Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba keshanisoma vya kutosha au vipi?Uzuri wa wanawake ni kitu kimoja tu: -Hawafanyi jambo au kuongea kitu kwa kubahatisha.
Kabla hajafanya jambo au kuongea neno lolote kwa mwanaume anakuwa anaelewa kabisa kuwa impact yake itakuaje and how it will ends- hawakurupuki
Wachache wanaokurupuka ndio hao wanaishia kupigwa risasi saba za kichwa na wengine kuchomwa na gunia za mkaa.
Huyo mama j,alishajua udhaifu wako kwake na anadili na mtu wa aina gani,and ofcourse,yes she is right
Hiki anachokufanyia mama j,asingejaribu hata kukiwaza kama angekuwa kwa mwanaume
Take it or leave it
hajakwepesha ameenda to the point....Alichokiandika nakisoma Mara mbili mbili,
Kaandika Maneno mazito yakutisha Sana[emoji848]
ufafanuz kdg Apo kiongoziShida ilianzia hapa! Ndio maana hata kuachana imekua ngumu sana but DeepPond be aware brother huo mwelekeo sio mzuri, Mwisho mbaya unakuita..
Thread 'Kuna Wanawake Wana upepo wa mafaniko, ukiwa nao unafanikiwa'
Kuna Wanawake Wana upepo wa mafaniko, ukiwa nao unafanikiwa
Vibweka vya uyo Mwanamke wako🤣👋Umecheka nn Sasa lovie[emoji4]