Kuna wanawake hawapendeki hata uwafanyie nini

Kuna wanawake hawapendeki hata uwafanyie nini

Hivi deep una mke kweli? Kama unae unampenda? Ushawahi kuiwaza familia yako hata kidogo? Au unamuonaga kama mwanasesere tu anaekulelea watoto? You act so immature braza. All the time ni Majay this Majay that. Ni k**@ tu bro ama nini??

Mbaya zaidi wewe ni mwanaume, lakini msimamo huna. Anakuendesha, anakupelekesha lakini wapi umemganda kama ruba! Hivi value gani utawapa watoto wako wa kiume kama unao? Mkeo alikupelekesha ukaonesha msimamo akanyooka lakini huyu kila siku anakunyoosha ila wapi baba!! In the name of pleasure!!

You are wasting your life deep. Anyways kupanga ni kuchagua. Ila one prayer of mine: Hope usifikie mahali ukawa too LATE. Utajilaani sana..utajilaumu SANA.
DeepPond msikilize huyu dada.... hamna haja ya kubaki na huyo mwanamke kigeugeu
 
Haitoshi pia anawapigia rafiki zako wa karibu sn kuwajulisha kua mmeshaachana sababu umemchanganya yeye na shoga Yake, Wewe ni mtu mbaya sana.

Haishii hapo anapeleka taarifa hizo kwa bwana ake na uyo shoga yake kua unatembea na mchumba wake, jamaa asivyo na ustaarabu Wala busara anakuja kichwa kichwa Bila ushahidi wowote, mtu anakuletea shutuma za kutembea na mchumba wake ila hakusikilizi Japo kidg, MDA wote anataka aongee yeye tu peke yake.

Unaona kumbe huyu jamaa nae mpuuzi, kaja kwa Shari,tayar ameshasadiki Maneno yote ya uwongo aliyolishwa uko na uyo mwanamke, hata hajui chanzo Ni nini,anakurupuka na hataki kueleweshwa.Basi mnazinguana ile mbaya liwalo na liwe. Hakuna hata kusalimiana,kila mtu kivyake.

Baada ya yote hayo alokufanyia na kukuchafua kote huko, umemkalia kimya TU, haipiti wiki anaomba tena mrudiane muanze upya,kakosea sn,yeye bado anakupenda Sana hawezi kuishi Bila Wewe.

Wakuu hivi mwanamke wa hivi unamuelewaje?[emoji848]View attachment 2625104View attachment 2625105View attachment 2625106View attachment 2625107View attachment 2625108View attachment 2625109View attachment 2625110
Kaka yangu nakuombea iwe mimba ya mapacha....bidada hatakiwi stress ni raha tuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni jana tuu nimepitia profike yako nikasikitika hakuna telemundo ya mama jay nusu nikuulize...ewaaa finally
 
Uzuri wa wanawake ni kitu kimoja tu: -Hawafanyi jambo au kuongea kitu kwa kubahatisha.

Kabla hajafanya jambo au kuongea neno lolote kwa mwanaume anakuwa anaelewa kabisa kuwa impact yake itakuaje and how it will ends- hawakurupuki

Wachache wanaokurupuka ndio hao wanaishia kupigwa risasi saba za kichwa na wengine kuchomwa na gunia za mkaa.

Huyo mama j,alishajua udhaifu wako kwake na anadili na mtu wa aina gani,and ofcourse,yes she is right

Hiki anachokufanyia mama j,asingejaribu hata kukiwaza kama angekuwa kwa mwanaume

Take it or leave it
 
Yaani nimecheka kweli kwa hizi sms dada wa watu anajieleza weeee jamaa anajibu short tu eti "ndio mlivyoshauriana" hahahah

Kuna BAADHI ya Wanawake wajinga sana huwa wanajiona keki sana hadi waoitishwe kwenye moto wa kihisia
 
Unazoeana na shoga yake mnakua mnatext na kupigiana Simu na story za kawaida tu kujuliana Hali mara kwa Mara. Sasa Siku Moja unapokea sim ya uyo shoga ake, ghafla unaskia saut sio ya mwny simu, ni mwanamke wako mloshagombana na kuachana tayari, anajieleza kua anaomba umsikilize japo kdg ,Basi unaamua kuikata hiyo simu haraka sn. Kila akipiga Tena simu upokei.

Kumbe fursa hiyo ya kushika Simu ya shoga yake,anapata fursa nyngn ya kusoma sms zote kwny simu hiyo mlizochati na shoga Yake uyo tangu kipind icho unamtuma akampeleleze Kama anaumwa kweli au lah!.

Anakasirika na kuzua ugomvi mkubwa Sana na shoga yake uyo kua anamzunguka,kumpeleleza na kumgombanisha na bwana ake kwny mahusiano yake, Kisha anamfukuza nyumbani kwake Kama mbwa eti Ni mnafiki.

Haitoshi anaanza kukutumia sms za kashfa,matusi na dharau kua wewe Ni malaya sana, unatembea hadi na shoga zake wa karibu. Kumbe Simu zake upokei uko bize na shoga Yake mnawasiliana mnamzunguka sababu mna mahusiano ya kimapenzi mnatakana. Humjibu chochote.
huyo sio demuhuyo ni orphans mpeleke kituoni wakamlee mana hajakuwa bado. hizo levo za kubanduliwa na bodaboda wasiochana nywele
 
Huwa nawaambiaga vijana wenzangu kwamba USIMUONE HURUMA MWANAMKE na kwamba TAMBUA YA KWAMBA MWANAMKE HANA SHUKRANI HATA UMFANYIE NINI!

Tatizo Mapenzi gakiwakolea hamshauriki hadi mchezee machungu.
Kweli KABISA mkuu, Kuna wanawake hawana Shukran hata uwafanyie nn.
Yakimpanda anajitia upofu ujawai mfanyia chochote
 
Ndio..tena na mchepuko. Mchepuko kamroga, kamla hela saiv anakula zake bata tabora. Kila siku analia anamuomba mke wake msamaha. Nakuombea usije ukagundua its too late Deep. Nitakuchangia ila..hatutakuacha wana JF[emoji275][emoji275]
Dah! Hii mbona inatisha Sana[emoji848]
 
Back
Top Bottom