Mpaka mtu anakwambia uje Lodge Fulani Basi ujue Kesha kusoma kua utoweza kuchomoa, trust meUkiniita kirahisi hivyo njoo lodge fulani. Nakubebisha utangulie lodge nakuja muda ukifika nablokia mbali huko ujiongeze.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umeua. Ujue wakati anakutongoza kimoyomoyo na wewe ulikuwa unamtongoza kihivyo. Mkajikuta hilo neno ulilosema mstari wa pili kutoka chiniKuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Mwingine hata hakufahamu. Ukiniita lodge kimadharau shukuru nikublok ukicheza naelekeza njema mbili na mafuta zikufuate huko.Mpaka mtu anakwambia uje Lodge Fulani Basi ujue Kesha kusoma kua utoweza kuchomoa, trust me
Kuna wanaume huwa hawajielewi mkuu..kuna huyo mmoja kipindi Fulani alinitokea nikamkataa yaani hata contacts zangu sijui alipata wapi,,, nilivyoona anakera halafu siyo mwelewa nikawa akipiga simu sipokei,,, akituma sms sijibu ,,,, kipindi hicho Mimi nilikuwa na mchumba tayari.... akaenda kwa kaka yangu eti anamuita shemeji halafu anamwambia mbona Mtoto wa Baba hapatikani? Alinikera sana yule fala, alinifanya nimtukane na mazoea yakakoma.Mkuu mbona povu jingi sana! Kuna shida gani imekukuta?
Inatisha,,, si uliitoa siku ile mkuu?Hapana mkuu....[emoji21][emoji21]
Why....!!??
Ahaa so ulikuwa unamega kiselaSema at that momento mi tayar nilikua naishi na mtu wangu coz ye ndo aliye nielewa since dai one nikamuelewesha tu a,b,c
Kuna wanaume huwa hawajielewi mkuu..kuna huyo mmoja kipindi Fulani alinitokea nikamkataa yaani hata contacts zangu sijui alipata wapi,,, nilivyoona anakera halafu siyo mwelewa nikawa akipiga simu sipokei,,, akituma sms sijibu ,,,, kipindi hicho Mimi nilikuwa na mchumba tayari.... akaenda kwa kaka yangu eti anamuita shemeji halafu anamwambia mbona Mtoto wa Baba hapatikani? Alinikera sana yule fala, alinifanya nimtukane na mazoea yakakoma.
Ndio mkuu, wallah niliitoa na nikaitunza tu hapa....[emoji23][emoji23]Inatisha,,, si uliitoa siku ile mkuu?
Hahahaha!!! Mkaanga chipsi hana chake hapo ila atakujibu kinafiki kama unavyojua Hawa wenzetu.Nikulize tu swali dogo!
Mfano kwa status yako sahivi, akaja kijana ana gari smart look anakutongoza kwa pesa na akaja mkaanga chips kama ZeroIQ kwa miguu kumwaga mistari yake iliyojaa vina yupi ambaye ana chance kubwa ya kukubaliwa na wewe. Just be honest!?
Ndio zangu hata ikitoke Ex akaniomba upya nakubali nambebisha wee. Nahakikisha amesafiri kutoka mkoa mmoja hadi mwingine akiniamboa ameshuka stand nablokia mbali huko ajiongeze. Dharau sitaki
Kakimbia hata kuja kujibu hakurudi tenaHahahaha!!! Mkaanga chipsi hana chake hapo ila atakujibu kinafiki kama unavyojua Hawa wenzetu.
Yani unataka useme nimekubali kwa maneno?Ni kwe usemayo lakini kibaya zaidi mnajimilikisha kabla hamjakubaliwa.
Tatizo madem wa siku hizi ukishaombwa namba tu , unajua tayar umeahatongozwa kwa kinachofuata ni mgegedo tu, siku hizi mambo mepesi Sana hakuna shidaWanaume wengine bwana,akianza kukutongoza au njia ambazo wanatumia kukutongoza ni vituko,huwa nabaki kushangaa kwa ukweli
Angalia hapa
1,Huyu yeye anakuomba namba, unampa,yeye anakuwa anakutumia pesa, hata bila kuomba unashtukia tu imethibitishwa,ukiuliza anakwambia nimekutumia tu,basi baada ya siku kadhaa anakwambia,nina hamu na wewe tukutane wapi ,au njoo Lodge Fulani au yaani hapo anataka gemu tu,unafikiria huyu mwanaume amenitongoza lini,D.D.D.D.D
2,Huyu mnakutana mnabadilishana namba,mnakuwa mnapiga stories za kawaida tu,siku moja anakuomba uende kwake kumsalimia,kufika anataka penzi,sasa unajiuliza umenitongoza lini yaani nachekaga wanaume wana mambo
3,Huyu yeye anaanza kukuita baby,sweet,love,mpenz,hata hajakutongoza,mwisho wa siku utakwambia njoo lodge fulani,unashangaa sasa huyu amenitongoza lini?
4,Huyu yeye anakutongoza na misifa juu,mara ajipigishe simu,anaulizia miradi,mara anauliza kuhusu gari lake ,hahahahaha,hapo anataka usikie alivyonavyo umkubalie mapema
5,Huyu yeye anakupenda,sijui anaogopa kukutongoza, anapenda sana kampani,kusindikizana njiani,baada ya siku kadhaa utasikia anawambia watu huyo ni dem wangu nilishakula zamani,hahahahaha yaani wanaume wanavituko jamani
Ongezea zingine.......
Wanaume wengine bwana,akianza kukutongoza au njia ambazo wanatumia kukutongoza ni vituko,huwa nabaki kushangaa kwa ukweli
Angalia hapa
1,Huyu yeye anakuomba namba, unampa,yeye anakuwa anakutumia pesa, hata bila kuomba unashtukia tu imethibitishwa,ukiuliza anakwambia nimekutumia tu,basi baada ya siku kadhaa anakwambia,nina hamu na wewe tukutane wapi ,au njoo Lodge Fulani au yaani hapo anataka gemu tu,unafikiria huyu mwanaume amenitongoza lini,D.D.D.D.D
2,Huyu mnakutana mnabadilishana namba,mnakuwa mnapiga stories za kawaida tu,siku moja anakuomba uende kwake kumsalimia,kufika anataka penzi,sasa unajiuliza umenitongoza lini yaani nachekaga wanaume wana mambo
3,Huyu yeye anaanza kukuita baby,sweet,love,mpenz,hata hajakutongoza,mwisho wa siku utakwambia njoo lodge fulani,unashangaa sasa huyu amenitongoza lini?
4,Huyu yeye anakutongoza na misifa juu,mara ajipigishe simu,anaulizia miradi,mara anauliza kuhusu gari lake ,hahahahaha,hapo anataka usikie alivyonavyo umkubalie mapema
5,Huyu yeye anakupenda,sijui anaogopa kukutongoza, anapenda sana kampani,kusindikizana njiani,baada ya siku kadhaa utasikia anawambia watu huyo ni dem wangu nilishakula zamani,hahahahaha yaani wanaume wanavituko jamani
Ongezea zingine.......
Yani wanashangaza sana mkuu.Kakimbia hata kuja kujibu hakurudi tena
Doh pole ila ndiyo hivyo tena hatuchoki kutafuta wakutufaa. Tunajaribu, yunatukanwa yaani basi tena. Ila wadada kuna wakati tunawapata kwa taabu kwel
Eeh mwanaAhaa so ulikuwa unamega kisela