montecarlo
 
😀😀😀😀 nilikua nipo hatua za mwanzo za kufanya kitu kikubwa kwa ajiri yako lakini kwa mbio hizi ... 🙄🙄 😵 bora nibaki zangu montecarlo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbio gani tena?
 
Ukishaona mtu yupo humu too much available kama akina sie ujue huyo hana cheki za kusaini,miradi ya kusimamia,kikao cha kuendesha wala warsha ya kufungua
...ni mwenzetu pesa ya mboga.Labda kurefresh mara moja moja.


Hii kauli inakaukweli. Asilimia kubwa..ila sio wote wengine mda wote app ipo online. Hatuna tabia za kuzima data coz shughuli tuzifanyajo zinahusisha utumiaji mkubwa kukidhi tunachofanya..

Utafanya watu wawekee offline mode
 
Hii kauli inakaukweli. Asilimia kubwa..ila sio wote wengine mda wote app ipo online. Hatuna tabia za kuzima data coz shughuli tuzifanyajo zinahusisha utumiaji mkubwa kukidhi tunachofanya..

Utafanya watu wawekee offline mode
Kwani mada imesema mwanamme aliye online jf hana hela?au anayepitisha like?
Au anayechangia?

Kuna watu waropokaji humu,yupo humu muda mwingi,kila mada yupo kila mara kila wakati.Its like hana maisha out of JF.Kama vile yeye ni mode.
Na kutokuwa na pesa ni phase tu,sio dhambi.
 


Inaonekana wewe ni mfatiaji sana na una mengi ya kuongea juu yao..


😀
 
King'asti

Imma let Kiss spit for me...

"A lotta niggas is thousandaires
Walking round town, fronting like they got mils
For what it's worth, I'm one myself
But my strength in the hood outruns my wealth
But you still might catch Kiss in some Hot Wheels
New Bentley coupe, with the stock wheels (Haha)
Look how I get back to it, I send my young niggas to do it, in the black Buick
I don't spit bars, or distribute the crack fluid
All I'm really waiting on is for niggas to act stupid"

-Jadakiss "Kiss of Death"

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…