Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
MamaJ hana u wife matirio wowote bali anaishi mtaji kei tuKwny uwaifu matirio
mamaJ anayo hiyo 10% TU, vngine ni sifuri[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MamaJ hana u wife matirio wowote bali anaishi mtaji kei tuKwny uwaifu matirio
mamaJ anayo hiyo 10% TU, vngine ni sifuri[emoji4]
Huyoo mama j ni wakoo wa kufa na kuzikanaaa kakaa pambanaa sisi tuko nyuma yakoo pamoja na mama j we love her😅😅😅😅😅Madam Unamuoneaje huruma mamaJ kwa Upuuzi alouanzisha mwny?
Huyu ana kadi ya dhahabu ya kuwa mchepuko.Ha ha ha....kweli kabisa mkuu,
Hafai kua MKE wa mtu kabisa,ndo wale tukaambiwa wameumbwa kua Michepuko ya watu
Ila na wewe unahangaika sana. Unastahili majanga unayo kutana nayo
[emoji1]Asipewe stress mtoto wa watu
Apewe Raha tu hahahahah
Unajua sio lazima umpige makofi mwanamke ili aone mamlaka yako, kuna namna unatakiwa kumhandle, ukisema kitu ajue mamlaka yako. Hii tabia ya kubishana, kutukanana na mwanamke inashusha hadhi, ongea mara moja, tumia mamlaka yako aone, kuwa mtu wa misimamo, "tuachane" iwe tuachane.Kwamba nilitakiwa nikamuwashe Moja mbili tatu za mashavuni?
Yaan huyoo ni chaguo lakoo🎼🎼🎺🎺huyoo ni chaguo lako...😅😅Ha ha ha....yaan Kama mmeniozesha vile[emoji1]
Sikiliza, leo nenda mkule wee ma kesi iishe, maisha ni haya haya unajua fika humwachi unaremba nini?Kwamba nilitakiwa nikamuwashe Moja mbili tatu za mashavuni?
WAla sio hasira, sinaga mzuka na mwanamke akili ndogo kamwe.Wee tatizo hasira zako ziko karibu Sana[emoji4]
Kama humpendi,ipo likely kumfanyia hivi.hahahah kuna wanawake wanawachezea wanaume jamani haki mnawapata wapi aseee pole brother watu tunatafuta wanaume wa ivo ye anawachezea so sad kiukwel