Kuna wanaume JamiiForums wana pesaa balaa!

Kuna wanaume JamiiForums wana pesaa balaa!

Kama ulikuwa hujui

Kuna wanaume hapa wanamiliki madorali mpaka unashangaa nataman niwatag lakini naona PM zaoo zitastack kama simu za Tecno.


Sifa zao
Huwa hawacomment ila wanalike tu.

Ni balaaaaaaaa huuhuuuu ngoja niishie hapaaa.

Lakini siwezi kuacha kumtag Jr maana yeye tajiri wa tunguli ana uwezo wa kugeuza makaratasi kuwa pesaa.


Wanaume matajiri Jf huwezi kumkuta hata siku moja anachit chat kama Mbao za Mawe au Daby.

Za kuambiwa changanya na zakoo.


Wanaume wenye madorali Jf leo tupo pamoja tumechoka hizi brand I'd kumbe hazifanani na wahusika alafu nyie mnaomiliki mikwanja mmejificha hamtaki kujulikana loooh kazi kweli kweli.




Mrs Jr.
Hilo pepo mahaba la Mshana Jr limepataba na pepo lako.
 
Na ma Pound na ma Rand na ma Dutch Mark na ma Dirham...hahahaa pesa haijawahi kua adui wa mtu, Yesu tu ndio hakizipenda kabisaa, hahahaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daby popote ulipo Daby ukuje huku. Uone huyu umemfanya nini. Huu Uzi ni Kwa ajili yako au ulimbania nini? Haahaaaba nasubiri mrejesho..


Mjumbe wa kamati za utafiti idara ya papuchi
 
Back
Top Bottom