Kuna wanawake hawapendeki hata uwafanyie nini

Kuna wanawake hawapendeki hata uwafanyie nini

Mchepukoo kashikaa Mimba haya libebe sasa kijanaa..[emoji3][emoji3][emoji3] Hata msg umeacha kujibuu mbona uchi ulikuwa unaufataa hata saa nane za usikuuu...!! Haya mabandiko yako unalia kila siku kuhusu mchepuko yananifanya niamini akili yako kwenye mapenzi ni very Immature yani haijakomaa kabisaa. MFUKUZE MKEO UMUOEE MCHEPUKO[emoji1787]
 
Hivi deep una mke kweli? Kama unae unampenda? Ushawahi kuiwaza familia yako hata kidogo? Au unamuonaga kama mwanasesere tu anaekulelea watoto? You act so immature braza. All the time ni Majay this Majay that. Ni k**@ tu bro ama nini??

Mbaya zaidi wewe ni mwanaume, lakini msimamo huna. Anakuendesha, anakupelekesha lakini wapi umemganda kama ruba! Hivi value gani utawapa watoto wako wa kiume kama unao? Mkeo alikupelekesha ukaonesha msimamo akanyooka lakini huyu kila siku anakunyoosha ila wapi baba!! In the name of pleasure!!

You are wasting your life deep. Anyways kupanga ni kuchagua. Ila one prayer of mine: Hope usifikie mahali ukawa too LATE. Utajilaani sana..utajilaumu SANA.
 
Mama j sio wa kukufanyia hvyo trust me kuna bwana anamdanganya kaa nae chini umuulize vizuri.
MDA wenyewe was kukaa nae nautoa wapi sister, yeye Kama kapata bwana mwngn mbona nishampa Go ahead aende tu,nashangaa anajirudisha
 
Mchepukoo kashikaa Mimba haya libebe sasa kijanaa..[emoji3][emoji3][emoji3] Hata msg umeacha kujibuu mbona uchi ulikuwa unaufataa hata saa nane za usikuuu...!! Haya mabandiko yako unalia kila siku kuhusu mchepuko yananifanya niamini akili yako kwenye mapenzi ni very Immature yani haijakomaa kabisaa. MFUKUZE MKEO UMUOEE MCHEPUKO[emoji1787]
Hauko serious riky,
Kama uko serious Basi hunitakii mema
Yaan nifukuze mamaG nikoe mamaJ

Aisee Si Bora TU nibaki bachela tu[emoji848]
 
Back
Top Bottom