Kuna wanaume wanachezea bahati sana

Kuna wanaume wanachezea bahati sana

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kuna wanaume wanachezea bahati sana, sikiliza haya mahojiano upate cha kujifunza...
 
Namfananisha na x hubby wangu, sijui kwa nini nimepita hapa ,dah ila kuna wanaume jamani wanajua kuumiza kifikra ,kiakili na kila kitu , kuna muda mpka unatamani kufa ama kurudisha siku nyuma , Mungu zidi kunijaza baraka za kusonga mbele , niongoze baba na kuniondolea fikra zote hasi

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
pole
ukishapoa shusha kisa chako hapa
 
Pole sna ila tumesikia upande mmoja ngumu sna kutoa Uhukumu Kwa kusikiliza upande moja Sina Iman km mwanaume anaweza kutupa watt wake tu bila sababu...
Namfananisha na x hubby wangu, sijui kwa nini nimepita hapa ,dah ila kuna wanaume jamani wanajua kuumiza kifikra ,kiakili na kila kitu , kuna muda mpka unatamani kufa ama kurudisha siku nyuma , Mungu zidi kunijaza baraka za kusonga mbele , niongoze baba na kuniondolea fikra zote hasi

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namfananisha na x hubby wangu, sijui kwa nini nimepita hapa ,dah ila kuna wanaume jamani wanajua kuumiza kifikra ,kiakili na kila kitu , kuna muda mpka unatamani kufa ama kurudisha siku nyuma , Mungu zidi kunijaza baraka za kusonga mbele , niongoze baba na kuniondolea fikra zote hasi

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
Ila DUNIA SIJAWAHI KUIELEWA...

Ukute huko na wewe anakuponda balaaaa

#YNWA..!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wanaume wanachezea bahati sana, sikiliza haya mahojiano upate cha kujifunza...

Dah.... huyu jamaa si kwamba amechezea bahati, bali, kamtukana MUNGU ile mbaya wallah...

NA HUYU MAMA, KWA JINSI ALIVYO, WA HIVI KAMA KWELI WAPO, BASI WACHACHE SANA....
 
Pole sna ila tumesikia upande mmoja ngumu sna kutoa Uhukumu Kwa kusikiliza upande moja Sina Iman km mwanaume anaweza kutupa watt wake tu bila sababu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila anaweza kuzaa nje na kutelekeza watt na kuzidi kuunda chain ya single mother's na ukija kujua ukweli wanawake wote aliwadanganya hana mke wala mtoto , ?
Kuna muda mnajitengenezea laana bhana msifanye hivyo dah

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
 
Ila anaweza kuzaa nje na kutelekeza watt na kuzidi kuunda chain ya single mother's na ukija kujua ukweli wanawake wote aliwadanganya hana mke wala mtoto , ?
Kuna muda mnajitengenezea laana bhana msifanye hivyo dah

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
Upande wa pili unaweza kuja na maelezo tofauti kabisa ya kubadilisha muelekeo wa kesi. Tunajua wanawake mlivyo wajanja kwenye kucheza na public sympathy Hilo halina ubishi hata the way umeweka kisa chako hapa kwa ufupi bila kuzingatia makosa yako kwenye huo mkasa.

Rejea kisa Cha mwanadada mashuhuri huyuhuyu wa wanawake live alivyokuwa anacheza na public sympathy watu walivyomshitukia na kuanza kumuuliza kuhusu upande wa pili wa shilingi matusi aliyokuwa akiyaporomosha Ni ushahidi tosha ya namna wanawake walivyo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila anaweza kuzaa nje na kutelekeza watt na kuzidi kuunda chain ya single mother's na ukija kujua ukweli wanawake wote aliwadanganya hana mke wala mtoto , ?
Kuna muda mnajitengenezea laana bhana msifanye hivyo dah

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
Ni vile vile ambavyo mwanamke anaweza kuzaa nje na kumbambikia mumewe awalee miaka yote akimuaminisha Ni wa kwake..ipi tofauti hapo?

