A alaykum to all muslim ..na wale wenzentu wa imani tofauti na yangu tumsifu yesu kristo.Leo jumapili tulivu nataka nitoe kijistori kidogo kinachohusu mahusiano yangu na mwanaume huyu wa JF.
Nilianza mahusiano na mwanaume huyu september 12/2017 nakumbuka kitu kama hichi.Kiukweli mwanaume huyu alikuwa bora kwangu najua humu wadada wengi mnamfahamu maana anaonekana kuwa sukari kwa warembo kwa vijimaneno vyake vya mahaba ila some times yes some times no.
Basi mapenzi yaliendelea mpaka siku nikakutana nae titi fotati face to face he he heeeee .Huyu mwanaume ni shidaah kuanzia muonekano wake yahni ni shida ..ni mwembamba,Mweusi ,mrefu kiasi,ni muongeaji sana na mjuzi mno wa kubembeleza;na kukufanya hujihisi mwanamke ukiwa nae sasa balaa linakuja kwenye mambo yetuuuu yaleeee.mwanaume anamichezoooo huyu sijapat kuiona tangu nizaliwe na kwenye game ukimuendekeza na kumuachia k anaweza kukuto.... usiku kuchaaa...
Chukua sifa zako kokote ulipooo unadeserve kuwa mwanaume wa mwanamke yeyote aliyokamilika .Kiukweli ni mwanaume ambae alinifanya niienjoi mahusiano na kiukweli sijutiii kuwa nae ingawa nimekutana nae humu.,
Sasa huyu kwangu mimi namuita mwanaume mashine all in all yote i like the way unavyo nishauri mambo mema na yenye manufaa kwangu japo unatumia njia ambazo hata mimi zinanifanya nishindwe kukuelewa but thanks so much kwa hilo.a
Special 4 u ...........UMESHAJIJUA NAJUA
Basi hapo wapo watakaotaka waende kujionea kwa macho......yaliyomo yamooooo..Maana wanawake kwa kupenda kujionea hamjamboo
Nimeandika post yangu kwa niaba ya muhusika sasa utakaekuja kucoment hapa upupu sitakuacha hata sekunde moja ukicoment upupu utajibiwa upupu kama uliouandika....the news is that
Thanks muwe na asubuhi tulivu