Ameingia msitu wa Shengena hawezi toka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rudi tu kwa mama j hapo umeingia chaka!
Daah wewe bintiPenye utelezi akili hamna, penye ukame akili ipo utachagua mwenyewe sasa
Hawezi amekuwa zezetaMkuu hebu piga chini huyo mtu. Hata mwaka mzima
Ulifanya kwa kila alilolitaka akajua kua kisha kupanda kichwani,Udhaifu uko wapi mkuu[emoji848]
Thd iishie hapa,huu ndio ukweli mchungu ambao mleta mada anatakiwa aukubali,Hawezi amekuwa zezeta
hahah pole njoo kwangu nkupe tulizo hahahaNaam dada angu[emoji4]
Na kwa alikofikia hawezi fungua chochote siyo macho tu mpaka moyo, our DeepPond is already addicted...Thd iishie hapa,huu ndio ukweli mchungu ambao mleta mada anatakiwa aukubali,
Wanasema mapenzi ni upofu,bila shaka mleta mada bado hajafungua macho.
Tumia fursa mtoto wa kike.hahah pole njoo kwangu nkupe tulizo hahaha
hahhahahahaha nmecheka jaman hahHHHHHTumia fursa mtoto wa kike.
Sharti chini uwe na bwawa ndio DeepPond anapenda
Kwenye matatizo ndio kwenye fursa,hahah pole njoo kwangu nkupe tulizo hahaha
Tushampòteza mwanetu.Na kwa alikofikia hawezi fungua chochote siyo macho tu mpaka moyo, our DeepPond is already addicted...