Wote wakosaji na wote wana umuhimu wao kwa nyakati tofauti, acheni kujiona nyie Kama malaika msio na kasoro muda wote mchukuliwe Kama mnaonyanyaswa kumbe nyuma mmebeba mizigo yenu pia ya lawama msizo weza kuziweka wazi kamwe..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pole ndugu.
ila kuna cha kujifunza toka mwanzo.
tatizo wakina mama wengi huwa wanazungumza mabaya yanayowatokea baadaye hawasemi kuwa mwanzo ilikuwaje?
1. mfano wakati anaingia kwa bwana A, aliondokaje kwa mpenzi wake wa zamani( Jeuri, fedheha, mbwembwe na komeaha nyingi?)
2. alipompata Bwana A ambaye ni mpya alikwenda na picha gani ambayo haipo kutokana na uhalisia wa mpenz wake mpya?
4. mna uwezo wa Kuvumilia sana, na huwa mnakuja kusema matatizo yenu stage 4,ndo mwatafuta social sympath, wakati mnaweza mkasaidiwa mapewa katika early stages za changamoto zenu..
Najua wanaume mpo wengi Jf kuliko wanawake , najua nyie ni wazuri sana wa kuandika ila
Sawa nishakubali watt wawili tayari
Nikaona wacha nisamehe na watatu pia??
Je hawa ndio niliowajua je? Wengine nisiowajua???

Msilazimishe upofu kwa vitu vinavyoonekana !kwani kuwa mnyenyekevu na mwenye kumjali na kumthamini mwenzi wako kunapungukiwa nini?
Dunia hii tunapita tusiumize mioyo ambayo haistahamili uchungu ,si vizuri inaumiza sanaView attachment 1398612

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pole ndugu.
ila kuna cha kujifunza toka mwanzo.
tatizo wakina mama wengi huwa wanazungumza mabaya yanayowatokea baadaye hawasemi kuwa mwanzo ilikuwaje?
1. mfano wakati anaingia kwa bwana A, aliondokaje kwa mpenzi wake wa zamani( Jeuri, fedheha, mbwembwe na komeaha nyingi?)
2. alipompata Bwana A ambaye ni mpya alikwenda na picha gani ambayo haipo kutokana na uhalisia wa mpenz wake mpya?
4. mna uwezo wa Kuvumilia sana, na huwa mnakuja kusema matatizo yenu stage 4,ndo mwatafuta social sympath, wakati mnaweza mkasaidiwa mapewa katika early stages za changamoto zenu..


Sent using Jamii Forums mobile app
Yote kwa yote
Kila kitu kinapita ni muda tu !
Naiman umeona nilichoattach hivyo si wote wabaya naamin ,si wote wazuri pia kikubwa muda ndio lila kitu (yatapita)

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
 
Dah.... huyu jamaa si kwamba amechezea bahati, bali, kamtukana MUNGU ile mbaya wallah...

NA HUYU MAMA, KWA JINSI ALIVYO, WA HIVI KAMA KWELI WAPO, BASI WACHACHE SANA....
Mkuu,ukisikia mtu kujutia maisha uzeeni ndio kama hivi;utaachaje sehemu ambapo ulikuwa unakuwa kiuchumi?
 
Msitukane single mothers visababishi vingine ni nyie wenyewe
Wanaume Jf mpo wengi wengine mtateteana ila ukikaa ukitulia utakiri kwamba kweli hata ww huenda unakosea sana mahali
Tukiweka utu na thamani mbele yetu hatutaumiza wenza wetu ,inaumiza sana tena sana tubadike haigharimu kitu jamni
Kila kitu kinapita
View attachment 1398614

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
Sasa hapa huoni kuna mtu amebebeshwa mtoto ambae sio wake huko... Wanawake will stay on top asee
 
Sure, nimekuelewa.. ILA, AKIHOJIWA, NA IKILETA OUTCOME HII ILIYOWEKWA, THEN MY OPINION WILL STAND, OTHERWISE... I WITHDRAW MY STATEMENTS
Swali la kujiuliza,utatumiaje pesa mliyokusanya na kuwekwa kwenye akaunti yako kwenda kuitawanya hovyo huko nje na mchepuko anayeaaangalia maslai yake binafsi?
 
Pole sna ila tumesikia upande mmoja ngumu sna kutoa Uhukumu Kwa kusikiliza upande moja Sina Iman km mwanaume anaweza kutupa watt wake tu bila sababu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ujue kosa kubwa ambalo mwanaume mwenye akili timamu hawezi kulivumilia na kuamua kutelekeza familia ni kugundua anapigiwa, na wanawake wakishaanza huo mchezo nje ya ndoa ujisahau na kusnza dharau na hujutia baadae. Ndo yaliyomkuta huyo bi dada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom